kijani11
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 8,113
- 8,610
Nafikiri hao aliowataja wote kama nchi wapo hapo katika "official Capacity" ukiacha hao waasi.Huyu mpumbavu hajaitaja Rwanda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafikiri hao aliowataja wote kama nchi wapo hapo katika "official Capacity" ukiacha hao waasi.Huyu mpumbavu hajaitaja Rwanda
Wizi wa kura kwenye chaguzi lazima uwatese.M23 HAIWEZI kuitawala Congo DR. Hao ni wahuni wanaowachezea viongozi waliolala. Wakiamka hamna cha M23 wala Kagame. Ni suala la muda tu.
Joseph Kabila ndio mtu wa kwanza wa kulaumu kwa haya yanayoendelea Congo kwa sasa. Ule uchaguzi aliochakchua umeleta kiongozi asiejielewa hata kidogo.Hakika na Congo ni mfano mzuri, right in front of our 👀
Mkuu Congo hakuna Shule...wanajeshi hawana viatu na vingine vingi sana vya uongo.Kuachana na propaganda zote zinazoendelea kuwa Kagame anasaidia waasi kuiharibu Congo, ukweli ni kwamba Congo is a failed state. Huu ni mwaka 2025, Congo haina mifumo yoyote ya kusaidia kuiongoza nchi.
Jeshi la Congo ni dhaifu, tumeshuhudia picha za wanajeshi wa Congo wakiwa peku, wengine hawana uniform wala vitendea kazi ambavyo kimsingi vinatakiwa kutolewa na serikali.
Congo haina barabara, umeme, maji, hospitali Wala shule hivyo hata wananchi wa Congo hawana elimu kwaiyo wakati mwingine wanawezakuoneka kama ni vichaa wasojua wanachotaka.
Tshisekedi siyo mzalendo Wala hana nia ya dhati ya kusaidia Congo kuwa taifa lenye heshima na kujiweza kiuchumi.
Kwaiyo kinachoendelea Congo ni mapinduzi ya KIJESHI maana wananchi wamewaelewa M23 kwakua serikali ipo mbali hivyo tegemeo lao ni hao wanaowaona. M23 kila wanapopita wanashangiliwa na kupewa support na wananchi.
Majeshi yetu na ushirika wa East Africa Community hamuwezi kuzuia wananchi wa Congo kuijenga upya nchi yao.
Tukae kimya, kila nchi ilinde mipaka yake, acheni M23 na raia wa Congo waijenge nchi yao, wwpeni support wale wanaotakiwa na wananchi.
Inapendeza pale Congo itakapopata Rais atakayekiwa mzalendo, ajenge mifumo ya nchi, aimarishe jeshi, ajenge barabara, shule, hospitali, na miundombinu yote Ili tushirikiane vizuri.
View attachment 3237738
Vyovyote itakavyokuwa lkn kwanza mwizi wa kura afurushweWakishampindua Tshisekedi itakuwa zamu ya AFC na M23 kutwangana. Malengo ya AFC na M23 yametofautiana. M23 wanataka wamegewe sehemu ya Congo wakati kina Nangaa wao wanataka madaraka kuongoza DRC nzima. Hii vita ina Part II.
Ila hawakupaswa kuwepo means mgogoro haukupasa kuwepo,hii inatoa nafasi kwa mataifa hayo kuwepo huku kukiwa agenda nyuma yakeNafikiri hao aliowataja wote kama nchi wapo hapo katika "official Capacity" ukiacha hao waasi.
Nilikuwa natoa mawazo yangu kuhusu hoja ya Rwanda kutokutajwa kwenye hayo maongezi.Ila hawakupaswa kuwepo means mgogoro haukupasa kuwepo,hii inatoa nafasi kwa mataifa hayo kuwepo huku kukiwa agenda nyuma yake
Tshekedi ameikuta mifumo iko hivyo.Tshisekedi siyo mzalendo Wala hana nia ya dhati ya kusaidia Congo kuwa taifa lenye heshima na kujiweza kiuchumi.
hayo mamb kayaanzisha Tshiked au ameyakuta ? je anawezaj kuyamaliza kwenye miaka 5 tu wkt huo anapambana na vikundi almost 100 , yanayoendelea DRC soon yatatapakaa ukanda huu mzima na watakuja na story nyingine kulingana na nchi husika , huez nambia hao watutsi wameanza baguliwa mwaka 1997 ila miaka mingine yote waliishi vzr ( chini ya adui yao Mobutu ) , tuliingia kweny ukoloni hv hv , HILO NI TATIZO LA BWANA HERI SIO TATIZO LETU WAHEHE , MPK MZUNGU ANAITEKA TANGANYIKA NDIPO TUNAPATA AKILI , WATUTSI ( SIO WABANTU HAWA ) WANAPAMBANA KUTUTEKA WABANTU MDG MDG BAADA YA DRC NEXT IS TANZANIA THEN WATAKUWA STRONG KUMWAMLISHA YEYOTE UKANDA HUU WA MASHARIKI , KUSINI NA KATI YA AFRIKA , TUWE MAKINIKuachana na propaganda zote zinazoendelea kuwa Kagame anasaidia waasi kuiharibu Congo, ukweli ni kwamba Congo is a failed state. Huu ni mwaka 2025, Congo haina mifumo yoyote ya kusaidia kuiongoza nchi.
Jeshi la Congo ni dhaifu, tumeshuhudia picha za wanajeshi wa Congo wakiwa peku, wengine hawana uniform wala vitendea kazi ambavyo kimsingi vinatakiwa kutolewa na serikali.
Congo haina barabara, umeme, maji, hospitali Wala shule hivyo hata wananchi wa Congo hawana elimu kwaiyo wakati mwingine wanawezakuoneka kama ni vichaa wasojua wanachotaka.
Tshisekedi siyo mzalendo Wala hana nia ya dhati ya kusaidia Congo kuwa taifa lenye heshima na kujiweza kiuchumi.
Kwaiyo kinachoendelea Congo ni mapinduzi ya KIJESHI maana wananchi wamewaelewa M23 kwakua serikali ipo mbali hivyo tegemeo lao ni hao wanaowaona. M23 kila wanapopita wanashangiliwa na kupewa support na wananchi.
Majeshi yetu na ushirika wa East Africa Community hamuwezi kuzuia wananchi wa Congo kuijenga upya nchi yao.
Tukae kimya, kila nchi ilinde mipaka yake, acheni M23 na raia wa Congo waijenge nchi yao, wwpeni support wale wanaotakiwa na wananchi.
Inapendeza pale Congo itakapopata Rais atakayekiwa mzalendo, ajenge mifumo ya nchi, aimarishe jeshi, ajenge barabara, shule, hospitali, na miundombinu yote Ili tushirikiane vizuri.
View attachment 3237738
ndugu yao na ndo anawapa link zote za DRCMbona joseph kabila hawakumsumbua hivi
Wabantu ni wajinga sana , watutsi watawatawala wabantu kwa miaka mingi mbele kama tusipoamka ss hv , mhutu ni mbantu yeyote yule hata ww ni mhutuWakishampindua Tshisekedi itakuwa zamu ya AFC na M23 kutwangana. Malengo ya AFC na M23 yametofautiana. M23 wanataka wamegewe sehemu ya Congo wakati kina Nangaa wao wanataka madaraka kuongoza DRC nzima. Hii vita ina Part II.
Acha kunihusisha na upuuzi.Wabantu ni wajinga sana , watutsi watawatawala wabantu kwa miaka mingi mbele kama tusipoamka ss hv , mhutu ni mbantu yeyote yule hata ww ni mhutu
🤣🤣🤣Wabantu ni wajinga sana , watutsi watawatawala wabantu kwa miaka mingi mbele kama tusipoamka ss hv , mhutu ni mbantu yeyote yule hata ww ni mhutu
Hata rais inasemekana hayupo yupo ughaibuni hukoHakuna serikali,hakuna jeshi, hakuna kizuizi, only support from citizens