Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16][emoji16]Labda kagoma kumtoa bi Sandra kwa wavaa suti
Mme jawa wivu wenye chuki ndaniHakuna marefu yasio na ncha. Walikuwepo kina steve wonder, kina Michel Bolton n.k n.k
Huyo dogo tangu 2019 alikua kausha,ni Kama Barcelona ilikufa tangu 2015 Ila wengi wanaiona leoThe beginig of the end...
Andika vizuri kwanzaMme jawa wivu wenye chuki ndani
Mifarijiano ya kinafki tu
Hacha unafki please [emoji120][emoji120][emoji120]
Vizuri kwanza[emoji39][emoji39]Andika vizuri kwanza
Kikubwa atengeneze hela tuNa kila mitume na enzi yake..tatizo bongo tunataka Dai asishuke na akishuka utaskia laana za babake sijui ngada. The guy has been on top kwa miaka karibu 9 hata akiishiwa cha kuimba ni halali tu
nyimbo mbaya ila kupotea bado sanaNilikuwa mgumu kuamini huyu mwamba anaweza potea kwenye gemu. Ila kwa hii nyimbo jamaa kazingua.
Nyimbo utadhan anaimbia chekechea
He is above next level hata akitoa boko hawezi kulala njaaMashabiki wengi wa Diamond Platnumz aka Simba watakua sasa wanajiuliza kimetokea nini kwa msanii wao pendwa kutoa ngoma za hadhi isiyotegemewa kutoka kwake.
Hasahasa mwaka huu tukianzia nyimbo ya Kamata, Gimmie na hii sasahivi ya Unachezaje ndo kabisaa haiendan na hadhi ya msanii tunayemjua na kibao chake kikali cha Jeje.
Inaonekana sasa hivi Chibu hatilii mkazo zaidi kwenye mziki kama ilivyokuwa miaka ya nyuma. Mkali huyu amekua akijiingiza zaidi kwenye biashara na madili ya pesa ndefu.
All in all, itoshe pia kusema kwamba Diamond aliyeitoa bongo fleva kimataifa ni yuleyule anaepitia kipindi kibovu sasahivi kwenye mziki, ni kwamba tu hajaamua kukaa chini na kutoa kazi kali ambazo tumekua tushazizoea kutoka kwake.
Alhamisi njema.