Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Tatizo wengi wanakuwa wanafiki sio anaweza jifanya mcha mungu ila mshirikina namba moja na mzinzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usinisemee, jibu hoja.Mkuu, u love my message but you hate why love it. You are just in denial.
You are the true son of your father. denooJ ona watu wenye akili Wana jua kufikiri.Naam, umeelezea vyema.
Kwa lugha rahisi ni kwamba watu wenye Imani Kali ni kwamba hawajiamini.
Mungu anataka tujiamini, Sababu yeye mwenyewe aliyetuumba anajiamini na anajua ukubwa wake.
Tunaposema binadamu ni dhaifu machoni pa Mungu tunakosea. Mungu hawezi kuimba kitu dhaifu. Kwasababu udhaifu wowote wa kitu alichokiumba unatoa tafsiri ya kwamba yeye Muumbaji ni dhaifu pia.
Watu wenye Imani Kali za kidini, hushindwa kutumia uwezo wao mzuri wa kiakili na kimaarifa kupembua vitu kwa usahihi. Wao muda wote hudhani kwa kumtukuza Mungu na kumsifia muda wote basi Mungu atawapa ridhiki kimiujiza. Kitu ambacho si sahihi.
Mungu anafahamu uwezo wake, haitaji tumsifie au tumwambie mara kwa mara juu ya nguvu zake kwetu Sisi wanadamu.
Mungu anataka tumaini ndani yetu, tutende ndani yetu katika namna inayofata. Na ndo mana watu ambao sio wafia dini huwa na mafanikio sababu hufanya vitu kwa kutumia uwezo wao wa ndani waliopewa na Mungu.
Mtu mwenye imani kali ya kidini, atatumia andiko lisemalo asiyefanya kazi na asile, ili kujitafutia rizki, kinyume na hapo, huyo anajua maandiko lakini hajui kuyaishi.Naam, umeelezea vyema.
Kwa lugha rahisi ni kwamba watu wenye Imani Kali ni kwamba hawajiamini.
Mungu anataka tujiamini, Sababu yeye mwenyewe aliyetuumba anajiamini na anajua ukubwa wake.
Tunaposema binadamu ni dhaifu machoni pa Mungu tunakosea. Mungu hawezi kuimba kitu dhaifu. Kwasababu udhaifu wowote wa kitu alichokiumba unatoa tafsiri ya kwamba yeye Muumbaji ni dhaifu pia.
Watu wenye Imani Kali za kidini, hushindwa kutumia uwezo wao mzuri wa kiakili na kimaarifa kupembua vitu kwa usahihi. Wao muda wote hudhani kwa kumtukuza Mungu na kumsifia muda wote basi Mungu atawapa ridhiki kimiujiza. Kitu ambacho si sahihi.
Mungu anafahamu uwezo wake, haitaji tumsifie au tumwambie mara kwa mara juu ya nguvu zake kwetu Sisi wanadamu.
Mungu anataka tumaini ndani yetu, tutende ndani yetu katika namna inayofata. Na ndo mana watu ambao sio wafia dini huwa na mafanikio sababu hufanya vitu kwa kutumia uwezo wao wa ndani waliopewa na Mungu.
Nani amekwambia nimeokoka?! usitafute sababu ya kutoka nje ya mada yako ya kufikirika.Huna hoja zaidi ya matusi. Halafu kwanini hujistukii, wewe uliye okoka ndio unatukana matusi sisi tusio okoka kama wewe tunatoa hoja zetu kistaarabu. Unapaswa kuutafakari wokovu wako
Wewe mpagani ni tatizo sana, tapeli kabisa.Poor translation of the holy scriptures
@Likud unajichanganya.
Umeshasema kule juu Mungu anatutaka tutumie nguvu zetu za asili, sasa iweje tena utake tumuombe Mungu atupe maarifa?!
Hayo maarifa sio nguvu za asili?!
Thread yako imekosa support ya maandiko ndio maana inapoteza muelekeo.
AiseeSasa unadandia tu mawazo ya wengine kujazia kwenye utapeli wako, maswali unayoulizwa kujibu huwezi upo upo tu, endelea kuwadanganya hao wasiojua kitu.
Nimalizie kwa kukwambia usichanganye biblia na upagani kwa kusema Yesu anataka tuchanganye mafundisho yake na mambo ya asili.Bado huwezi kuelewa mkuu..Albert Einstein kwa muda mrefu sana alikuwa anatafuta kujua kuhusu
Aisee
Yule mzee alifanya ujinga sana kuacha kazi inayomuingizia kipato kila sikuCc mzee yusufu mzee wa alambaalamba aaaaaamu aaaaaaaamu[emoji16]
Jamaa haeleweki mara aseme yeye hana dini mara mfuasi wa mwanga halafu anaendaga msikitini kuswali ,inashangaza sana..Wewe mpagani ni tatizo sana, tapeli kabisa.
Swala sita ni dini gani ?Mbona kuna jamaa yangu ni swala sita halafu hajafeli maisha?