Kinachotokea sasa hivi London kama kingetokea Moscow dunia bado ingeathirika?

Kinachotokea sasa hivi London kama kingetokea Moscow dunia bado ingeathirika?

Zaidi ya Ndege 232 zilizotarajiwa kuondoka kwenye viwanja vya ndege (Departure) nchini Uingereza na ndege zaidi 271 zilizotaka kutua (landing) kwenye viwanja hivyo zimezuiwa kufanya hivyo kutokana na matatizo ya mifumo ya kuongozea ndege nchini humo.

Tatizo hilo la kuzuiwa kwa ndege hizo kutua au kuruka, linasemwa limeathiri usafiri wa anga dunia nzima.

Hivi tatizo hili kama lingekuwa limetokea Urusi, jee usafiri wa anga dunia nzima ungeathirika?
Sasa mambo ya ndege na Urusi unatuuliza sisi wa mtama ndani ndani huku tutajuaje? Ndege yenyewe hatujawahi hata kuiona
 
Tanzania imeathirika ki vipi ?
Yap!! Swali zuri sana.

Inawezekana wengi wanawaza jee ndege za kutoka Dar kwenda Chamwino zimeathirikaje!!

Huwezi kutaja usafiri wa anga bila ya kutaja abiria wa usafiri huo.

Kwa mfano mtu alitaka aende Dodoma na kisha arudi Dar Ili usiku huu aende Uingereza.

Jee atakwenda Dodoma bila ya kujua hatima ya safari yake ya kwenda Uingereza?

Na kama kwenye orodha ya abiria wa kwenda Dodoma wengine walitakiwa watoke kwenye ndege zinazokuja Dar kupitia London itakuwaje?
 
Yap!! Swali zuri sana.

Inawezekana wengi wanawaza jee ndege za kutoka Dar kwenda Chamwino zimeathirikaje!!

Huwezi kutaja usafiri wa anga bila ya kutaja abiria wa usafiri huo.

Kwa mfano mtu alitaka aende Dodoma na kisha arudi Dar Ili usiku huu aende Uingereza.

Jee atakwenda Dodoma bila ya kujua hatima ya safari yake ya kwenda Uingereza?

Na kama kwenye orodha ya abiria wa kwenda Dodoma wengine walitakiwa watoke kwenye ndege zinazokuja Dar kupitia London itakuwaje?
Come with data sio porojo
 
Zaidi ya Ndege 232 zilizotarajiwa kuondoka kwenye viwanja vya ndege (Departure) nchini Uingereza na ndege zaidi 271 zilizotaka kutua (landing) kwenye viwanja hivyo zimezuiwa kufanya hivyo kutokana na matatizo ya mifumo ya kuongozea ndege nchini humo.

Tatizo hilo la kuzuiwa kwa ndege hizo kutua au kuruka, linasemwa limeathiri usafiri wa anga dunia nzima.

Hivi tatizo hili kama lingekuwa limetokea Urusi, jee usafiri wa anga dunia nzima ungeathirika?
Tujadili kwanza udhaifu wa Mifumo hiyo tusihamishe magoli
 
Wewe jamaa upo??

Nilidhani umehamishwa kitengo...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nipo Mkuu

naangalia habari hapa, imeelezwa wananchi wengi wanataka elimu ya Katiba mpya inatakiwa itolewe kwa miaka mitatu kuanzia mwaka huu na baada ya hapo ndio tujadili Katiba mpya

sasa ama Uchaguzi mkuu uahirishwe au twende na Katiba hii 2025 huku Jamaa zetu wakisema bila ya Katiba mpya hawatashiriki uchaguzi

Hata mimi naunga mkono tuanze kwanza kuelimisha Umma umuhimu wa Katiba mpya, na ikikupendeza niombee niwemo kwny kikosi kazi hiki kwa miezi 36 kutokana na uzalendo na uzoefu wangu kwny masuala ya Siasa
 
Moscow imefunga airports zake mbili Sheremetyevo na Domodedovo juzi baada ya shambulio la drones za Ukraine. Ni mara ya tatu viwanja hivyo vinafungwa kwa sababu ya drones, huna habari sababu havina athari duniani
 
Zaidi ya Ndege 232 zilizotarajiwa kuondoka kwenye viwanja vya ndege (Departure) nchini Uingereza na ndege zaidi 271 zilizotaka kutua (landing) kwenye viwanja hivyo zimezuiwa kufanya hivyo kutokana na matatizo ya mifumo ya kuongozea ndege nchini humo.

Tatizo hilo la kuzuiwa kwa ndege hizo kutua au kuruka, linasemwa limeathiri usafiri wa anga dunia nzima.

Hivi tatizo hili kama lingekuwa limetokea Urusi, jee usafiri wa anga dunia nzima ungeathirika?

What is your point?
 
Back
Top Bottom