Kinachotokea sasa hivi London kama kingetokea Moscow dunia bado ingeathirika?

Kinachotokea sasa hivi London kama kingetokea Moscow dunia bado ingeathirika?

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Zaidi ya Ndege 232 zilizotarajiwa kuondoka kwenye viwanja vya ndege (Departure) nchini Uingereza na ndege zaidi 271 zilizotaka kutua (landing) kwenye viwanja hivyo zimezuiwa kufanya hivyo kutokana na matatizo ya mifumo ya kuongozea ndege nchini humo.

Tatizo hilo la kuzuiwa kwa ndege hizo kutua au kuruka, linasemwa limeathiri usafiri wa anga dunia nzima.

Hivi tatizo hili kama lingekuwa limetokea Urusi, jee usafiri wa anga dunia nzima ungeathirika?
 
Zaidi ya Ndege 232 zilizotarajiwa kuondoka kwenye viwanja vya ndege (Departure) nchini Uingereza na ndege zaidi 271 zilizotaka kutua (landing) kwenye viwanja hivyo zimezuiwa kufanya hivyo kutokana na matatizo ya mifumo ya kuongozea ndege nchini humo.

Tatizo hilo la kuzuiwa kwa ndege hizo kutua au kuruka, linasemwa limeathiri usafiri wa anga dunia nzima.

Hivi tatizo hili kama lingekuwa limetokea Urusi, jee usafiri wa anga dunia nzima ungeathirika?
Usafir wa anga hapa bongo umeathirika vp???
 
Zaidi ya Ndege 232 zilizotarajiwa kuondoka kwenye viwanja vya ndege (Departure) nchini Uingereza na ndege zaidi 271 zilizotaka kutua (landing) kwenye viwanja hivyo zimezuiwa kufanya hivyo kutokana na matatizo ya mifumo ya kuongozea ndege nchini humo.

Tatizo hilo la kuzuiwa kwa ndege hizo kutua au kuruka, linasemwa limeathiri usafiri wa anga dunia nzima.

Hivi tatizo hili kama lingekuwa limetokea Urusi, jee usafiri wa anga dunia nzima ungeathirika?
Kwani Russia yenyewe imethirika vip na uo mfumo kwa London kufail?
 
Landon Heathrow ndio inagawa njia zote na sehemu kubwa duniani
Yaani ndio kitovu cha usafiri kwa ufupi tu

Kila dakika 3 ndege inatua yaani kuna plane spotters wamejaa Hatton X wanapiga picha siku nzima utafikiri wehu kila leo nawapita hapo
 
Back
Top Bottom