Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aisee 😀HARMONIZE kaondoka na daftar la nyimbo na rayvanny nae sikuhizi akimaliza kurecodi anaondoka na flash yake
Hapo kwa Michael bolton umenigusa sana bibieHakuna marefu yasio na ncha. Walikuwepo kina steve wonder, kina Michel Bolton n.k n.k
Hamna mkuu kapoteza tu hiriziiAtakuwa kafiwa na mganga sio bure
Umejuaje kama Ni dem[emoji16]Hapo kwa Michael bolton umenigusa sana bibie
Mna vitu mmejitoa vichwani mwenu sio buree[emoji124]ahaaaa kumbe ndiyo maana alikuwa anam ng'ang'ania yule mmakonde abaki kwenye lebo yake, kumbe uwezo wake mdogoo!!!
😂😂😂 watu wa club tuna jua vibe la hili gomaKUNA WATU WANAFOSI DIAMOND ASHUKE ILA NDO KWANZA JANA GOMA LIMERUDIWA MARA 5 CLUB
Bila udambwi dambwi wetu hatasikikapeople are talking like they owe this musician anything
yaani utadhani nyie ndio mlimuajiri hivyo mpo hapa kutoa verdict kwa kijakazi wenu
ndugu zanguni jifunzeni kutokujimilikisha watu na maisha yao
let him be kama wewe unavyotaka wanadamu wasikuingilie maisha yako
nyie hamtaki kuumizwa ila mnapenda kuumiza wenzenu kama mmewaumba nyie vile
akistop music ni uamuzi wake,sasa sijui kwanini watu mnakua worked out namna hii aisee?
Mwanamke anajulikana tu hata kwa maandishiUmejuaje kama Ni dem[emoji16]
So maandish mnajuana[emoji16][emoji16]Mwanamke anajulikana tu hata kwa maandishi
Hao uliowataja wanatokea mkoa gani hapa Tanzania?Hakuna marefu yasio na ncha. Walikuwepo kina steve wonder, kina Michel Bolton n.k n.k
Nasikia kafungua duka kubwa sana, pale mtaani kwao[emoji16][emoji16]Kikubwa atengeneze hela tu
Ova
Moja ya ngoma mbovu kuwahi kutokea kwake. Huyu ndo anaishia kimziki, hata ivyo alipata umaarufu miaka 10 iliopita saiz upepo sio wakeMashabiki wengi wa Diamond Platnumz aka Simba watakua sasa wanajiuliza kimetokea nini kwa msanii wao pendwa kutoa ngoma za hadhi isiyotegemewa kutoka kwake.
Hasahasa mwaka huu tukianzia nyimbo ya Kamata, Gimmie na hii sasahivi ya Unachezaje ndo kabisaa haiendan na hadhi ya msanii tunayemjua na kibao chake kikali cha Jeje.
Inaonekana sasa hivi Chibu hatilii mkazo zaidi kwenye mziki kama ilivyokuwa miaka ya nyuma. Mkali huyu amekua akijiingiza zaidi kwenye biashara na madili ya pesa ndefu.
All in all, itoshe pia kusema kwamba Diamond aliyeitoa bongo fleva kimataifa ni yuleyule anaepitia kipindi kibovu sasahivi kwenye mziki, ni kwamba tu hajaamua kukaa chini na kutoa kazi kali ambazo tumekua tushazizoea kutoka kwake.
Alhamisi njema.
Utakuwa shoga wewe hakituhusu mziki anamuimbia mama ake au bahasha wa mama ake?Uchawi sio lazima uvae mitunguli na mihirizi, ukisikia uchawi ndio huu, ni wivu, wivu na roho mbaya ya kiwango cha juu kabisa. Anachofanya Diamond wewe kinakuhusu nini? Yaani umekaa kabisa, kuwaza na kuwazua hadi kuandika uzi wa kum dis Diamond? Wewe unaweza kufanya alichofanya Diamond? Unaweza kuifikia rekodi ya mambo aliyoyafanya Diamond? Unaweza hata kuandika wimbo mmoja? Wewe umeshatoa album ngapi? Hakuna mwanamuziki mwenye mafanikio aliyewahi kutokea Tanzania zaidi ya Diamond, hakuna!