Kinachopelekea wanaookoka au kusilimu na kuwa swala tano kufeli kimaisha

Kinachopelekea wanaookoka au kusilimu na kuwa swala tano kufeli kimaisha

Wakristo na waislamu hawataweza kujua Mwenyezi Mungu anataka wao wwafanye kitu gani.

Kwa ufupi wakristo na waislamu bado wanaishi gizani na mafundisho ya dini zao pamoja na kwamba ni mazuri lakini hayampendezi Mungu.

Straight to the point hilo swali kwenye title huulizwa na watu wengi sana lakini majibu huwa hayapatikanagi.

Leo wacha nikupe jibu.

Jibu lake ni moja tu, mtu ambae hajaokoka au ambae hajasilimu na kuwa swala tano huwa ana uamini zaidi uwezo wake binafsi katika kufanya mambo yake katika maisha. Huiamini akili yake, maarifa yake na kadhalika.

Mtu huyu anapo okoka au kusilimu na kuwa swala tano, hushift imani aliyo nayo kwake na kuihamishia kwa Mungu jambo ambalo ni haramu machoni pa Mungu.

( UNAPO SHIFT IMANI YAKO KUTOKA KATIKA KUAMINI UWEZO WAKO MWENYEWE NA KUIHAMISHIA KWA MUNGU NI SAWA SAWA NA KUCHUKUA MAJI KUTOKA KWENYE KISIMA CHAKO NA KWENDA KUYAMWAGA BAHARINI HUKU UKIAMINI KWA KUFANYA HIVYO UNAIFURAHISHA BAHARI WAKATI BAHARI WALA HAI HITAJI MAJI YAKO )

Kama ni mfanyabiashara basi badala ya kutumia akili, uwezo, ufahamu na maarifa aliyo nayo kuhusu biashara yeye atabaki kusema Mungu ndo anae toa rizki kwa hivyo ata elekeza energy yake katika kusali/kuswali zaidi badala ya kutumia maarifa yake zaidi.

Mwisho wa siku mtu huyu biashara yake itafeli.

KWANINI NASEMA KUELEKEZA IMANI YAKO KWA MUNGU NI HARAMU?

KWA sababu Mungu hahitaji wewe uamini kwamba yeye ana nguvu ZOTE ana uwezo wote ana uwezo wa kufanya KILA kitu.

Mungu tayari vitu hivyo anavyo na wewe kusema kwamba Mwenyezi Mungu ana nguvu, Mwenyezi Mungu ni MUWEZA wa YOTE, you are not doing any favour to him. You are just repeating what he already knows a long time ago.

( Machoni pa Mungu?mwanadamu anae enda kwenye nyumba ya ibada na kuanza kusema Mwenyezi Mungu wewe ni Mungu mwenye Nguvu mwingi wa rehma, MUWEZA wa YOTE nakadhalika, hana tofauti na yale mapepo yaliyo kuwa yamemvaa yule mwendawazimu aliye kumbana na Yesu Masiha pale Gadarene( Mark 5)

Biblia inasema mapepo hayo yalipo muona Yesu yalianza kulia huku yakimwambia Yesu " Yesu Mwana Wa Mungu aliye juu kabisa ( God the most high) tafadhali tunakuomba usitutoe ndani ya mtu huyu.

Lakini hata hivyo pamoja na kuyatukuza majina ya Mungu Yesu ali yatoa ndani ya mtu huyo.

Hii ni kwa sababu Mungu hahitaji kupewa sifa yoyote ile na kiumbe chake. He has nothing to do with it.

Watu wengi wanao enda kwenye nyumba za ibada kumsifu na kumtukuza Mungu kwa sifa zake huwa wanaishia kuwa cast out of their rightfully seats of authority.

Mwisho wa siku wanaishia kusema watu wasio fanya ibada wanafanikiwa katika maisha kwa sababu ya uchawi. Hell no.

God the Almighty doesn't need to praise him. KWANZA mwanadamu hana Maneno yanayo jitosheleza kuelezea sifa za Mungu and this has been proved by nature.

Wanasayansi Wana kubakubaliana kwamba machozi ni Maneno ambayo mtu ameshindwa kuyaelezea.

SASA kama huwezi kuyaelezea machozi tu utaweza vipi kumuelezea Mungu?

Kama ambavyo hakuna Maneno yanayo weza kuelezea machozi BASI hivyo hivyo hakuna Maneno yanayo weza kumuelezea Mungu.

Njia pekee ya kuelezea imani YAKO KWA MUNGU ni matendo YAKO na tendo pekee linalo weza kuelezea imani YAKO KWA MUNGU ni pale Unapo uamini uwezo wako KWA sababu hata Mungu pia ana uamini uwezo wako.

When your are praising God with words , you are not impressing him anyhow.

And you are not changing or adding anything to him.

MUNGU ANATAKA UAMINI KITU GANI SASA?

Mungu anataka ukiamini wewe mwenyewe. Mungu anataka u uamini uwezo akili, akili zako, maarifa YAKO, ufahamu wako na nguvu zako wewe.

Anataka kile unacho amini kuhusu Mungu ukiamini kuhusu wewe na sio vinginevyo.

KITU GANI HUTOKEA PALE MWANADAMU ANAPO SHIFT IMANI YAKE KWA MUNGU NA KUIELEKEZA KWAKE YEYE MWENYEWE.

Kwa kufanya hivyo mwanadamu hupata faida zifuatazo:

1. A human being who believes in his power more than the power of his creator share the same belief as his creator because the creator believes in his creation.

So uki amini katika nguvu zako jua upo pamoja na Mungu katika imani. KWA sababu hata Mungu pia ana amini katika nguvu zako na uwezo wako.

Kitu pekee kinacho weza ki draw attention ya Mungu kwako ni pale wewe mwenyewe Unapo amini katika nguvu zako.

Unapokuwa una amini katika nguvu zako tafsiri yake ni kwamba una amini katika nguvu na uumbaji wa Mungu kwa sababu Mungu ndio amekuumba wewe na Mungu huumba vitu ambavyo vina reflect nguvu zake na uwezo wake.

Hii dhana kwamba eti binadamu ni kiumbe dhaifu ni kufuru kubwa sana kwa Muumba.

Unaposema binadamu ni dhaifu tafsiri yake ni kwamba Mungu ndio dhaifu kwa sababu Mungu ndio kamuumba mwanadamu.

Ni sawa na kusema " Mercedes Benz ni gari dhaifu" ukisema mercedes ni gari dhaifu jua hujaitukana mercedes benz ila imeitukana teknolojia ya mjerumani ambayo ndio imetumika KUTENGENEZA mercedes benz. KWA hiyo kuanzia leo Shekhe au Mchungaji yoyote akikwambia wewe ni dhaifu Mwambie mimi sio dhaifu labda wewe ndio dhaifu.

Mungu alikuumba ukiwa umekamilika na alipendezwa na kitu alicho kiumba.

Kabla hajakuleta duniani Mungu aliweka ndani YAKO KILA kitu unacho kihitaji ( Ufalme wa Mungu upo ndani YAKO/ Ufalme wa Mungu= Nguvu/mamlaka ya Mungu)

Duniani hakuna kitu chochote kile kinacho weza kukushinda. Hakuna jini SHETANI mganga wala mchawi anae weza kumshinda mwanadamu anae ijua na kui ishi siri hii kwamba Nguvu za Mungu zipo ndani yake na kwamba anacho takiwa kufanya ni kuamini na kuzitumia.

Wachawi waganga mapepo majini na mashetani huwaga wanahangaika na the regular christians and muslims ambao bado wanaishi katika u-ignorance. Wanao enda kanisani na msikitini kutafuta nguvu za Mungu wakati nguvu za Mungu zipo ndani yao.

Mchawi hawezi kukuogopa kwa sababu anajua ur ignorant of your powers.

Start believing in urself and u will come to thank me.

Since I knew this secret my life has changed for better.

Hakuna mchawi wala mganga wala jini wala pepo yoyote yule anae weza kuni defeat .

The one thing that I can tell Lucifer is that " Hey Mr. Lucifer between me and you the one who is afraiding of your powers is you"

Yani ni sawa na Mandonga kamkwida Muhammad Ali( hata roho haidundi)

Mwanadamu unapo enda kumuomba Mungu AKUSAIDIE jambo ambalo Mungu anajua ndani YAKO ameweka tayari amekupa uwezo wa kulifanya jambo hilo una muhuzunisha sana. Yani ni sawa na mtoto wako mwenye umri wa miaka kumi na nne ana kuja kukuomba wewe baba ake au mama ake ukamtawadhe wakati anajua umefikia umri wa kujitawadha mwenyewe..

Ndio maana ukichunguza vizuri utagundua kuwa watu wanao sema kuwa Mungu hajibu maombi wengi wao ni waislamu kwa wakristu.

Simply kwa sababu ya siri hii.

Stop making God sad. Start believe in urself..

Ur brains are a very very powerful weapon. If you don't use them properly your enemy can use them against you because he is attracted to their powers. He wish to be the one possessing the powers of your brains .

( I have said your brains because humans have three brains/ this will be a topic for another day )

Ukianza kuamini katika uungu uliopo ndani YAKO hii dunia unayo ishi itabadilika na kuwa paradiso.


Utaona jinsi mambo yanavyo badikika for good.

Anza sasa. Bado hujachelewa.


# Tatizo kubwa la Mungu kwa wanadamu sio wanadamu kushindwa kumuamini yeye la hasha. Mungu hana uhaba wa watu Wana amini katika nguvu zake hata kidogo. Tatizo kubwa la Mungu kwa wanadamu ni wanadamu kuto amini nguvu za Mungu ambazo ameziweka ndani yao.

Wewe mwenyewe ndio uchague either kuwa tatizo au kutokuwa tatizo machoni pa Mungu
Nimekuelewa hata kabla sijamaliza kusoma
 
Mtu akiokoka anabarikiwa hawezi kufeli maisha.
 
Sijui huo uwezo wa kuzungumzia dini mbili tofauti kwenye jambo moja umeupata wapi, ni kama vile umewatisha watu wasiokoke bila kujua, au kwa kujua.

Kimsingi nakuona hauna huo uwezo, ulichojaribu kufanya hapa ni sawa na kusema Mungu huwatupa wale wanaookoka, au kubadili dini.

Kwangu nizungumzie upande wa kuokoka, maandiko yanatuambia malaika hushangilia mbinguni mtu mmoja anapookoka, hii maana yake anajiweka karibu zaidi na Mungu.

Kinachilomkuta huyu mpaka aonekane kufeli maisha tofauti na mwanzo, ni majaribu kwake kuongezeka baada ya kuokoka, kwani shetani huangaika zaidi na wanaomtumikia Mungu zaidi ya wale wapenda anasa za dunia..

Anachotakiwa kufanya huyu, ni kusimama kwenye imani, akiyashinda majaribu ya shetani bila kuyumba, basi hakika atarudi katika hali yake ya zamani, au zaidi, kwani maandiko yanatuambia tumtafute kwanza yeye, na mengine tutazidishiwa.
I am regretting to tell you that ur mind is still burried in the darkness of ignorance.

Chakula nilicho kitoa kwenye uzi huu kina watosha walio macho tu wewe bado umelala.

Ur mind is not present here na Wahenga walishasema asie kuwepo na lake alipo.

When ur mind will be ready the teacher will be available to teach u what u need to understand.
 
Kiburi Cha uzima ndo kinawasumbua I promise you utakuja kutubu before ur fateful
 
Kiburi Cha uzima kinawadanganya plus Ujinga wa tamthiliya nothing else
Mkuu mbona akili yako umeamua kuifungia kwenye kabatu?? Can't you reason???

Kiburi cha uzima!!!?? Uzima upo tu to everyone /every living creature NO MATTER WHETHER YOU BELIEVE WHAT OR YOU DONT BELIEVE WHAT!!!

Likewise, KIFO kipo tu kwa yeyote haijalishi unashinda kanisani au unashinda unasali hadi unalia machozi ya damu AU HAUSALI WALA KUAMINI...UTAKUFA TU.
 
Yesu hajawahi kusema mahali popote kwamba yeye ni Mungu wala mimi sijasema Yesu anaishi ndani yangu.


Nimesema nina pendezwa na baadhi ya mafundisho yake kwa sababu yana appeal with my logic.

Yesu alikuja kutufundisha kwamba kama mwanadamu ukiamini katika nguvu iliyomo ndani YAKO ( hii ni nguvu ya asili ambayo KILA mwanadamu amezaliwa nayo awe mkiristu muislamu mbudha mpagani etc ) BASI utakuwa na uwezo wa kufanya KILA kitu unacho kihitaji chini ya jua.

And this is what I am talking about. Believe in ur power

Don't get me wrong my brother
Unamchanganya vipi Yesu na mambo ya nguvu za asili?

Tupe hilo andiko linalosema Yesu alifundisha watu kuamini nguvu zao za asili kinyume na maandiko yake, WEKA HAPA.

Wewe ni mpagani mjuaji usiyeelewa chochote, ndio maana huna hata mstari mmoja wa maandiko ya kwenye biblia.

Huoni umepotoka!.

Sikuelewi kabisa, unapotosha watu.
 
Uzi na kichwa havijaoana, ebu fungisha ndoa hapo chap
Mkuu nitake radhi mimi sina dini. Kuniuliza mimi dini gani ni sawa na kunitukania shangazi yangu.

Anyways nimezaliwa katika familia ya kiislamu ila now nimekuwa engligntened.

Usishangae mimi kunukuu vifungu vya biblia KWA sababu waislamu huisoma biblia pia.

Mimi ni mfuasi wa Mwanga. I am a disciple of the Light.

I shall always follow the light no matter who bearers it.

Navutiwa na mafundisho ya Yesu KWA sababu yana appeal with my personal belief.

I believe I have the power of God in me and Jesus confirmed to me by actually saying we humans possess the power of God in us.

Siamini katika dhana ya kwenda kanisani au msikitini kwa ajili ya kumuomba Mungu kwa sababu Mungu hahitaji tumuombe chochote KWA sababu ametupa kila kitu.

Ndio maana King David anasema " The Lord is my shepherd I shall never want" .

I don't want anything because I have everything in me. All I need to do is to use it and never to ask.

Kanisani au msikitini ni sehemu za kwenda kwa ajili ya kusocialize na watu wako lakini sio kwenda kumuomba Mungu.

Mungu hayupo kanisani au msikitini. Mungu yupo ndani yetu
weweni kiazi kamaviazi wengine hujuilolote ilaujuaji wakindezi ndiounao kusumbua
 
Jesus !!! U don't seems to understand. Mungu hahitaji wewe umtumainie. Mungu hajakuumba umtumainie.

Mungu amekuumba huku ndani YAKO akiwa ameweka kila kitu ambacho una kihitaji katika maisha yako.

Huhitaji kumtumainia ila kinyume chake yeye ndio anakutumainia wewe.

Anatumaini kwamba kwa nguvu na mamlaka aliyo yaweka ndani YAKO utaweza kuishi maisha YAKO na kutawala viumbe wengine walio chini YAKO...
achakuandika pumba weekiazi
 
Yesu hajawahi kusema mahali popote kwamba yeye ni Mungu wala mimi sijasema Yesu anaishi ndani yangu.


Nimesema nina pendezwa na baadhi ya mafundisho yake kwa sababu yana appeal with my logic.

Yesu alikuja kutufundisha kwamba kama mwanadamu ukiamini katika nguvu iliyomo ndani YAKO ( hii ni nguvu ya asili ambayo KILA mwanadamu amezaliwa nayo awe mkiristu muislamu mbudha mpagani etc ) BASI utakuwa na uwezo wa kufanya KILA kitu unacho kihitaji chini ya jua.

And this is what I am talking about. Believe in ur power

Don't get me wrong my brother
Naona umeamua kupiga soga tu hapa, Yesu ndie njia ya kweli na Uzima, hili liko kwa wakristu, sasa wewe mpagani haya huwezi kuyajua.
 
Wakristo na waislamu hawataweza kujua Mwenyezi Mungu anataka wao wwafanye kitu gani.

Kwa ufupi Wakristo na Waislamu bado wanaishi gizani na mafundisho ya dini zao pamoja na kwamba ni mazuri lakini hayampendezi Mungu.

Straight to the point hilo swali kwenye title huulizwa na watu wengi sana lakini majibu huwa hayapatikanagi.

Leo wacha nikupe jibu.

Jibu lake ni moja tu, mtu ambae hajaokoka au ambae hajasilimu na kuwa swala tano huwa ana uamini zaidi uwezo wake binafsi katika kufanya mambo yake katika maisha. Huiamini akili yake, maarifa yake na kadhalika.

Mtu huyu anapo okoka au kusilimu na kuwa swala tano, hushift imani aliyo nayo kwake na kuihamishia kwa Mungu jambo ambalo ni haramu machoni pa Mungu.

( UNAPO SHIFT IMANI YAKO KUTOKA KATIKA KUAMINI UWEZO WAKO MWENYEWE NA KUIHAMISHIA KWA MUNGU NI SAWA SAWA NA KUCHUKUA MAJI KUTOKA KWENYE KISIMA CHAKO NA KWENDA KUYAMWAGA BAHARINI HUKU UKIAMINI KWA KUFANYA HIVYO UNAIFURAHISHA BAHARI WAKATI BAHARI WALA HAI HITAJI MAJI YAKO )

Kama ni mfanyabiashara basi badala ya kutumia akili, uwezo, ufahamu na maarifa aliyo nayo kuhusu biashara yeye atabaki kusema Mungu ndo anae toa rizki kwa hivyo ata elekeza energy yake katika kusali/kuswali zaidi badala ya kutumia maarifa yake zaidi.

Mwisho wa siku mtu huyu biashara yake itafeli.

KWANINI NASEMA KUELEKEZA IMANI YAKO KWA MUNGU NI HARAMU?

KWA sababu Mungu hahitaji wewe uamini kwamba yeye ana nguvu ZOTE ana uwezo wote ana uwezo wa kufanya KILA kitu.

Mungu tayari vitu hivyo anavyo na wewe kusema kwamba Mwenyezi Mungu ana nguvu, Mwenyezi Mungu ni MUWEZA wa YOTE, you are not doing any favour to him. You are just repeating what he already knows a long time ago.

( Machoni pa Mungu?mwanadamu anae enda kwenye nyumba ya ibada na kuanza kusema Mwenyezi Mungu wewe ni Mungu mwenye Nguvu mwingi wa rehma, MUWEZA wa YOTE nakadhalika, hana tofauti na yale mapepo yaliyo kuwa yamemvaa yule mwendawazimu aliye kumbana na Yesu Masiha pale Gadarene( Mark 5)

Biblia inasema mapepo hayo yalipo muona Yesu yalianza kulia huku yakimwambia Yesu " Yesu Mwana Wa Mungu aliye juu kabisa ( God the most high) tafadhali tunakuomba usitutoe ndani ya mtu huyu.

Lakini hata hivyo pamoja na kuyatukuza majina ya Mungu Yesu ali yatoa ndani ya mtu huyo.

Hii ni kwa sababu Mungu hahitaji kupewa sifa yoyote ile na kiumbe chake. He has nothing to do with it.

Watu wengi wanao enda kwenye nyumba za ibada kumsifu na kumtukuza Mungu kwa sifa zake huwa wanaishia kuwa cast out of their rightfully seats of authority.

Mwisho wa siku wanaishia kusema watu wasio fanya ibada wanafanikiwa katika maisha kwa sababu ya uchawi. Hell no.

God the Almighty doesn't need to praise him. KWANZA mwanadamu hana Maneno yanayo jitosheleza kuelezea sifa za Mungu and this has been proved by nature.

Wanasayansi Wana kubakubaliana kwamba machozi ni Maneno ambayo mtu ameshindwa kuyaelezea.

SASA kama huwezi kuyaelezea machozi tu utaweza vipi kumuelezea Mungu?

Kama ambavyo hakuna Maneno yanayo weza kuelezea machozi BASI hivyo hivyo hakuna Maneno yanayo weza kumuelezea Mungu.

Njia pekee ya kuelezea imani YAKO KWA MUNGU ni matendo YAKO na tendo pekee linalo weza kuelezea imani YAKO KWA MUNGU ni pale Unapo uamini uwezo wako KWA sababu hata Mungu pia ana uamini uwezo wako.

When your are praising God with words , you are not impressing him anyhow.

And you are not changing or adding anything to him.

MUNGU ANATAKA UAMINI KITU GANI SASA?

Mungu anataka ukiamini wewe mwenyewe. Mungu anataka u uamini uwezo akili, akili zako, maarifa YAKO, ufahamu wako na nguvu zako wewe.

Anataka kile unacho amini kuhusu Mungu ukiamini kuhusu wewe na sio vinginevyo.

KITU GANI HUTOKEA PALE MWANADAMU ANAPO SHIFT IMANI YAKE KWA MUNGU NA KUIELEKEZA KWAKE YEYE MWENYEWE.

Kwa kufanya hivyo mwanadamu hupata faida zifuatazo:

1. A human being who believes in his power more than the power of his creator share the same belief as his creator because the creator believes in his creation.

So uki amini katika nguvu zako jua upo pamoja na Mungu katika imani. KWA sababu hata Mungu pia ana amini katika nguvu zako na uwezo wako.

Kitu pekee kinacho weza ki draw attention ya Mungu kwako ni pale wewe mwenyewe Unapo amini katika nguvu zako.

Unapokuwa una amini katika nguvu zako tafsiri yake ni kwamba una amini katika nguvu na uumbaji wa Mungu kwa sababu Mungu ndio amekuumba wewe na Mungu huumba vitu ambavyo vina reflect nguvu zake na uwezo wake.

Hii dhana kwamba eti binadamu ni kiumbe dhaifu ni kufuru kubwa sana kwa Muumba.

Unaposema binadamu ni dhaifu tafsiri yake ni kwamba Mungu ndio dhaifu kwa sababu Mungu ndio kamuumba mwanadamu.

Ni sawa na kusema " Mercedes Benz ni gari dhaifu" ukisema mercedes ni gari dhaifu jua hujaitukana mercedes benz ila imeitukana teknolojia ya mjerumani ambayo ndio imetumika KUTENGENEZA mercedes benz. KWA hiyo kuanzia leo Shekhe au Mchungaji yoyote akikwambia wewe ni dhaifu Mwambie mimi sio dhaifu labda wewe ndio dhaifu.

Mungu alikuumba ukiwa umekamilika na alipendezwa na kitu alicho kiumba.

Kabla hajakuleta duniani Mungu aliweka ndani YAKO KILA kitu unacho kihitaji ( Ufalme wa Mungu upo ndani YAKO/ Ufalme wa Mungu= Nguvu/mamlaka ya Mungu)

Duniani hakuna kitu chochote kile kinacho weza kukushinda. Hakuna jini SHETANI mganga wala mchawi anae weza kumshinda mwanadamu anae ijua na kui ishi siri hii kwamba Nguvu za Mungu zipo ndani yake na kwamba anacho takiwa kufanya ni kuamini na kuzitumia.

Wachawi waganga mapepo majini na mashetani huwaga wanahangaika na the regular christians and muslims ambao bado wanaishi katika u-ignorance. Wanao enda kanisani na msikitini kutafuta nguvu za Mungu wakati nguvu za Mungu zipo ndani yao.

Mchawi hawezi kukuogopa kwa sababu anajua ur ignorant of your powers.

Start believing in urself and u will come to thank me.

Since I knew this secret my life has changed for better.

Hakuna mchawi wala mganga wala jini wala pepo yoyote yule anae weza kuni defeat .

The one thing that I can tell Lucifer is that " Hey Mr. Lucifer between me and you the one who is afraiding of your powers is you"

Yani ni sawa na Mandonga kamkwida Muhammad Ali( hata roho haidundi)

Mwanadamu unapo enda kumuomba Mungu AKUSAIDIE jambo ambalo Mungu anajua ndani YAKO ameweka tayari amekupa uwezo wa kulifanya jambo hilo una muhuzunisha sana. Yani ni sawa na mtoto wako mwenye umri wa miaka kumi na nne ana kuja kukuomba wewe baba ake au mama ake ukamtawadhe wakati anajua umefikia umri wa kujitawadha mwenyewe..

Ndio maana ukichunguza vizuri utagundua kuwa watu wanao sema kuwa Mungu hajibu maombi wengi wao ni waislamu kwa wakristu.

Simply kwa sababu ya siri hii.

Stop making God sad. Start believe in urself..

Ur brains are a very very powerful weapon. If you don't use them properly your enemy can use them against you because he is attracted to their powers. He wish to be the one possessing the powers of your brains .

( I have said your brains because humans have three brains/ this will be a topic for another day )

Ukianza kuamini katika uungu uliopo ndani YAKO hii dunia unayo ishi itabadilika na kuwa paradiso.


Utaona jinsi mambo yanavyo badikika for good.

Anza sasa. Bado hujachelewa.


# Tatizo kubwa la Mungu kwa wanadamu sio wanadamu kushindwa kumuamini yeye la hasha. Mungu hana uhaba wa watu Wana amini katika nguvu zake hata kidogo. Tatizo kubwa la Mungu kwa wanadamu ni wanadamu kuto amini nguvu za Mungu ambazo ameziweka ndani yao.

Wewe mwenyewe ndio uchague either kuwa tatizo au kutokuwa tatizo machoni pa Mungu
MUNGU ANATAKA KUONA MATOKEO YA MATUMIZI SAHIHI YA ALIVYOKUPA. SIO KUMTEGEMEA YEYE SANA AU KUMTEGEMA BINADAMU ALIYEUMBWA NA YEYE.
 
Mkuu nitake radhi mimi sina dini. Kuniuliza mimi dini gani ni sawa na kunitukania shangazi yangu.

Anyways nimezaliwa katika familia ya kiislamu ila now nimekuwa engligntened.

Usishangae mimi kunukuu vifungu vya biblia KWA sababu waislamu huisoma biblia pia.

Mimi ni mfuasi wa Mwanga. I am a disciple of the Light.

I shall always follow the light no matter who bearers it.

Navutiwa na mafundisho ya Yesu KWA sababu yana appeal with my personal belief.

I believe I have the power of God in me and Jesus confirmed to me by actually saying we humans possess the power of God in us.

Siamini katika dhana ya kwenda kanisani au msikitini kwa ajili ya kumuomba Mungu kwa sababu Mungu hahitaji tumuombe chochote KWA sababu ametupa kila kitu.

Ndio maana King David anasema " The Lord is my shepherd I shall never want" .

I don't want anything because I have everything in me. All I need to do is to use it and never to ask.

Kanisani au msikitini ni sehemu za kwenda kwa ajili ya kusocialize na watu wako lakini sio kwenda kumuomba Mungu.

Mungu hayupo kanisani au msikitini. Mungu yupo ndani yetu
Kanisani au msikitini ni sehemu za kwenda kwa ajili ya kusocialize na watu wako lakini sio kwenda kumuomba Mungu._VERY PERFECT.
 
MUNGU ANATAKA KUONA MATOKEO YA MATUMIZI SAHIHI YA ALIVYOKUPA. SIO KUMTEGEMEA YEYE SANA AU KUMTEGEMA BINADAMU ALIYEUMBWA NA YEYE.
You are the true son of your Father. Wewe ndio umejua naongea kuhusu nini.

denooJ soma alicho kiandika huyu mwamba kwa sababu ndicho nilicho kusudia kukileta hapa jukwaani. Siwezi kuwa na jibu lolote bora kwako kuliko alicho kiandika huyu mwamba.

Be blessed
 
I am regretting to tell you that ur mind is still burried in the darkness of ignorance.

Chakula nilicho kitoa kwenye uzi huu kina watosha walio macho tu wewe bado umelala.

Ur mind is not present here na Wahenga walishasema asie kuwepo na lake alipo.

When ur mind will be ready the teacher will be available to teach u what u need to understand.
Wewe ni mwalimu mjinga, usiyejua maandiko, unaewafundisha wajinga wenzio ujinga.
 
Back
Top Bottom