Kinachopelekea wanaookoka au kusilimu na kuwa swala tano kufeli kimaisha

Kinachopelekea wanaookoka au kusilimu na kuwa swala tano kufeli kimaisha

Hata mm nilitaka kumpuuza ila nikaona acha nimsome aise kumbe kaleta vitu vya sis kufanyika kazi ,haswa eneo la kushukuru Ni muhimu mno hili nimelifahamu kitambo kuwa mungu anatak shuktani tu

Na ndio maana marekani uko nin rfk angu mzungu alikuwa ananimbia kule kwao wana sikukuu kubwaa sna kitaifa inayoitwa Thanksgiving ni skuu kuu ya shkrani tu na siyo maombi
LIKUD hili unalifahamu
Yeah sure mkuu
 
Sas mkuu LIKUD tufundishe au tupe muongozo wako wa namna gani ya kumuendeaa mungu ili tuache utamaduni tulio Zoe wa kusema "tuombe "yaani kila tukitaka kufanya ibada tutasema tuombe je Ni ipi Kauli nzuri ya kumuendeaa huyu alitetupa nguvu zake Mungu ?
 
Maisha ya dunia si lolote... SASA unafanya kazi ili iweje kama maisha ya dunia si lolote. Kunywa sumu jiue ndo tujue upo serious una maanisha.


Yani Mungu ame design maisha ya mwanadamu for a period of one thousand years. Ameitengeneza dunia nzuri yenye kuvutia amekuleta kiumbe wake uje ufurahie maisha then malipo YAKO kwake ni kusema maisha si lolote. Are you serious?

Mimi nayapenda maisha na kika SIKU namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunipa maisha na kunileta duniani.


" Dunia tupo kujaribiwa" ni sentensi inayo mkufuru Mungu kwa kiwango cha stifler gorge. Ukisema duniani umekuja kujaribiwa tafsiri yake ni kwamba anae kujaribu hajui hutafanya nini endapo atakujaribu. Kwamba hajui mambo yajayo. Ndio unacho maanisha hiki.

Mungu hana interest yoyote na kukujaribu wewe kiumbe wake. And he cannot do such a stupid mission.

Hiyo kumjaribu mtu ni human character na sio divine character.
Seema nin likud unajuwa San Seema tu sijapata muda na muda nimchahche mnk ningekufatiliaa Zaid kuna kitu unacho amabcho wengi hawakioni uzuri Ni kwamb hajamkufuru mungu Wala roho mtakatifu Kuna kitu uanajuwa juu ya Sana ya kushukuru acha nilale nikipta Musa nitakudm kabsa tuyajenge
 
Mtu hafanyi kazi kwa bidii na maarifa anakariri Biblia na Qur'an anafanikiwaje?
 
Yes masjid naenda kusocialize a jamaa zangu.

Kuwa mfuasi wa Mwanga sio dini. Naufuata Mwanga. Dini ni utumwa. Wewe endelea kuwa mtumwa wa dini. Mimi nimesha toka kwenye huo utumwa mkuu.
Nipe hasara 4 au tatu ninazopata kutokana kuwa mfuasi wa dini ?

Kuwa mtumwa duniani hakuepukiki na kuwa mtumwa mbele ya Mwenyezi Mungu hapo ndio sawa ,tuseme haufuati utakuwa bado mtumwa ;
1.kwa wanawake hapa watu wanaumia kufa na kupigwa vibaya.

2.Mtumwa wa mipira tena hapa shabiki anatoa hela yake kusafiri na timu kwenda uwanjani wkt mwingine familia haki tete,usiku anaacha kulala vizuri anakaa kibanda umiza mpaka sasa 7 kucheki gemu ya Uefa ,mtu anaumizwa na matokeo ambayo hajasababisha yeye na hana control nayo nk huu sio upumbavu ?

4.Mtumwa wa miziki unamshabikia msanii na kumpambania mitandaoni ,kumjadili vijiweni ,kununua nyimbo wakati haupati share yeyote ya faida na wala hakutambui ..

5.Mtumwa wa Pombe ,bangi ,sigara ,mirungi nk hapa kuns athari nyingi za kiafya na kiakili na watu wengi wameangania.

6.Mtumwa wa kubeti na kamari, hapa watu wengi wameathirika vibaya mno na kupata hasara

7.Nk

Nb: Utumwa haupukiki mtu katika maisha lazima uwe mtumwa wa mfumo fulani na hiyo inakuwa kama dini yako lakini ukiwa mtumwa wa Mwenyezi Mungu wa kweli hapo hauna hasara kama ukifuata mafundisho ya kweli na kufuata maelekezo kwa usahihi hapo wewe Kazi yako ni kumuamini yeye kuacha mabaya na kufuata mema

Tatizo kubwa watu wanapokea mafundisho vibaya hapo ndipo wanapotoka hakuna mahali Mwenyezi Mungu anataka watu wawe masikini wasijishughulishe hapana sasa unakuta mtu anashinda msikitini kutwa nzima hajitumi kuongeza kipato kwa njia halali anabaki kusema Allah ndiye amekadiria hivyo wakati mafundisho yanataka ukishamaliza kuswali ukajitafutie riziki yako halali
IMG_20221021_061339.jpg

ETszu7KUYAUXgn4(1).jpg


Note:Ukinipa hasara Nne za kuwa na dini na faida Nne za kuwa mfuasi wa dini yako nakufuata sasa hivi.
 
Mtu hafanyi kazi kwa bidii na maarifa anakariri Biblia na Qur'an anafanikiwaje?
Watu wamekuwa brainwashed sana tatizo limeanzia pale walipoanza kuwa wavizu kusoma na kufuatilia essence ya mafundisho ya kuwafanya watu kama Miungu Shekhe fulani au mchungaji fulani akisema ndio inakuwa sheria .

Binafsi mimi nikizungumzia upande wa Qu'ran mara tu nilipoanza kufuatilia kea kina essence ya mafundisho nilisikitika sana kwani kuna principle za mafanikio na nidhamu katika majambo mengi na wakati nimeanza kufuatilia nikagundua waislamu wengi tupo nje ya mfumo na maelekezo ya mule angalia waarabu mbona wanasoma Qur'an mara kwa mara na wametoboa ? tena sehemu nyingi tumehusiwa kujitafutia riziki kwa njia halali mpaka jinsi gani itimie kwa nidhamu imenainishwa wazi.
ENM23BXUwAAIlao.jpg

Allah-Doesnt-Like-Those-Who-Waste-by-Extravagance-1024x1024(2).jpeg
 
Yes masjid naenda kusocialize a jamaa zangu.

Kuwa mfuasi wa Mwanga sio dini. Naufuata Mwanga. Dini ni utumwa. Wewe endelea kuwa mtumwa wa dini. Mimi nimesha toka kwenye huo utumwa mkuu.
Kuwa mfuasi wa mwanga ni dini kwa mujibu wa Uislamu labda hata kuwa mfuasi wa matamanio yaani mimi nafuata chochote ninachokipenda sawa nayo ni dini .

Labda useme mimi sifuati Uislamu na Ukiristo hapo Sawa lakini mtu halisi dini yaani lazima awe katika mfumo ,imani na kanuni fulani na hiyo ndiyo dini yake.
 
Kuwa mfuasi wa mwanga ni dini kwa mujibu wa Uislamu labda hata kuwa mfuasi wa matamanio yaani mimi nafuata chochote ninachokipenda sawa nayo ni dini .

Labda useme mimi sifuati Uislamu na Ukiristo hapo Sawa lakini mtu halisi dini yaani lazima awe katika mfumo ,imani na kanuni fulani na hiyo ndiyo dini yake.
Hawa watu wanshindwa kuelewa maana ya dini. Dini ni mfumo mzima wa maisha ya mwanadamu kutoka pale anazaliwa mpaka ana kufa. Hakuna mtu duniani asiyekuwa na dini. Hata wale atheist (wasioamini uwepo wa Mungu) nao wana dini yao.Nayo huitwa Dini ya MATAMANIO YA NAFSI ZAO. Yaani wao wanaongozwa na matamanio ya nafsi zao.Kila nafsi inachokitamani kwao huona ni sawa.

UISLAM ni dini /mfumo ambao unamtaka mtu ajisalimishe kuwa chini ya Mungu mmoja aliyeumba mbingu na nchi na vyote vilivyomo ndani yake! Kujisalimisha kwa maana ya kumuabudu YEYE pekee pasi na kumshirikisha na kitu chochote.Pia kumsikiliza na kumtii kwa yale yote aliyoyaamrisha na kuyaacha mabaya aliyoyaharamisha
 
MWANZO 1:26-28
Kisha Mungu akasema na tufanye mtu kwa mfano wetu kwa sura yetu atawale samaki wa baharini ndege wa angani wanyama wa kufuga na dunia yote na viumbe vyote vitambavyo. basi Mungu akaumba mtu. kwa mfano wake Mungu aliwaumba mwanaume na mwanamke akawaambia "zaeni mkaongezeke mkajaze nchi na kuimiliki mtawale samaki wa baharini ndege wa angani na kila kiumbe hai kitembeacho duniani.
.
Mimi ni mfano wa mungu na mungu ni roho hivyo roho yangu ni mungu na mungu ametupa mamlaka na kutawala vyote vilivyopo duniani sasa niende kanisani niombe ni nini wakati kila kitu amenipa kikubwa ni kutumia akili yangu nitumie vyote mungu alivyonipa.
.
Sasa wewe unaenda kanisani kulia unaenda kufanya ni nini wakati mungu amekuumba kwa mfann wake mana yake wewe ni bora kuliko viumbe vyote alivyo umba aitoshi akakupa mamlaka na kutawala vyote vilivyopo duniani
MUNGU AKINIPA UZIMA NA AFYA NA HEKIMA VINATOSHA VILIVYOBAKI NTAPAMBANA NAVYO MWENYEWE
Hope unamaanisha wewe ni mfano wa mungu unapozungumzia uumbaji, kwamba mwanadamu nae anaweza kuumba anapokutana na mwanadamu mwenzake [mke na mume].

Lakini ukumbuke, huu uumbaji wa mwanadamu, sio kama ule uumbaji wa Mungu, Mungu aliumba kwa kutumia neno, [alipomtuma malaika kumwambia Mariamu atapata ujauzito], wakati wanadamu wanaumba kwa kutumia miili.

Zaidi, unaposema Mungu alitupa mamlaka ya kuvitawala viumbe vyake, jiulize hayo ni mamlaka ya aina gani, matakatifu ka yale ya Mungu aliyetuumba, au yasiyo ya kitakatifu kwasababu wanadamu hatujakamilika?

Kama kwa mfano, unapotaka kuchinja kuku, kwanza lazima umkimbize mpaka akichoka ndio umkamate ili umchinje, kama ungekuwa na mamlaka ya kitakatifu uliyopewa na Mungu kuku angekuheshimu ungemuita angekuja umchinje bila kumkimbiza, sasa iweje Mungu aseme kavitawale, halafu ukija huku havituheshimu mpaka tuvikimbize tena?

Mwanadamu lazima amtegemee Mubgu, hatujakamilika; kuna vitu hamvijui undani wake, mnachukulia mambo juu juu tu, na ndio mnadanganyana kwenye huu uzi, kwa kumuita mleta mada "genious"
 
Jamaa haeleweki mara aseme yeye hana dini mara mfuasi wa mwanga halafu anaendaga msikitini kuswali ,inashangaza sana..
Ni mpotoshaji, hazijui dini zote mbili ameleta porojo tu hapa, ajabu wapo wanaomuona anajua, wakati hajui kitu.
 
Kuwa mfuasi wa mwanga ni dini kwa mujibu wa Uislamu labda hata kuwa mfuasi wa matamanio yaani mimi nafuata chochote ninachokipenda sawa nayo ni dini .

Labda useme mimi sifuati Uislamu na Ukiristo hapo Sawa lakini mtu halisi dini yaani lazima awe katika mfumo ,imani na kanuni fulani na hiyo ndiyo dini yake.
My friend I don't know anything that me and you can talk about. Wewe bado ufahamu wako umefungwa kwenye kifungo cha dini, mimi nafikiria kwa kutumia akili aliyo nipa Mungu.

Mawazo yetu ni SAWA na samaki na ndege hata yakioana yataenda kukaa wapi?

Mkuu wewe endelea kuishi KWA kukaririshwa na mambo ya dini.

Mimi nimesha break out of that prison.

My mind is free like Nelson Mandela
 
Hope unamaanisha wewe ni mfano wa mungu unapozungumzia uumbaji, kwamba mwanadamu nae anaweza kuumba anapokutana na mwanadamu mwenzake [mke na mume].

Lakini ukumbuke, huu uumbaji wa mwanadamu, sio kama ule uumbaji wa Mungu, Mungu aliumba kwa kutumia neno, [alipomtuma malaika kumwambia Mariamu atapata ujauzito], wakati wanadamu wanaumba kwa kutumia miili.

Zaidi, unaposema Mungu alitupa mamlaka ya kuvitawala viumbe vyake, jiulize hayo ni mamlaka ya aina gani, matakatifu, au ya kishetani?

Kam kwa mfano, unapotaka kuchinja kuku. kwanza lazima umkimbize mpaka akichoka ndio umkamate ili umchinje, kama ungekuwa na mamlaka ya kitakatifu uliyopewa na Mungu kuku angekuheshimu ungemuita angekuja umchinje bila kumkimbiza, sasa iweje Mungu aseme kavitawale, halafu ukija huku mpaka umkimbize tena?

Kuna vitu hamvijui undani wake, mnachukulia mambo juu juu tu, na ndio mnadanganyana kwenye huu uzi, kwa kumuita mleta mada "genious"
Ndio maana nilikwambia you are still a learner.

U have got a very little and limited understanding about the ways of the God Almighty.

Maandiko yanapo sema dunia iliumbwa KWA neno la Mungu hayamaanishi kwamba Mungu alikuwa anatamka kisha vitu vinatokea kama mazingaombwe.
Hell No! Mungu sio mwana mazingaombwe mkuu.

Yana maanisha dunia iliumbwa KWA order kutoka kwa Mungu.

Yani Mungu ali design road map ya uumbaji na vile anavyo taka dunia, ulimwengu na vyote vilivyomo ndani yake viwe, kisha akatoa plan, instructions, permission na oda KWA viumbe wake( malaika) ambao tayari ndani yao alisha weka maarifa mbalimbali waka tekeleze huo mpango wa uumbaji.

Mfano aliposema na iwe mimea. Maana yake alitoa oda sasa tunatengeneza mimea, maana yake malaika wakusanye raw materials zote zinazo husika na.kutengeneza mimea kisha wafuate maelekezo KWA kufanya moja mbili tatu ili mimea itokee.

Nakadhalika nakadhalika.

Ni SAWA tunaposema Mkapa alijenga uwanja mpya wa taifa , hatumaanishi kwamba Mkapa ndio alienda kuchanganya cement pale taifa la hasha bali tunamaanisha Mkapa alitoa plan, oda, ruhusa na fund uwanja wa taifa ujenge.


Tunaposema Magufuli kajenga stendi ya Mbezi hatumaanishi Magufuli alienda Mbezi kumwaga zege nope Magufuli alitoa plan, fund oda na ruhusa stendi ya Mbezi ijengwe.

Vivyo hivyo kwa Mungu.

Mungu sio mwana mazingaombwe mkuu . Ni Mungu wa utaratibu kanuni na mipango.

Mwanadamu amekuwa designed and genetically engineered

Halafu Mungu ni Mfalme. He doesn't do things by himself he instruct his servants to do things for him
 
Hawa watu wanshindwa kuelewa maana ya dini. Dini ni mfumo mzima wa maisha ya mwanadamu kutoka pale anazaliwa mpaka ana kufa. Hakuna mtu duniani asiyekuwa na dini. Hata wale atheist (wasioamini uwepo wa Mungu) nao wana dini yao.Nayo huitwa Dini ya MATAMANIO YA NAFSI ZAO. Yaani wao wanaongozwa na matamanio ya nafsi zao.Kila nafsi inachokitamani kwao huona ni sawa.

UISLAM ni dini /mfumo ambao unamtaka mtu ajisalimishe kuwa chini ya Mungu mmoja aliyeumba mbingu na nchi na vyote vilivyomo ndani yake! Kujisalimisha kwa maana ya kumuabudu YEYE pekee pasi na kumshirikisha na kitu chochote.Pia kumsikiliza na kumtii kwa yale yote aliyoyaamrisha na kuyaacha mabaya aliyoyaharamisha

Mfumo wa maisha ya mwanadamu ambao ume anzishwa na wanadamu wenyewe sio?

Mfumo wa maisha ya mwanadamu upo controlled na mfumo wa mwili wa mwanadamu na sio Kitabu kilicho tungwa na watu.

Muongozo wa maisha YAKO wewe mwanadamu unatoka ndani YAKO na sio nje YAKO.

Ninyi watu wa dini mnafeli KWA sababu mnaenda kuvitafuta nje vitu ambavyo tayari vimo ndani yenu.

Wake up bro achana na uzushi wa dini
 
Hapo kwenye maombi ndipo mnapo feli.

Mungu hahitaji umuombe chochote KWA sababu amekupa KILA kitu tayari. KILA kitu kipo ndani YAKO.
Kwa hiyo Yesu aliyetufundisha tuombe sala ya Baba Yetu uliye mbinguni utupe l riziki zetu za kila siku alikuwa akili hana ila wewe bwege ndio unazo kumshinda yeye?
 
My friend I don't know anything that me and you can talk about. Wewe bado ufahamu wako umefungwa kwenye kifungo cha dini, mimi nafikiria kwa kutumia akili aliyo nipa Mungu.

Mawazo yetu ni SAWA na samaki na ndege hata yakioana yataenda kukaa wapi?

Mkuu wewe endelea kuishi KWA kukaririshwa na mambo ya dini.

Mimi nimesha break out of that prison.

My mind is free like Nelson Mandela
Mbona unakimbia maswali na unachagua comment ya kiniQuote ile comment yangu ya kwanza yenye maswali umeiacha wakati ndio ya kwanza na kukimbia hii kama sio udhaifu ni nini ? twende taratibu kila mtu ajibu maswali ya mwenzake mimi nipo verry flexible na ni msimu huru ndio maana katika maisha nimejaribu kusoma na kujielimisha kuhusu dini na madhehebu tofauti ya kile ninachoamini mpk vitabu vya Budha wakina Rama ninavyo sasa unapoanzisha hoja na mijadala lazima ukubali kutetea ,kujibu maswali ili watu kuelimika zaidi ndio maana katika comment uliyoikimbia nikisema niko tayari kufuata imani yako ikiwa yale maswali ungenijibu..
 
Kwa hiyo Yesu aliyefundisha tuombe sala ya Baba Yetu uliye mbinguni utupe leo riziki zetu alikuwa akili hana ila wewe bwege ndio unazo kumshinda yeye?


Ndo maana walisema religion is an opium of poor people.
 
Back
Top Bottom