Kinachopelekea wanaookoka au kusilimu na kuwa swala tano kufeli kimaisha

Kinachopelekea wanaookoka au kusilimu na kuwa swala tano kufeli kimaisha

You are the true son of your Father. Wewe ndio umejua naongea kuhusu nini.

denooJ soma alicho kiandika huyu mwamba kwa sababu ndicho nilicho kusudia kukileta hapa jukwaani. Siwezi kuwa na jibu lolote bora kwako kuliko alicho kiandika huyu mwamba.

Be blessed
Same same blood
 
Unaonekana hujui hata fundamentals za elimu ya hii dunia, ngoja nikufundishe na huyo mjinga mwenzio.

Siku zote, ukiwa popote kwa wanaojielewa, ukizungumzia fani yoyote, lazima uje na mifano husika toka kwenye vitabu vya hiyo fani, sio unakurupuka tu kama unavyofanya na mwenzio.

For instance, hapa unazungumzia dini ya kikristu, ambayo muongozo wake ni kitabu cha biblia, ajabu badala ulete vifungu husika toka kwenye biblia kusapoti unachoandika, unakuja na porojo zako na kulazimisha watu wakuamini.

Wewe ni mjinga unaenipotezea muda, unaziamini pumba zako kichwani ambazo haziko kwenye maandiko ya biblia, simply, wewe ni mpagani unaejaribu kubadili maandiko.
Watu wenye Imani Kali za kidini, hushindwa kutumia uwezo wao mzuri wa kiakili na kimaarifa kupembua vitu kwa usahihi. Wao muda wote hudhani kwa kumtukuza Mungu na kumsifia muda wote basi Mungu atawapa ridhiki kimiujiza. Kitu ambacho si sahihi.

C and Paste


naamini kabisa wewe ni mmoja wao
 
Watu wenye Imani Kali za kidini, hushindwa kutumia uwezo wao mzuri wa kiakili na kimaarifa kupembua vitu kwa usahihi. Wao muda wote hudhani kwa kumtukuza Mungu na kumsifia muda wote basi Mungu atawapa ridhiki kimiujiza. Kitu ambacho si sahihi.

C and Paste


naamini kabisa wewe ni mmoja wao
Nakazia
 
Nani amekwambia nimeokoka?! usitafute sababu ya kutoka nje ya mada yako ya kufikirika.

Na usiseme huoni hoja, sema hauna majibu ndio maana hauna andiko lolote kwenye hii story yako ya kutunga.

Kama majibu unayo, tetea uongo wako wa kusema Yesu anatutaka tuchanganye mafundisho yake na mambo ya asili, wacha utapeli wako.

Nimekwambia nipe andiko la kusapoti huo uongo wako wa kijinga lakini mpaka sasa bado upo kimya, sasa nakuona unadandia tu comments za wengine, wewe ni kilaza.

NB.
Mjinga sio tusi, ni yule asiyejua ndie anaitwa mjinga, kwenye maandiko yupo mpaka aliyeitwa mpumbavu.
Tumia akil yako, ni bora kuliko andiko unalotaka.
Andiko ni tendo na maneno ya watu watu waliopita. Walikuwa watu kama wewe.


Elimika, ili upumbavu ukutoke
 
Wakristo na waislamu hawataweza kujua Mwenyezi Mungu anataka wao wwafanye kitu gani.

Kwa ufupi Wakristo na Waislamu bado wanaishi gizani na mafundisho ya dini zao pamoja na kwamba ni mazuri lakini hayampendezi Mungu.

Straight to the point hilo swali kwenye title huulizwa na watu wengi sana lakini majibu huwa hayapatikanagi.

Leo wacha nikupe jibu.

Jibu lake ni moja tu, mtu ambae hajaokoka au ambae hajasilimu na kuwa swala tano huwa ana uamini zaidi uwezo wake binafsi katika kufanya mambo yake katika maisha. Huiamini akili yake, maarifa yake na kadhalika.

Mtu huyu anapo okoka au kusilimu na kuwa swala tano, hushift imani aliyo nayo kwake na kuihamishia kwa Mungu jambo ambalo ni haramu machoni pa Mungu.

(UNAPO SHIFT IMANI YAKO KUTOKA KATIKA KUAMINI UWEZO WAKO MWENYEWE NA KUIHAMISHIA KWA MUNGU NI SAWA SAWA NA KUCHUKUA MAJI KUTOKA KWENYE KISIMA CHAKO NA KWENDA KUYAMWAGA BAHARINI HUKU UKIAMINI KWA KUFANYA HIVYO UNAIFURAHISHA BAHARI WAKATI BAHARI WALA HAI HITAJI MAJI YAKO)

Kama ni mfanyabiashara basi badala ya kutumia akili, uwezo, ufahamu na maarifa aliyo nayo kuhusu biashara yeye atabaki kusema Mungu ndo anae toa rizki kwa hivyo ata elekeza energy yake katika kusali/kuswali zaidi badala ya kutumia maarifa yake zaidi.

Mwisho wa siku mtu huyu biashara yake itafeli.

KWANINI NASEMA KUELEKEZA IMANI YAKO KWA MUNGU NI HARAMU?

KWA sababu Mungu hahitaji wewe uamini kwamba yeye ana nguvu ZOTE ana uwezo wote ana uwezo wa kufanya KILA kitu.

Mungu tayari vitu hivyo anavyo na wewe kusema kwamba Mwenyezi Mungu ana nguvu, Mwenyezi Mungu ni MUWEZA wa YOTE, you are not doing any favour to him. You are just repeating what he already knows a long time ago.

(Machoni pa Mungu?mwanadamu anae enda kwenye nyumba ya ibada na kuanza kusema Mwenyezi Mungu wewe ni Mungu mwenye Nguvu mwingi wa rehma, MUWEZA wa YOTE nakadhalika, hana tofauti na yale mapepo yaliyo kuwa yamemvaa yule mwendawazimu aliye kumbana na Yesu Masiha pale Gadarene( Mark 5)

Biblia inasema mapepo hayo yalipo muona Yesu yalianza kulia huku yakimwambia Yesu " Yesu Mwana Wa Mungu aliye juu kabisa (God the most high) tafadhali tunakuomba usitutoe ndani ya mtu huyu.

Lakini hata hivyo pamoja na kuyatukuza majina ya Mungu Yesu ali yatoa ndani ya mtu huyo.

Hii ni kwa sababu Mungu hahitaji kupewa sifa yoyote ile na kiumbe chake. He has nothing to do with it.

Watu wengi wanao enda kwenye nyumba za ibada kumsifu na kumtukuza Mungu kwa sifa zake huwa wanaishia kuwa cast out of their rightfully seats of authority.

Mwisho wa siku wanaishia kusema watu wasio fanya ibada wanafanikiwa katika maisha kwa sababu ya uchawi. Hell no.

God the Almighty doesn't need to praise him. KWANZA mwanadamu hana Maneno yanayo jitosheleza kuelezea sifa za Mungu and this has been proved by nature.

Wanasayansi Wana kubakubaliana kwamba machozi ni Maneno ambayo mtu ameshindwa kuyaelezea.

SASA kama huwezi kuyaelezea machozi tu utaweza vipi kumuelezea Mungu?

Kama ambavyo hakuna Maneno yanayo weza kuelezea machozi BASI hivyo hivyo hakuna Maneno yanayo weza kumuelezea Mungu.

Njia pekee ya kuelezea imani YAKO KWA MUNGU ni matendo YAKO na tendo pekee linalo weza kuelezea imani YAKO KWA MUNGU ni pale Unapo uamini uwezo wako KWA sababu hata Mungu pia ana uamini uwezo wako.

When your are praising God with words , you are not impressing him anyhow.

And you are not changing or adding anything to him.

MUNGU ANATAKA UAMINI KITU GANI SASA?

Mungu anataka ukiamini wewe mwenyewe. Mungu anataka u uamini uwezo akili, akili zako, maarifa YAKO, ufahamu wako na nguvu zako wewe.

Anataka kile unacho amini kuhusu Mungu ukiamini kuhusu wewe na sio vinginevyo.

KITU GANI HUTOKEA PALE MWANADAMU ANAPO SHIFT IMANI YAKE KWA MUNGU NA KUIELEKEZA KWAKE YEYE MWENYEWE.

Kwa kufanya hivyo mwanadamu hupata faida zifuatazo:

1. A human being who believes in his power more than the power of his creator share the same belief as his creator because the creator believes in his creation.

So uki amini katika nguvu zako jua upo pamoja na Mungu katika imani. KWA sababu hata Mungu pia ana amini katika nguvu zako na uwezo wako.

Kitu pekee kinacho weza ki draw attention ya Mungu kwako ni pale wewe mwenyewe Unapo amini katika nguvu zako.

Unapokuwa una amini katika nguvu zako tafsiri yake ni kwamba una amini katika nguvu na uumbaji wa Mungu kwa sababu Mungu ndio amekuumba wewe na Mungu huumba vitu ambavyo vina reflect nguvu zake na uwezo wake.

Hii dhana kwamba eti binadamu ni kiumbe dhaifu ni kufuru kubwa sana kwa Muumba.

Unaposema binadamu ni dhaifu tafsiri yake ni kwamba Mungu ndio dhaifu kwa sababu Mungu ndio kamuumba mwanadamu.

Ni sawa na kusema " Mercedes Benz ni gari dhaifu" ukisema mercedes ni gari dhaifu jua hujaitukana mercedes benz ila imeitukana teknolojia ya mjerumani ambayo ndio imetumika KUTENGENEZA mercedes benz. KWA hiyo kuanzia leo Shekhe au Mchungaji yoyote akikwambia wewe ni dhaifu Mwambie mimi sio dhaifu labda wewe ndio dhaifu.

Mungu alikuumba ukiwa umekamilika na alipendezwa na kitu alicho kiumba.

Kabla hajakuleta duniani Mungu aliweka ndani YAKO KILA kitu unacho kihitaji ( Ufalme wa Mungu upo ndani YAKO/ Ufalme wa Mungu= Nguvu/mamlaka ya Mungu)

Duniani hakuna kitu chochote kile kinacho weza kukushinda. Hakuna jini SHETANI mganga wala mchawi anae weza kumshinda mwanadamu anae ijua na kui ishi siri hii kwamba Nguvu za Mungu zipo ndani yake na kwamba anacho takiwa kufanya ni kuamini na kuzitumia.

Wachawi waganga mapepo majini na mashetani huwaga wanahangaika na the regular christians and muslims ambao bado wanaishi katika u-ignorance. Wanao enda kanisani na msikitini kutafuta nguvu za Mungu wakati nguvu za Mungu zipo ndani yao.

Mchawi hawezi kukuogopa kwa sababu anajua ur ignorant of your powers.

Start believing in urself and u will come to thank me.

Since I knew this secret my life has changed for better.

Hakuna mchawi wala mganga wala jini wala pepo yoyote yule anae weza kuni defeat .

The one thing that I can tell Lucifer is that " Hey Mr. Lucifer between me and you the one who is afraiding of your powers is you"

Yani ni sawa na Mandonga kamkwida Muhammad Ali( hata roho haidundi)

Mwanadamu unapo enda kumuomba Mungu AKUSAIDIE jambo ambalo Mungu anajua ndani YAKO ameweka tayari amekupa uwezo wa kulifanya jambo hilo una muhuzunisha sana. Yani ni sawa na mtoto wako mwenye umri wa miaka kumi na nne ana kuja kukuomba wewe baba ake au mama ake ukamtawadhe wakati anajua umefikia umri wa kujitawadha mwenyewe..

Ndio maana ukichunguza vizuri utagundua kuwa watu wanao sema kuwa Mungu hajibu maombi wengi wao ni waislamu kwa wakristu.

Simply kwa sababu ya siri hii.

Stop making God sad. Start believe in urself..

Ur brains are a very very powerful weapon. If you don't use them properly your enemy can use them against you because he is attracted to their powers. He wish to be the one possessing the powers of your brains .

(I have said your brains because humans have three brains/ this will be a topic for another day)

Ukianza kuamini katika uungu uliopo ndani YAKO hii dunia unayo ishi itabadilika na kuwa paradiso.

Utaona jinsi mambo yanavyo badikika for good.

Anza sasa. Bado hujachelewa.

# Tatizo kubwa la Mungu kwa wanadamu sio wanadamu kushindwa kumuamini yeye la hasha. Mungu hana uhaba wa watu Wana amini katika nguvu zake hata kidogo. Tatizo kubwa la Mungu kwa wanadamu ni wanadamu kuto amini nguvu za Mungu ambazo ameziweka ndani yao.

Wewe mwenyewe ndio uchague either kuwa tatizo au kutokuwa tatizo machoni pa Mungu
Kuna ukweli hapo. Tatizo binadamu tumekaa kiimani imani sana. Kama hatuelewi kitu au sababu ya tukio tutakimbilia kwenye imani za kidini au kichawi.
Ila nina maswali. Kwenye runinga nimeona mafuriko yakizamisha makanisa na misikiti kama karatasi kule Nigeria.
Wakati wa tsunami napo hivyo hivyo.
Sasa kama nyumba za dini zafanyiwa hivyo je hizi imani kwa Mungu zikoje?! 🤔🤔🤔
 
Kuna ukweli hapo. Tatizo binadamu tumekaa kiimani imani sana. Kama hatuelewi kitu au sababu ya tukio tutakimbilia kwenye imani za kidini au kichawi.
Ila nina maswali. Kwenye runinga nimeona mafuriko yakizamisha makanisa na misikiti kama karatasi kule Nigeria.
Wakati wa tsunami napo hivyo hivyo.
Sasa kama nyumba za dini zafanyiwa hivyo je hizi imani kwa Mungu zikoje?! 🤔🤔🤔

adriz na denooJ tusaidieni majibu
 
Tumia akil yako, ni bora kuliko andiko unalotaka.
Andiko ni tendo na maneno ya watu watu waliopita. Walikuwa watu kama wewe.


Elimika, ili upumbavu ukutoke
Nakazia
 
Wakariri wa iman hawatuelewi hata kidogo, wanafikiri tuma kufuru. NOOOOOOOOOOOOO.
Mimi naungana na wewe, tutumie akili zetu kufanya mambo yetu.
Sote tunajua kuwa Mungu yupo na anatuona. Tunajua hilo.
na yeye anafarijika sana anapoona tunapata mafanikio kwa kutumia akili alizotupa. Siiooo kukaa kuomba omba tuuuuu, kwani tunafikiri yeye hana kazi za kufanya, anazo kibao.
Tujitegemee ili tucahe kumchosha Mungu.
 
Nafarijika kuona watu wachache wenye mawazo mapana kama wewe bado mpo nimeona mleta mada kawaokota makondoo wengi wanamsapoti bila kusoma na kumuuliza maswali muhimu ndio maana hapa inaashiria kabisa kuna kundi la wajinga wengi mno hawachunguzi kama kuna upotoshaji au la nasi wanamsapoti kiupofi na kufuata hisia .
Uzuri wa hao unaowaita wajinga, huwezi kuwaona kwa Mwamposa, na wala huwezi kuwaona wakipiga magoti kwa Sanamu ili kufanya maombi.

Huwezi kuwa na akili kwa kuendelea kutegemea kutumia akili za wenzako.
Au, huwezi kujibiwa maombi kwa kuliomba Sanamu lililotengenezwa na Binadamu Mwezako.

Amkeni
 
Wakariri wa iman hawatuelewi hata kidogo, wanafikiri tuma kufuru. NOOOOOOOOOOOOO.
Mimi naungana na wewe, tutumie akili zetu kufanya mambo yetu.
Sote tunajua kuwa Mungu yupo na anatuona. Tunajua hilo.
na yeye anafarijika sana anapoona tunapata mafanikio kwa kutumia akili alizotupa. Siiooo kukaa kuomba omba tuuuuu, kwani tunafikiri yeye hana kazi za kufanya, anazo kibao.
Tujitegemee ili tucahe kumchosha Mungu.
Sahihi kabisa, Hosea 4; 6 inasema ukikataa kutumia akili Mungu nae anakukataa mazima
 
Ndefuuu
JamiiForums1664859595.jpg
 
Hata mm nilitaka kumpuuza ila nikaona acha nimsome aise kumbe kaleta vitu vya sis kufanyika kazi ,haswa eneo la kushukuru Ni muhimu mno hili nimelifahamu kitambo kuwa mungu anatak shuktani tu

Na ndio maana marekani uko nin rfk angu mzungu alikuwa ananimbia kule kwao wana sikukuu kubwaa sna kitaifa inayoitwa Thanksgiving ni skuu kuu ya shkrani tu na siyo maombi
LIKUD hili unalifahamu
Huku imani inakutaka utoe saana sadaka kuliko inavohimiza kufanya kazi sa sijui mungu anashida na hela au vip??
 
Kweli kabisa hata wengi wanaokwenda kwa mwamposa ni maskini au wenye matatizo ya akili mtu mwenye uelewa wa maisha huwezi kuamini kufanikiwa katika maisha mpaka uombewe na mtu
 
Wakristo na waislamu hawataweza kujua Mwenyezi Mungu anataka wao wwafanye kitu gani.

Kwa ufupi Wakristo na Waislamu bado wanaishi gizani na mafundisho ya dini zao pamoja na kwamba ni mazuri lakini hayampendezi Mungu.

Straight to the point hilo swali kwenye title huulizwa na watu wengi sana lakini majibu huwa hayapatikanagi.

Leo wacha nikupe jibu.

Jibu lake ni moja tu, mtu ambae hajaokoka au ambae hajasilimu na kuwa swala tano huwa ana uamini zaidi uwezo wake binafsi katika kufanya mambo yake katika maisha. Huiamini akili yake, maarifa yake na kadhalika.

Mtu huyu anapo okoka au kusilimu na kuwa swala tano, hushift imani aliyo nayo kwake na kuihamishia kwa Mungu jambo ambalo ni haramu machoni pa Mungu.

(UNAPO SHIFT IMANI YAKO KUTOKA KATIKA KUAMINI UWEZO WAKO MWENYEWE NA KUIHAMISHIA KWA MUNGU NI SAWA SAWA NA KUCHUKUA MAJI KUTOKA KWENYE KISIMA CHAKO NA KWENDA KUYAMWAGA BAHARINI HUKU UKIAMINI KWA KUFANYA HIVYO UNAIFURAHISHA BAHARI WAKATI BAHARI WALA HAI HITAJI MAJI YAKO)

Kama ni mfanyabiashara basi badala ya kutumia akili, uwezo, ufahamu na maarifa aliyo nayo kuhusu biashara yeye atabaki kusema Mungu ndo anae toa rizki kwa hivyo ata elekeza energy yake katika kusali/kuswali zaidi badala ya kutumia maarifa yake zaidi.

Mwisho wa siku mtu huyu biashara yake itafeli.

KWANINI NASEMA KUELEKEZA IMANI YAKO KWA MUNGU NI HARAMU?

KWA sababu Mungu hahitaji wewe uamini kwamba yeye ana nguvu ZOTE ana uwezo wote ana uwezo wa kufanya KILA kitu.

Mungu tayari vitu hivyo anavyo na wewe kusema kwamba Mwenyezi Mungu ana nguvu, Mwenyezi Mungu ni MUWEZA wa YOTE, you are not doing any favour to him. You are just repeating what he already knows a long time ago.

(Machoni pa Mungu?mwanadamu anae enda kwenye nyumba ya ibada na kuanza kusema Mwenyezi Mungu wewe ni Mungu mwenye Nguvu mwingi wa rehma, MUWEZA wa YOTE nakadhalika, hana tofauti na yale mapepo yaliyo kuwa yamemvaa yule mwendawazimu aliye kumbana na Yesu Masiha pale Gadarene( Mark 5)

Biblia inasema mapepo hayo yalipo muona Yesu yalianza kulia huku yakimwambia Yesu " Yesu Mwana Wa Mungu aliye juu kabisa (God the most high) tafadhali tunakuomba usitutoe ndani ya mtu huyu.

Lakini hata hivyo pamoja na kuyatukuza majina ya Mungu Yesu ali yatoa ndani ya mtu huyo.

Hii ni kwa sababu Mungu hahitaji kupewa sifa yoyote ile na kiumbe chake. He has nothing to do with it.

Watu wengi wanao enda kwenye nyumba za ibada kumsifu na kumtukuza Mungu kwa sifa zake huwa wanaishia kuwa cast out of their rightfully seats of authority.

Mwisho wa siku wanaishia kusema watu wasio fanya ibada wanafanikiwa katika maisha kwa sababu ya uchawi. Hell no.

God the Almighty doesn't need to praise him. KWANZA mwanadamu hana Maneno yanayo jitosheleza kuelezea sifa za Mungu and this has been proved by nature.

Wanasayansi Wana kubakubaliana kwamba machozi ni Maneno ambayo mtu ameshindwa kuyaelezea.

SASA kama huwezi kuyaelezea machozi tu utaweza vipi kumuelezea Mungu?

Kama ambavyo hakuna Maneno yanayo weza kuelezea machozi BASI hivyo hivyo hakuna Maneno yanayo weza kumuelezea Mungu.

Njia pekee ya kuelezea imani YAKO KWA MUNGU ni matendo YAKO na tendo pekee linalo weza kuelezea imani YAKO KWA MUNGU ni pale Unapo uamini uwezo wako KWA sababu hata Mungu pia ana uamini uwezo wako.

When your are praising God with words , you are not impressing him anyhow.

And you are not changing or adding anything to him.

MUNGU ANATAKA UAMINI KITU GANI SASA?

Mungu anataka ukiamini wewe mwenyewe. Mungu anataka u uamini uwezo akili, akili zako, maarifa YAKO, ufahamu wako na nguvu zako wewe.

Anataka kile unacho amini kuhusu Mungu ukiamini kuhusu wewe na sio vinginevyo.

KITU GANI HUTOKEA PALE MWANADAMU ANAPO SHIFT IMANI YAKE KWA MUNGU NA KUIELEKEZA KWAKE YEYE MWENYEWE.

Kwa kufanya hivyo mwanadamu hupata faida zifuatazo:

1. A human being who believes in his power more than the power of his creator share the same belief as his creator because the creator believes in his creation.

So uki amini katika nguvu zako jua upo pamoja na Mungu katika imani. KWA sababu hata Mungu pia ana amini katika nguvu zako na uwezo wako.

Kitu pekee kinacho weza ki draw attention ya Mungu kwako ni pale wewe mwenyewe Unapo amini katika nguvu zako.

Unapokuwa una amini katika nguvu zako tafsiri yake ni kwamba una amini katika nguvu na uumbaji wa Mungu kwa sababu Mungu ndio amekuumba wewe na Mungu huumba vitu ambavyo vina reflect nguvu zake na uwezo wake.

Hii dhana kwamba eti binadamu ni kiumbe dhaifu ni kufuru kubwa sana kwa Muumba.

Unaposema binadamu ni dhaifu tafsiri yake ni kwamba Mungu ndio dhaifu kwa sababu Mungu ndio kamuumba mwanadamu.

Ni sawa na kusema " Mercedes Benz ni gari dhaifu" ukisema mercedes ni gari dhaifu jua hujaitukana mercedes benz ila imeitukana teknolojia ya mjerumani ambayo ndio imetumika KUTENGENEZA mercedes benz. KWA hiyo kuanzia leo Shekhe au Mchungaji yoyote akikwambia wewe ni dhaifu Mwambie mimi sio dhaifu labda wewe ndio dhaifu.

Mungu alikuumba ukiwa umekamilika na alipendezwa na kitu alicho kiumba.

Kabla hajakuleta duniani Mungu aliweka ndani YAKO KILA kitu unacho kihitaji ( Ufalme wa Mungu upo ndani YAKO/ Ufalme wa Mungu= Nguvu/mamlaka ya Mungu)

Duniani hakuna kitu chochote kile kinacho weza kukushinda. Hakuna jini SHETANI mganga wala mchawi anae weza kumshinda mwanadamu anae ijua na kui ishi siri hii kwamba Nguvu za Mungu zipo ndani yake na kwamba anacho takiwa kufanya ni kuamini na kuzitumia.

Wachawi waganga mapepo majini na mashetani huwaga wanahangaika na the regular christians and muslims ambao bado wanaishi katika u-ignorance. Wanao enda kanisani na msikitini kutafuta nguvu za Mungu wakati nguvu za Mungu zipo ndani yao.

Mchawi hawezi kukuogopa kwa sababu anajua ur ignorant of your powers.

Start believing in urself and u will come to thank me.

Since I knew this secret my life has changed for better.

Hakuna mchawi wala mganga wala jini wala pepo yoyote yule anae weza kuni defeat .

The one thing that I can tell Lucifer is that " Hey Mr. Lucifer between me and you the one who is afraiding of your powers is you"

Yani ni sawa na Mandonga kamkwida Muhammad Ali( hata roho haidundi)

Mwanadamu unapo enda kumuomba Mungu AKUSAIDIE jambo ambalo Mungu anajua ndani YAKO ameweka tayari amekupa uwezo wa kulifanya jambo hilo una muhuzunisha sana. Yani ni sawa na mtoto wako mwenye umri wa miaka kumi na nne ana kuja kukuomba wewe baba ake au mama ake ukamtawadhe wakati anajua umefikia umri wa kujitawadha mwenyewe..

Ndio maana ukichunguza vizuri utagundua kuwa watu wanao sema kuwa Mungu hajibu maombi wengi wao ni waislamu kwa wakristu.

Simply kwa sababu ya siri hii.

Stop making God sad. Start believe in urself..

Ur brains are a very very powerful weapon. If you don't use them properly your enemy can use them against you because he is attracted to their powers. He wish to be the one possessing the powers of your brains .

(I have said your brains because humans have three brains/ this will be a topic for another day)

Ukianza kuamini katika uungu uliopo ndani YAKO hii dunia unayo ishi itabadilika na kuwa paradiso.

Utaona jinsi mambo yanavyo badikika for good.

Anza sasa. Bado hujachelewa.

# Tatizo kubwa la Mungu kwa wanadamu sio wanadamu kushindwa kumuamini yeye la hasha. Mungu hana uhaba wa watu Wana amini katika nguvu zake hata kidogo. Tatizo kubwa la Mungu kwa wanadamu ni wanadamu kuto amini nguvu za Mungu ambazo ameziweka ndani yao.

Wewe mwenyewe ndio uchague either kuwa tatizo au kutokuwa tatizo machoni pa Mungu
uzi huu umetumia kichwa kipi kuuandika ? ubongo wa hicho kichwa ni mkubwa sna mkuu.
 
Unamchanganya vipi Yesu na mambo ya nguvu za asili?

Tupe hilo andiko linalosema Yesu alifundisha watu kuamini nguvu zao za asili kinyume na maandiko yake, WEKA HAPA.

Wewe ni mpagani mjuaji usiyeelewa chochote, ndio maana huna hata mstari mmoja wa maandiko ya kwenye biblia.

Huoni umepotoka!.

Sikuelewi kabisa, unapotosha watu.
yesu alipo ponya watu mara nyng alisema imani yako imekuponya na sio yeye kamponya , yesu alitumika tu kma vessel ya kufungua nguvu za mungu zilizo ndani ya watu.
 
Nani amekwambia nimeokoka?! usitafute sababu ya kutoka nje ya mada yako ya kufikirika.

Na usiseme huoni hoja, sema hauna majibu ndio maana hauna andiko lolote kwenye hii story yako ya kutunga.

Kama majibu unayo, tetea uongo wako wa kusema Yesu anatutaka tuchanganye mafundisho yake na mambo ya asili, wacha utapeli wako.

Nimekwambia nipe andiko la kusapoti huo uongo wako wa kijinga lakini mpaka sasa bado upo kimya, sasa nakuona unadandia tu comments za wengine, wewe ni kilaza.

NB.
Mjinga sio tusi, ni yule asiyejua ndie anaitwa mjinga, kwenye maandiko yupo mpaka aliyeitwa mpumbavu.
mkuu funguka kilicho andikwa apo kina maana kubwa mno
 
Maisha ya dunia si lolote... SASA unafanya kazi ili iweje kama maisha ya dunia si lolote. Kunywa sumu jiue ndo tujue upo serious una maanisha.


Yani Mungu ame design maisha ya mwanadamu for a period of one thousand years. Ameitengeneza dunia nzuri yenye kuvutia amekuleta kiumbe wake uje ufurahie maisha then malipo YAKO kwake ni kusema maisha si lolote. Are you serious?

Mimi nayapenda maisha na kika SIKU namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunipa maisha na kunileta duniani.


" Dunia tupo kujaribiwa" ni sentensi inayo mkufuru Mungu kwa kiwango cha stifler gorge. Ukisema duniani umekuja kujaribiwa tafsiri yake ni kwamba anae kujaribu hajui hutafanya nini endapo atakujaribu. Kwamba hajui mambo yajayo. Ndio unacho maanisha hiki.

Mungu hana interest yoyote na kukujaribu wewe kiumbe wake. And he cannot do such a stupid mission.

Hiyo kumjaribu mtu ni human character na sio divine character.
ndo maana genius kma kiranga anawachota hawa malimbukeni wa dini
 
Uislam ni mfumo wa maisha ya mwanadamu na majini uliotoka kwa Mungu. Una sheria na taratibu jinsi gani mtu anayetaka kupata salama mara baada ya kufa kwake aishi ama kwa wale ambao wamejitungia mifumo yao kama wewe LIKUD basi ishini mpendavyo kwasababu hakuna kulazimishana katika dini...anayetaka aamini na asiyetaka asiamini..ila majibu mimi na wewd tutayapata pindi macho yatakapofumba, moyo kusimamisha mapigo yake na mwili ukashindwa kabisa kufanya kazi.Hapo ndipo tutakapojua nani alifaulu katika maisha haya na nani alifeli.

Kuleni na kunyweni, furahini iwaguze tamaa lakini karibu mtakuja kujua.
acha mkwara mkuu
 
Unamchanganya vipi Yesu na mambo ya nguvu za asili?

Tupe hilo andiko linalosema Yesu alifundisha watu kuamini nguvu zao za asili kinyume na maandiko yake, WEKA HAPA.

Wewe ni mpagani mjuaji usiyeelewa chochote, ndio maana huna hata mstari mmoja wa maandiko ya kwenye biblia.

Huoni umepotoka!.

Sikuelewi kabisa, unapotosha watu.
asili ni nini na inatoka kwa nan asili? kwa nini unatutaka tusitumie nguvu za asili? kwan unahis asili inatoka kwa nani ?
 
Back
Top Bottom