Kinachopelekea wanaookoka au kusilimu na kuwa swala tano kufeli kimaisha

Kinachopelekea wanaookoka au kusilimu na kuwa swala tano kufeli kimaisha

Wakristo na waislamu hawataweza kujua Mwenyezi Mungu anataka wao wwafanye kitu gani.

Kwa ufupi Wakristo na Waislamu bado wanaishi gizani na mafundisho ya dini zao pamoja na kwamba ni mazuri lakini hayampendezi Mungu.

Straight to the point hilo swali kwenye title huulizwa na watu wengi sana lakini majibu huwa hayapatikanagi.

Leo wacha nikupe jibu.

Jibu lake ni moja tu, mtu ambae hajaokoka au ambae hajasilimu na kuwa swala tano huwa ana uamini zaidi uwezo wake binafsi katika kufanya mambo yake katika maisha. Huiamini akili yake, maarifa yake na kadhalika.

Mtu huyu anapo okoka au kusilimu na kuwa swala tano, hushift imani aliyo nayo kwake na kuihamishia kwa Mungu jambo ambalo ni haramu machoni pa Mungu.

( UNAPO SHIFT IMANI YAKO KUTOKA KATIKA KUAMINI UWEZO WAKO MWENYEWE NA KUIHAMISHIA KWA MUNGU NI SAWA SAWA NA KUCHUKUA MAJI KUTOKA KWENYE KISIMA CHAKO NA KWENDA KUYAMWAGA BAHARINI HUKU UKIAMINI KWA KUFANYA HIVYO UNAIFURAHISHA BAHARI WAKATI BAHARI WALA HAI HITAJI MAJI YAKO )

Kama ni mfanyabiashara basi badala ya kutumia akili, uwezo, ufahamu na maarifa aliyo nayo kuhusu biashara yeye atabaki kusema Mungu ndo anae toa rizki kwa hivyo ata elekeza energy yake katika kusali/kuswali zaidi badala ya kutumia maarifa yake zaidi.

Mwisho wa siku mtu huyu biashara yake itafeli.

KWANINI NASEMA KUELEKEZA IMANI YAKO KWA MUNGU NI HARAMU?

KWA sababu Mungu hahitaji wewe uamini kwamba yeye ana nguvu ZOTE ana uwezo wote ana uwezo wa kufanya KILA kitu.

Mungu tayari vitu hivyo anavyo na wewe kusema kwamba Mwenyezi Mungu ana nguvu, Mwenyezi Mungu ni MUWEZA wa YOTE, you are not doing any favour to him. You are just repeating what he already knows a long time ago.

( Machoni pa Mungu?mwanadamu anae enda kwenye nyumba ya ibada na kuanza kusema Mwenyezi Mungu wewe ni Mungu mwenye Nguvu mwingi wa rehma, MUWEZA wa YOTE nakadhalika, hana tofauti na yale mapepo yaliyo kuwa yamemvaa yule mwendawazimu aliye kumbana na Yesu Masiha pale Gadarene( Mark 5)

Biblia inasema mapepo hayo yalipo muona Yesu yalianza kulia huku yakimwambia Yesu " Yesu Mwana Wa Mungu aliye juu kabisa ( God the most high) tafadhali tunakuomba usitutoe ndani ya mtu huyu.

Lakini hata hivyo pamoja na kuyatukuza majina ya Mungu Yesu ali yatoa ndani ya mtu huyo.

Hii ni kwa sababu Mungu hahitaji kupewa sifa yoyote ile na kiumbe chake. He has nothing to do with it.

Watu wengi wanao enda kwenye nyumba za ibada kumsifu na kumtukuza Mungu kwa sifa zake huwa wanaishia kuwa cast out of their rightfully seats of authority.

Mwisho wa siku wanaishia kusema watu wasio fanya ibada wanafanikiwa katika maisha kwa sababu ya uchawi. Hell no.

God the Almighty doesn't need to praise him. KWANZA mwanadamu hana Maneno yanayo jitosheleza kuelezea sifa za Mungu and this has been proved by nature.

Wanasayansi Wana kubakubaliana kwamba machozi ni Maneno ambayo mtu ameshindwa kuyaelezea.

SASA kama huwezi kuyaelezea machozi tu utaweza vipi kumuelezea Mungu?

Kama ambavyo hakuna Maneno yanayo weza kuelezea machozi BASI hivyo hivyo hakuna Maneno yanayo weza kumuelezea Mungu.

Njia pekee ya kuelezea imani YAKO KWA MUNGU ni matendo YAKO na tendo pekee linalo weza kuelezea imani YAKO KWA MUNGU ni pale Unapo uamini uwezo wako KWA sababu hata Mungu pia ana uamini uwezo wako.

When your are praising God with words , you are not impressing him anyhow.

And you are not changing or adding anything to him.

MUNGU ANATAKA UAMINI KITU GANI SASA?

Mungu anataka ukiamini wewe mwenyewe. Mungu anataka u uamini uwezo akili, akili zako, maarifa YAKO, ufahamu wako na nguvu zako wewe.

Anataka kile unacho amini kuhusu Mungu ukiamini kuhusu wewe na sio vinginevyo.

KITU GANI HUTOKEA PALE MWANADAMU ANAPO SHIFT IMANI YAKE KWA MUNGU NA KUIELEKEZA KWAKE YEYE MWENYEWE.

Kwa kufanya hivyo mwanadamu hupata faida zifuatazo:

1. A human being who believes in his power more than the power of his creator share the same belief as his creator because the creator believes in his creation.

So uki amini katika nguvu zako jua upo pamoja na Mungu katika imani. KWA sababu hata Mungu pia ana amini katika nguvu zako na uwezo wako.

Kitu pekee kinacho weza ki draw attention ya Mungu kwako ni pale wewe mwenyewe Unapo amini katika nguvu zako.

Unapokuwa una amini katika nguvu zako tafsiri yake ni kwamba una amini katika nguvu na uumbaji wa Mungu kwa sababu Mungu ndio amekuumba wewe na Mungu huumba vitu ambavyo vina reflect nguvu zake na uwezo wake.

Hii dhana kwamba eti binadamu ni kiumbe dhaifu ni kufuru kubwa sana kwa Muumba.

Unaposema binadamu ni dhaifu tafsiri yake ni kwamba Mungu ndio dhaifu kwa sababu Mungu ndio kamuumba mwanadamu.

Ni sawa na kusema " Mercedes Benz ni gari dhaifu" ukisema mercedes ni gari dhaifu jua hujaitukana mercedes benz ila imeitukana teknolojia ya mjerumani ambayo ndio imetumika KUTENGENEZA mercedes benz. KWA hiyo kuanzia leo Shekhe au Mchungaji yoyote akikwambia wewe ni dhaifu Mwambie mimi sio dhaifu labda wewe ndio dhaifu.

Mungu alikuumba ukiwa umekamilika na alipendezwa na kitu alicho kiumba.

Kabla hajakuleta duniani Mungu aliweka ndani YAKO KILA kitu unacho kihitaji ( Ufalme wa Mungu upo ndani YAKO/ Ufalme wa Mungu= Nguvu/mamlaka ya Mungu)

Duniani hakuna kitu chochote kile kinacho weza kukushinda. Hakuna jini SHETANI mganga wala mchawi anae weza kumshinda mwanadamu anae ijua na kui ishi siri hii kwamba Nguvu za Mungu zipo ndani yake na kwamba anacho takiwa kufanya ni kuamini na kuzitumia.

Wachawi waganga mapepo majini na mashetani huwaga wanahangaika na the regular christians and muslims ambao bado wanaishi katika u-ignorance. Wanao enda kanisani na msikitini kutafuta nguvu za Mungu wakati nguvu za Mungu zipo ndani yao.

Mchawi hawezi kukuogopa kwa sababu anajua ur ignorant of your powers.

Start believing in urself and u will come to thank me.

Since I knew this secret my life has changed for better.

Hakuna mchawi wala mganga wala jini wala pepo yoyote yule anae weza kuni defeat .

The one thing that I can tell Lucifer is that " Hey Mr. Lucifer between me and you the one who is afraiding of your powers is you"

Yani ni sawa na Mandonga kamkwida Muhammad Ali( hata roho haidundi)

Mwanadamu unapo enda kumuomba Mungu AKUSAIDIE jambo ambalo Mungu anajua ndani YAKO ameweka tayari amekupa uwezo wa kulifanya jambo hilo una muhuzunisha sana. Yani ni sawa na mtoto wako mwenye umri wa miaka kumi na nne ana kuja kukuomba wewe baba ake au mama ake ukamtawadhe wakati anajua umefikia umri wa kujitawadha mwenyewe..

Ndio maana ukichunguza vizuri utagundua kuwa watu wanao sema kuwa Mungu hajibu maombi wengi wao ni waislamu kwa wakristu.

Simply kwa sababu ya siri hii.

Stop making God sad. Start believe in urself..

Ur brains are a very very powerful weapon. If you don't use them properly your enemy can use them against you because he is attracted to their powers. He wish to be the one possessing the powers of your brains .

( I have said your brains because humans have three brains/ this will be a topic for another day )

Ukianza kuamini katika uungu uliopo ndani YAKO hii dunia unayo ishi itabadilika na kuwa paradiso.


Utaona jinsi mambo yanavyo badikika for good.

Anza sasa. Bado hujachelewa.


# Tatizo kubwa la Mungu kwa wanadamu sio wanadamu kushindwa kumuamini yeye la hasha. Mungu hana uhaba wa watu Wana amini katika nguvu zake hata kidogo. Tatizo kubwa la Mungu kwa wanadamu ni wanadamu kuto amini nguvu za Mungu ambazo ameziweka ndani yao.

Wewe mwenyewe ndio uchague either kuwa tatizo au kutokuwa tatizo machoni pa Mungu
Hivi unadhani Mungu hafurahi kuona kiumbe alichokiumba kinamsifu,kina mshukuru, kumtukuza na kumwabudu? Ikiwa tu wafalme wa duniani wanafurahi wanaposifiwa na kutukuzwa, vpi kwa MUNGU ambaye ni mmiliki wa ulimwengu mzima??

Sisi viumbe ni watumwa wa Mungu, Mungu ndiye Bwana wetu, so ni lazima tunyenyekee kwake
 
MWANZO 1:26-28
Kisha Mungu akasema na tufanye mtu kwa mfano wetu kwa sura yetu atawale samaki wa baharini ndege wa angani wanyama wa kufuga na dunia yote na viumbe vyote vitambavyo. basi Mungu akaumba mtu. kwa mfano wake Mungu aliwaumba mwanaume na mwanamke akawaambia "zaeni mkaongezeke mkajaze nchi na kuimiliki mtawale samaki wa baharini ndege wa angani na kila kiumbe hai kitembeacho duniani.
.
Mimi ni mfano wa mungu na mungu ni roho hivyo roho yangu ni mungu na mungu ametupa mamlaka na kutawala vyote vilivyopo duniani sasa niende kanisani niombe ni nini wakati kila kitu amenipa kikubwa ni kutumia akili yangu nitumie vyote mungu alivyonipa.
.
Sasa wewe unaenda kanisani kulia unaenda kufanya ni nini wakati mungu amekuumba kwa mfann wake mana yake wewe ni bora kuliko viumbe vyote alivyo umba aitoshi akakupa mamlaka na kutawala vyote vilivyopo duniani
MUNGU AKINIPA UZIMA NA AFYA NA HEKIMA VINATOSHA VILIVYOBAKI NTAPAMBANA NAVYO MWENYEWE
Ur very right mkuu. Ibada inayo kubalika mbele za Mungu ni ibada ya shukrani. Una mshukuru kwa kukuumba kwa mfano wake
 
ALLAH anajibu swali lako mtoa mada kupitia Kitabu kitukufu cha QURAN

Quran 29:2-3

"Je! Wanadhani watu wataachwa kwa kuwa wanasema: Tumeamini. Nao wasijaribiwe?

Hakika tuliwajaribu walio kuwa kabla yao, na kwa yakini Mwenyezi Mungu atawatambulisha walio wa kweli na atawatambulisha walio waongo."


Quran 2:214



"Mnadhani kuwa mtaingia Peponi, bila ya kukujieni kama yaliyo wajia wale walio pita kabla yenu? Iliwapata shida na madhara na wakatikiswa hata Mtume na walio amini pamoja naye wakasema: Lini nusura ya Mwenyezi Mungu itakuja? Jueni kuwa nusura ya Mwenyezi Mungu ipo karibu"


UFAFANUZI:

Ni hivi mtoa mada katika suala la imani kuna watu wa aina tatu

1: Waumini wa kweli
2: Wanafiki
3:Wasiamini kabisa

Tabaka la wanafiki ambalo ni ngumu kujulikana huwa limejificha ndani ya tabaka la walioamini ila ndani ya mioyo yao huwa sio waumini ila kwa nje huonekana kuwa ni miongoni mwa walioamini kabisa. Sasa ili kuhakikisha kuwa kunapatikana ile pure cream ya walioamini , ALLAH huleta mitihani yake ili kuwabainisha walioamini na wale wasioamini. Utaratibu wa Mungu upo hivi kadiri anavyompenda mja wake na mitihani nayo huongezeka kwa mja na pia kadiri mtu imani inapoongezeka kwa mola wake ndio Mungu anavyozidi kumpa mitihani ili kudhihirisha ukweli wa imani yake.

Ndio maana ukisoma katika maandiko matakatifu, wale waja ambao wamefaulu katika ulimwengu huu (Mitume na manabii) ndio waliongoza kwa kupewa mitihani mizito sana kuliko wale waliokuwa na imani haba.

Kabla ya kusilimu unaweza ukawa ulikuwa ni tajiri ila asili ya utajiri wako ni wa njia ya haramu mfano labda uuzaji wa Pombe n.k ila ukiingia ndani ya Uislam unaambiwa kuwa vitu hivyo ni haramu havifai kutumia wala kuuzwa....sasa hapa huwa ni mtihani kwako, Je utaacha kuviuza kwa ajili ya Mungu au utaamua kufata matamanio ya nafsi yako? Kumbuka kuacha kuviuza ina maana kuwa biashara yako inakufa na pengine utajiri wako ukapotea...je upo tayari kuacha biashara yako haramu kwa ajili ya Mungu? Ukiamua kuacha kweli sio kwamba mitihani itakuwa imeishia hapo,utaendelea kujaribiwa mpk unaachana na ulimwengu huu!!! Kisha malipo yako makubwa utakwenda kuyapata katika ulimwengu ujao baada ya kufufuliwa.
Ukitaka kumjua Mungu toka nje ya "kifungo cha dini" ndani ya kifungo cha dini huwezi kumjua Mungu wa ukweli hata siku moja..
 
Eti mtumwa wa Mungu. So Mungu na yeye ana watumwa?
Hivi unadhani Mungu hafurahi kuona kiumbe alichokiumba kinamsifu,kina mshukuru, kumtukuza na kumwabudu? Ikiwa tu wafalme wa duniani wanafurahi wanaposifiwa na kutukuzwa, vpi kwa MUNGU ambaye ni mmiliki wa ulimwengu mzima??

Sisi viumbe ni watumwa wa Mungu, Mungu ndiye Bwana wetu, so ni lazima tunyenyekee kwake
 
Ukitaka kumjua Mungu toka nje ya "kifungo cha dini" ndani ya kifungo cha dini huwezi kumjua Mungu wa ukweli hata siku moja..
Ukimtoa Mungu katika sphere ya maisha yako ina maana wewe sio muumini wa MUNGU ila unaamini katika matamanio ya nafsi yako!

Uzuri Quran haijaacha kitu...Mungu anasema hivi

Quran 45:23

Je! Umemwona aliye fanya matamanio yake kuwa ndiye mungu wake, na Mwenyezi Mungu akamwacha apotee pamoja na kuwa ana ujuzi, na akapiga muhuri juu ya masikio yake, na moyo wake, na akambandika vitanga machoni mwake? Basi nani atamwongoa huyo baada ya Mwenyezi Mungu? Hamkumbuki?
 
Pia ieleweke kuwa kuwa katika upande wa Mungu hakumaanishi kuwa umechagua njia ya ufukara!! Maisha ya dunia si lolote bali ni pumbao tu la muda mfupi. Tupo duniani kwa ajili ya kujaribiwa tu. Na miongoni mwa mitihani ni upungufu na wingi wa mali.

Kuwa tajiri na kuhodhi mali nyingi ni mtihani mkubwa sana kuliko watu wanavyodhani. Kivipi?

Ipo hivi nafsi ya mwanadamu inapenda kuhodhi (kumiliki) mali.Huwa inachukia sana kutoa. Hii ndio hali halisi ya nafsi isipokuwa kwa nafsi chache ambazo Mungu amezirehemu tu.

Sasa kwa mtu aliyejaaliwa wingi wa mali huwa anatakiwa atoe sehemu ya mali yake kwa ajili ya Mungu.Sehemu hiyo inaitwa Zaka. Kwasisi waislamu huitwa Zaka , na hizi zaka zipo za aina nyingi...kama umejaaliwa kumiliki mifugo mingi basi unatakiwa utoe sehemu katika sehemu ya mifugo yako uwagawie wale wasiokuwa na mifugo. Sitaingia ndani sana katika hili ila lina utaratibu wake ..tena sio utoe tu mnyama aliyedhohofika, la hasha unatakiwa utoe mnyama mzuri mwenye afya...je nani katika wafugaji mfano mwenye ng'ombe 1000 atoe walau ng'ombe wake 20 kila mwaka agawie masikini??? Jibu unalo wewe

Mfano mwingine ni kwa wale waliojaaliwa kumiliki fedha nyingi, kuna kiwango ukifika cha kumiliki angalau gramu 85 za dhahabu kwa mwaka ,unatakiwa utoe zaka ya hilo pato ambayo ni angalau asilimia 2.5 ya mali yako kila mwaka.

Mfano kama unamiliki jumla ya milioni 100 basi Mungu atahitaji utoe shilingi milioni 2.5 uwape wale wasio na uwezo. Je nani yupo tayari kugawa pesa yake aliyoitafuta kwa jasho?

Mitihani mingine kwa matajiri ni pale unapotakiwa uache mambo mabaya wakati una uwezo mzuri wa kuyafanya.Mfano unaambiwa uache uzinzi wakati unauwezo wa kutembea na mwanamke yeyote unayemuhitaji, yaani unaweza ukamnunua mwanamke kwa fedha ila Mungu anakukataza usifanye hivyo, je upo tayari kutii amri?


Kwa upande wa masikini pia ni mitihani, kuwa masikini hakumfanyi Mungu asikujaribu...Utajaribiwa tu kupitia huo umasikini wako.

Je upo tayari kuendelea kuilinda inani yako kwa Mungu licha ya kuwa umepewa mtihani wa upungufu wa mali??
Maisha ya dunia si lolote... SASA unafanya kazi ili iweje kama maisha ya dunia si lolote. Kunywa sumu jiue ndo tujue upo serious una maanisha.


Yani Mungu ame design maisha ya mwanadamu for a period of one thousand years. Ameitengeneza dunia nzuri yenye kuvutia amekuleta kiumbe wake uje ufurahie maisha then malipo YAKO kwake ni kusema maisha si lolote. Are you serious?

Mimi nayapenda maisha na kika SIKU namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunipa maisha na kunileta duniani.


" Dunia tupo kujaribiwa" ni sentensi inayo mkufuru Mungu kwa kiwango cha stifler gorge. Ukisema duniani umekuja kujaribiwa tafsiri yake ni kwamba anae kujaribu hajui hutafanya nini endapo atakujaribu. Kwamba hajui mambo yajayo. Ndio unacho maanisha hiki.

Mungu hana interest yoyote na kukujaribu wewe kiumbe wake. And he cannot do such a stupid mission.

Hiyo kumjaribu mtu ni human character na sio divine character.
 
Ukimtoa Mungu katika sphere ya maisha yako ina maana wewe sio muumini wa MUNGU ila unaamini katika matamanio ya nafsi yako!

Uzuri Quran haijaacha kitu...Mungu anasema hivi

Quran 45:23

Je! Umemwona aliye fanya matamanio yake kuwa ndiye mungu wake, na Mwenyezi Mungu akamwacha apotee pamoja na kuwa ana ujuzi, na akapiga muhuri juu ya masikio yake, na moyo wake, na akambandika vitanga machoni mwake? Basi nani atamwongoa huyo baada ya Mwenyezi Mungu? Hamkumbuki?

KWA hiyo unataka kusema nje ya Qur'aan binadamu hawezi kumjua Mungu ?
 
LIKUD wewe humuabudu Mungu bali unayaabudu matamanio ya nafsi yako. Unapokiri kuwa unamuamini Mungu lazima u-acknowlwdge his absolute will and power over you.

Mungu ameweka sets of laws and guidance kama unahitaji kuwa upande wake ni lazima uzifate na uzitii. Kama unafanya biashara basi ifanye biashara katika msingi ambao Mungu anautaka na kuuridhia! Usifanye biashara za haramu licha ya kuwa zinaweza kukuingizia pesa nyingi kwa muda mfupi, Usidhulumu watu katika vipimo na haki zao, Usile riba, usimdidimize mfanyabiashara mwenzio ili tu wewe uwe juu n.k

Ukisema unafuata akili yako tuu ni wazi kuwa maagizo ya Mungu utayaweka kando.
 
Jamaa haeleweki mara aseme yeye hana dini mara mfuasi wa mwanga halafu anaendaga msikitini kuswali ,inashangaza sana..

Yes masjid naenda kusocialize a jamaa zangu.

Kuwa mfuasi wa Mwanga sio dini. Naufuata Mwanga. Dini ni utumwa. Wewe endelea kuwa mtumwa wa dini. Mimi nimesha toka kwenye huo utumwa mkuu.
 
KWA hiyo unataka kusema nje ya Qur'aan binadamu hawezi kumjua Mungu ?
Kuna kumjua na kumuamini. 100% ya viumbe wote wanamjua Mungu. Hata hao atheists wanamkanusha midomoni tu ila deep down nyoyo zao zinajua kuwa yupo aliyeumba huu ulimwengu. Tunapokuja kwenye suala la wananaomuamini huwa ni la wachache tu. Kuamini maana yake ,you hear and obey!! Unajisalimisha (unaslimu) kuwa chini ya mamlaka na sheria za Mungu. So yes bila ya kupitia vitabu vitakatibu huwezi kumjua Mungu ukweli wa kumjua. Utaishia tu kutambua uwepo wake ila kujua anapenda na anachukia nini , hutoweza kujua mpaka usome habari zake kupitia maandiko matukufu.
 
LIKUD wewe humuabudu Mungu bali unayaabudu matamanio ya nafsi yako. Unapokiri kuwa unamuamini Mungu lazima u-acknowlwdge his absolute will and power over you.

Mungu ameweka sets of laws and guidance kama unahitaji kuwa upande wake ni lazima uzifate na uzitii. Kama unafanya biashara basi ifanye biashara katika msingi ambao Mungu anautaka na kuuridhia! Usifanye biashara za haramu licha ya kuwa zinaweza kukuingizia pesa nyingi kwa muda mfupi, Usidhulumu watu katika vipimo na haki zao, Usile riba, usimdidimize mfanyabiashara mwenzio ili tu wewe uwe juu n.k

Ukisema unafuata akili yako tuu ni wazi kuwa maagizo ya Mungu utayaweka kando.
Mimi sijajiumba mwenyewe mkuu. Nimeumbwa na Mungu. Hayo matamanio ya nafsi yangu ameniumbia Mungu. Kutafuta matamanio ya nafsi yangu sio jambo baya ni jambo zuri KWA sababu ndivyo Mungu alivyo niumba. Hata mfalme Suleiman anasema " Sikuyanyima macho yangu chochote yalichotaka waka Siku unyima mwili wangu chochote ulicho taka".

Bila " matamanio ya mwili" wewe usingekuwa una andika hapa. Ni matamanio ya mwili ndio yali mfanya baba ako akamjua mama ako kisha wewe ukazaliwa. Yaheshimu matamanio ya mwili mkuu
 
Yes masjid naenda kusocialize a jamaa zangu.

Kuwa mfuasi wa Mwanga sio dini. Naufuata Mwanga. Dini ni utumwa. Wewe endelea kuwa mtumwa wa dini. Mimi nimesha toka kwenye huo utumwa mkuu.
Wewe unaabudu matamanio ya nafsi yako as i said earlier!!

Mungu mwenyewe anatambua uwepo wa Dini, wewe ni nani useme huamini kuhusu dini?

Quran 3:19

Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu
 
Kuna kumjua na kumuamini. 100% ya viumbe wote wanamjua Mungu. Hata hao atheists wanamkanusha midomoni tu ila deep down nyoyo zao zinajua kuwa yupo aliyeumba huu ulimwengu. Tunapokuja kwenye suala la wananaomuamini huwa ni la wachache tu. Kuamini maana yake ,you hear and obey!! Unajisalimisha (unaslimu) kuwa chini ya mamlaka na sheria za Mungu. So yes bila ya kupitia vitabu vitakatibu huwezi kumjua Mungu ukweli wa kumjua. Utaishia tu kutambua uwepo wake ila kujua anapenda na anachukia nini , hutoweza kujua mpaka usome habari zake kupitia maandiko matukufu.

Binadamu ameishi duniani KWA miaka milioni saba. Qur'aan imeletwa miaka 1500 iliyopita. Hao watu walio ishi kabla ya Qur'aan walikuwa hawamjui Mungu?
 
Wewe unaabudu matamanio ya nafsi yako as i said earlier!!

Mungu mwenyewe anatambua uwepo wa Dini, wewe ni nani useme huamini kuhusu dini?

Quran 3:19

Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu
Kati ya Mungu aliye niumba akanipa matamanio ya mwili na mimi mwanadamu ninae yatumia matamanio ya mwili kuifurahisha nafsi yangu nani mwenye makosa?
 
Wakristo na waislamu hawataweza kujua Mwenyezi Mungu anataka wao wwafanye kitu gani.

Kwa ufupi Wakristo na Waislamu bado wanaishi gizani na mafundisho ya dini zao pamoja na kwamba ni mazuri lakini hayampendezi Mungu.

Straight to the point hilo swali kwenye title huulizwa na watu wengi sana lakini majibu huwa hayapatikanagi.

Leo wacha nikupe jibu.

Jibu lake ni moja tu, mtu ambae hajaokoka au ambae hajasilimu na kuwa swala tano huwa ana uamini zaidi uwezo wake binafsi katika kufanya mambo yake katika maisha. Huiamini akili yake, maarifa yake na kadhalika.

Mtu huyu anapo okoka au kusilimu na kuwa swala tano, hushift imani aliyo nayo kwake na kuihamishia kwa Mungu jambo ambalo ni haramu machoni pa Mungu.

( UNAPO SHIFT IMANI YAKO KUTOKA KATIKA KUAMINI UWEZO WAKO MWENYEWE NA KUIHAMISHIA KWA MUNGU NI SAWA SAWA NA KUCHUKUA MAJI KUTOKA KWENYE KISIMA CHAKO NA KWENDA KUYAMWAGA BAHARINI HUKU UKIAMINI KWA KUFANYA HIVYO UNAIFURAHISHA BAHARI WAKATI BAHARI WALA HAI HITAJI MAJI YAKO )

Kama ni mfanyabiashara basi badala ya kutumia akili, uwezo, ufahamu na maarifa aliyo nayo kuhusu biashara yeye atabaki kusema Mungu ndo anae toa rizki kwa hivyo ata elekeza energy yake katika kusali/kuswali zaidi badala ya kutumia maarifa yake zaidi.

Mwisho wa siku mtu huyu biashara yake itafeli.

KWANINI NASEMA KUELEKEZA IMANI YAKO KWA MUNGU NI HARAMU?

KWA sababu Mungu hahitaji wewe uamini kwamba yeye ana nguvu ZOTE ana uwezo wote ana uwezo wa kufanya KILA kitu.

Mungu tayari vitu hivyo anavyo na wewe kusema kwamba Mwenyezi Mungu ana nguvu, Mwenyezi Mungu ni MUWEZA wa YOTE, you are not doing any favour to him. You are just repeating what he already knows a long time ago.

( Machoni pa Mungu?mwanadamu anae enda kwenye nyumba ya ibada na kuanza kusema Mwenyezi Mungu wewe ni Mungu mwenye Nguvu mwingi wa rehma, MUWEZA wa YOTE nakadhalika, hana tofauti na yale mapepo yaliyo kuwa yamemvaa yule mwendawazimu aliye kumbana na Yesu Masiha pale Gadarene( Mark 5)

Biblia inasema mapepo hayo yalipo muona Yesu yalianza kulia huku yakimwambia Yesu " Yesu Mwana Wa Mungu aliye juu kabisa ( God the most high) tafadhali tunakuomba usitutoe ndani ya mtu huyu.

Lakini hata hivyo pamoja na kuyatukuza majina ya Mungu Yesu ali yatoa ndani ya mtu huyo.

Hii ni kwa sababu Mungu hahitaji kupewa sifa yoyote ile na kiumbe chake. He has nothing to do with it.

Watu wengi wanao enda kwenye nyumba za ibada kumsifu na kumtukuza Mungu kwa sifa zake huwa wanaishia kuwa cast out of their rightfully seats of authority.

Mwisho wa siku wanaishia kusema watu wasio fanya ibada wanafanikiwa katika maisha kwa sababu ya uchawi. Hell no.

God the Almighty doesn't need to praise him. KWANZA mwanadamu hana Maneno yanayo jitosheleza kuelezea sifa za Mungu and this has been proved by nature.

Wanasayansi Wana kubakubaliana kwamba machozi ni Maneno ambayo mtu ameshindwa kuyaelezea.

SASA kama huwezi kuyaelezea machozi tu utaweza vipi kumuelezea Mungu?

Kama ambavyo hakuna Maneno yanayo weza kuelezea machozi BASI hivyo hivyo hakuna Maneno yanayo weza kumuelezea Mungu.

Njia pekee ya kuelezea imani YAKO KWA MUNGU ni matendo YAKO na tendo pekee linalo weza kuelezea imani YAKO KWA MUNGU ni pale Unapo uamini uwezo wako KWA sababu hata Mungu pia ana uamini uwezo wako.

When your are praising God with words , you are not impressing him anyhow.

And you are not changing or adding anything to him.

MUNGU ANATAKA UAMINI KITU GANI SASA?

Mungu anataka ukiamini wewe mwenyewe. Mungu anataka u uamini uwezo akili, akili zako, maarifa YAKO, ufahamu wako na nguvu zako wewe.

Anataka kile unacho amini kuhusu Mungu ukiamini kuhusu wewe na sio vinginevyo.

KITU GANI HUTOKEA PALE MWANADAMU ANAPO SHIFT IMANI YAKE KWA MUNGU NA KUIELEKEZA KWAKE YEYE MWENYEWE.

Kwa kufanya hivyo mwanadamu hupata faida zifuatazo:

1. A human being who believes in his power more than the power of his creator share the same belief as his creator because the creator believes in his creation.

So uki amini katika nguvu zako jua upo pamoja na Mungu katika imani. KWA sababu hata Mungu pia ana amini katika nguvu zako na uwezo wako.

Kitu pekee kinacho weza ki draw attention ya Mungu kwako ni pale wewe mwenyewe Unapo amini katika nguvu zako.

Unapokuwa una amini katika nguvu zako tafsiri yake ni kwamba una amini katika nguvu na uumbaji wa Mungu kwa sababu Mungu ndio amekuumba wewe na Mungu huumba vitu ambavyo vina reflect nguvu zake na uwezo wake.

Hii dhana kwamba eti binadamu ni kiumbe dhaifu ni kufuru kubwa sana kwa Muumba.

Unaposema binadamu ni dhaifu tafsiri yake ni kwamba Mungu ndio dhaifu kwa sababu Mungu ndio kamuumba mwanadamu.

Ni sawa na kusema " Mercedes Benz ni gari dhaifu" ukisema mercedes ni gari dhaifu jua hujaitukana mercedes benz ila imeitukana teknolojia ya mjerumani ambayo ndio imetumika KUTENGENEZA mercedes benz. KWA hiyo kuanzia leo Shekhe au Mchungaji yoyote akikwambia wewe ni dhaifu Mwambie mimi sio dhaifu labda wewe ndio dhaifu.

Mungu alikuumba ukiwa umekamilika na alipendezwa na kitu alicho kiumba.

Kabla hajakuleta duniani Mungu aliweka ndani YAKO KILA kitu unacho kihitaji ( Ufalme wa Mungu upo ndani YAKO/ Ufalme wa Mungu= Nguvu/mamlaka ya Mungu)

Duniani hakuna kitu chochote kile kinacho weza kukushinda. Hakuna jini SHETANI mganga wala mchawi anae weza kumshinda mwanadamu anae ijua na kui ishi siri hii kwamba Nguvu za Mungu zipo ndani yake na kwamba anacho takiwa kufanya ni kuamini na kuzitumia.

Wachawi waganga mapepo majini na mashetani huwaga wanahangaika na the regular christians and muslims ambao bado wanaishi katika u-ignorance. Wanao enda kanisani na msikitini kutafuta nguvu za Mungu wakati nguvu za Mungu zipo ndani yao.

Mchawi hawezi kukuogopa kwa sababu anajua ur ignorant of your powers.

Start believing in urself and u will come to thank me.

Since I knew this secret my life has changed for better.

Hakuna mchawi wala mganga wala jini wala pepo yoyote yule anae weza kuni defeat .

The one thing that I can tell Lucifer is that " Hey Mr. Lucifer between me and you the one who is afraiding of your powers is you"

Yani ni sawa na Mandonga kamkwida Muhammad Ali( hata roho haidundi)

Mwanadamu unapo enda kumuomba Mungu AKUSAIDIE jambo ambalo Mungu anajua ndani YAKO ameweka tayari amekupa uwezo wa kulifanya jambo hilo una muhuzunisha sana. Yani ni sawa na mtoto wako mwenye umri wa miaka kumi na nne ana kuja kukuomba wewe baba ake au mama ake ukamtawadhe wakati anajua umefikia umri wa kujitawadha mwenyewe..

Ndio maana ukichunguza vizuri utagundua kuwa watu wanao sema kuwa Mungu hajibu maombi wengi wao ni waislamu kwa wakristu.

Simply kwa sababu ya siri hii.

Stop making God sad. Start believe in urself..

Ur brains are a very very powerful weapon. If you don't use them properly your enemy can use them against you because he is attracted to their powers. He wish to be the one possessing the powers of your brains .

( I have said your brains because humans have three brains/ this will be a topic for another day )

Ukianza kuamini katika uungu uliopo ndani YAKO hii dunia unayo ishi itabadilika na kuwa paradiso.


Utaona jinsi mambo yanavyo badikika for good.

Anza sasa. Bado hujachelewa.


# Tatizo kubwa la Mungu kwa wanadamu sio wanadamu kushindwa kumuamini yeye la hasha. Mungu hana uhaba wa watu Wana amini katika nguvu zake hata kidogo. Tatizo kubwa la Mungu kwa wanadamu ni wanadamu kuto amini nguvu za Mungu ambazo ameziweka ndani yao.

Wewe mwenyewe ndio uchague either kuwa tatizo au kutokuwa tatizo machoni pa Mungu
Kwa kweli una hoja ila heading umekosea ila main body na conclusion iko vzr

Hi la kuwa na nguvu za kiungu ndani yangu nililiona Hilo kitambo ila sijalifanyiaa kazi

Je sas kwa andiko hili unatka kutukataza kwenda kanisa na kushikiri katk sikuu za mafuno ianenda kuazimishwa October 31
 
LIKUD wewe humuabudu Mungu bali unayaabudu matamanio ya nafsi yako. Unapokiri kuwa unamuamini Mungu lazima u-acknowlwdge his absolute will and power over you.

Mungu ameweka sets of laws and guidance kama unahitaji kuwa upande wake ni lazima uzifate na uzitii. Kama unafanya biashara basi ifanye biashara katika msingi ambao Mungu anautaka na kuuridhia! Usifanye biashara za haramu licha ya kuwa zinaweza kukuingizia pesa nyingi kwa muda mfupi, Usidhulumu watu katika vipimo na haki zao, Usile riba, usimdidimize mfanyabiashara mwenzio ili tu wewe uwe juu n.k

Ukisema unafuata akili yako tuu ni wazi kuwa maagizo ya Mungu utayaweka kando.
" Ukisema unafuata akili yako tu ni wazi maagizo ya Mungu unayaweza kando" Maagizo ya Mungu yapi hayo? Na nani alikwambia hayo ni Maagizo ya Mungu?
 
Binadamu ameishi duniani KWA miaka milioni saba. Qur'aan imeletwa miaka 1500 iliyopita. Hao watu walio ishi kabla ya Qur'aan walikuwa hawamjui Mungu?
Quran 35:24


"Hakika Sisi tumekutuma wewe (Muhammad) kwa Haki, kuwa ni mbashiri na mwonyaji. Na hapana umma wowote ila ulipata mwonyaji kati yao"


Kabla ya Quran vipo vitabu vilitangulia kama Taurati, Zaburi na Injili na hakuna umma wowote isipokuwa Mungu alipeleka muonyaji kati yao. Hakuna excuse kuwa Mungu hakupeleka Muonyaji ila alipopeleka muonyaji nini watu walifanya??

Quran 35:25

Na wakikukanusha basi walikwisha wakanusha walio kuwa kabla yao. Mitume wao waliwajia kwa dalili wazi wazi na kwa maandiko na Kitabu chenye nuru.
 
Kwa kweli una hoja ila heading umekosea ila main body na conclusion iko vzr

Hi la kuwa na nguvu za kiungu ndani yangu nililiona Hilo kitambo ila sijalifanyiaa kazi

Je sas kwa andiko hili unatka kutukataza kwenda kanisa na kushikiri katk sikuu za mafuno ianenda kuazimishwa October 31
Kanisani nenda kwa ajili ya kusocialize na waamini wenzako lakini ukweli ukae nao kwenye nafsi YAKO kwamba Mungu amekupa kila unacho kihitaji. Nguvu za Mungu zipo ndani YAKO. Ukiamini katika hilo BASI utafanya kitu chochote unacho hitaji kukifanya hapa duniani. Hakuna jini wala mchawi wala sijui pepo atakae kubabaisha.
 
Quran 35:24


"Hakika Sisi tumekutuma wewe (Muhammad) kwa Haki, kuwa ni mbashiri na mwonyaji. Na hapana umma wowote ila ulipata mwonyaji kati yao"


Kabla ya Quran vipo vitabu vilitangulia kama Taurati, Zaburi na Injili na hakuna umma wowote isipokuwa Mungu alipeleka muonyaji kati yao. Hakuna excuse kuwa Mungu hakupeleka Muonyaji ila alipopeleka muonyaji nini watu walifanya??

Quran 35:25

Na wakikukanusha basi walikwisha wakanusha walio kuwa kabla yao. Mitume wao waliwajia kwa dalili wazi wazi na kwa maandiko na Kitabu chenye nuru.
Mkuu wewe ni mlevi ujue? Wewe unanitajia vitabu vya juzi hivyo miaka 2000 iliyopita. Mimi nimekwambia watu walio ishi duniani miaka milioni saba iliyo pita...

Acha ulevi mkuu
 
Back
Top Bottom