Kinachotokea kwa Diamond Platnumz sasa hivi

Kinachotokea kwa Diamond Platnumz sasa hivi

Idrissou02

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2018
Posts
354
Reaction score
656
Mashabiki wengi wa Diamond Platnumz aka Simba watakua sasa wanajiuliza kimetokea nini kwa msanii wao pendwa kutoa ngoma za hadhi isiyotegemewa kutoka kwake.

Hasahasa mwaka huu tukianzia nyimbo ya Kamata, Gimmie na hii sasahivi ya Unachezaje ndo kabisaa haiendan na hadhi ya msanii tunayemjua na kibao chake kikali cha Jeje.

Inaonekana sasa hivi Chibu hatilii mkazo zaidi kwenye mziki kama ilivyokuwa miaka ya nyuma. Mkali huyu amekua akijiingiza zaidi kwenye biashara na madili ya pesa ndefu.

All in all, itoshe pia kusema kwamba Diamond aliyeitoa bongo fleva kimataifa ni yuleyule anaepitia kipindi kibovu sasahivi kwenye mziki, ni kwamba tu hajaamua kukaa chini na kutoa kazi kali ambazo tumekua tushazizoea kutoka kwake.

Alhamisi njema.
 
Aise atoe ngoma

Uchumi uzidi kupaa

Vipato vya watu mfukoni kujae

Maisha pia yawe mepesi

Kodi kodi zipunguee

Ova
 
Nilikutana mtaani na mzee mmoja, tukaketi chini akanipa soga...'mimi sitamsahau hau hau'

Alisema wangapi walikuwepo namba moja, sasa wamerudi chini ni vihoja....'watu wamewasahau hau hau'
 
Back
Top Bottom