Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
- Thread starter
- #41
Sijui. Au nimejichanganya?What is your point?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui. Au nimejichanganya?What is your point?
Sijui. Au nimejichanganya?
Yani we jamaa banah!Haijaelezwa kwa undani Lakini imebidi waongoze ndege "Manually" na ulaya yote tayari imeshaathirika na kama Leo wakishindwa kurudia "Automation system" dunia itakumbwa na mtikisiko mkubwa!!
😂😂😂😂Yani we jamaa banah!
Kwan hakuna watu walotaka kuja Tanzania unafkiri????Usafir wa anga hapa bongo umeathirika vp???
Sijaelewa mantiki ya muuliza swali ni nini, ila naona limekaa kishabiki sana.London ni mojawapo ya financial centers za dunia
Berlin conference 1884-1885Nimezaliwa Ocean Road. Sasa sijui pale ni mjini au Vipi??
Dunia ni duniani wanakoishi wenye dunia.
Wale waliokaa Berlin na kujigawia Africa ndiyo dunia.
Mada imekuzidi uwezo, tulia kijana.Usafir wa anga hapa bongo umeathirika vp???
Sasa we muuza matango toka mkuranga utajuaje umuhimu wa RussiaNani aende Russia na kufanya nini?
Nchi imejaa wajinga sana hiiZaidi ya Ndege 232 zilizotarajiwa kuondoka kwenye viwanja vya ndege (Departure) nchini Uingereza na ndege zaidi 271 zilizotaka kutua (landing) kwenye viwanja hivyo zimezuiwa kufanya hivyo kutokana na matatizo ya mifumo ya kuongozea ndege nchini humo.
Tatizo hilo la kuzuiwa kwa ndege hizo kutua au kuruka, linasemwa limeathiri usafiri wa anga dunia nzima.
Hivi tatizo hili kama lingekuwa limetokea Urusi, jee usafiri wa anga dunia nzima ungeathirika?
HIli ni jukwaa la kimataifa lakini Sasa Kuna wajinga wanadhani ni jukwaa la kuandika habari za CHAWA Wa...Nchi imejaa wajinga sana hii
Umekaza fuvuUsafir wa anga hapa bongo umeathirika vp???
Itaathirika vipi wakati ndege haziendi Russia?Kwani Russia yenyewe imethirika vip na uo mfumo kwa London kufail?
Labda wafanyabiashara ya vodka.Nani aende Russia na kufanya nini?
Mtoa habari umemsoma?Itaathirika vipi wakati ndege haziendi Russia?
Lini maiti zimeanza kuhisi maumivu? Hata uchumi wa dunia ukiyumba Mtanzania anabaki kushangaa make haoni kilichobadilika, kwasababu masikini hawezi kuhisi mdororo wa uchumi.Usafir wa anga hapa bongo umeathirika vp???