Sasa mambo ya ndege na Urusi unatuuliza sisi wa mtama ndani ndani huku tutajuaje? Ndege yenyewe hatujawahi hata kuionaZaidi ya Ndege 232 zilizotarajiwa kuondoka kwenye viwanja vya ndege (Departure) nchini Uingereza na ndege zaidi 271 zilizotaka kutua (landing) kwenye viwanja hivyo zimezuiwa kufanya hivyo kutokana na matatizo ya mifumo ya kuongozea ndege nchini humo.
Tatizo hilo la kuzuiwa kwa ndege hizo kutua au kuruka, linasemwa limeathiri usafiri wa anga dunia nzima.
Hivi tatizo hili kama lingekuwa limetokea Urusi, jee usafiri wa anga dunia nzima ungeathirika?
Yap!! Swali zuri sana.Tanzania imeathirika ki vipi ?
Come with data sio porojoYap!! Swali zuri sana.
Inawezekana wengi wanawaza jee ndege za kutoka Dar kwenda Chamwino zimeathirikaje!!
Huwezi kutaja usafiri wa anga bila ya kutaja abiria wa usafiri huo.
Kwa mfano mtu alitaka aende Dodoma na kisha arudi Dar Ili usiku huu aende Uingereza.
Jee atakwenda Dodoma bila ya kujua hatima ya safari yake ya kwenda Uingereza?
Na kama kwenye orodha ya abiria wa kwenda Dodoma wengine walitakiwa watoke kwenye ndege zinazokuja Dar kupitia London itakuwaje?
Data gani tena?Come with data sio porojo
Kwa hiyo hii taarifa yako ni udaku ? I'm sorry nilipotea njiaData gani tena?
Usiwe kama wale waliokuwa Wanasema Vita ya Ukraine na Urusi haituhusu, ghafla Wanasema bei ya ngano imepanda kwa sababu ya Vita hivyo.
Tujadili kwanza udhaifu wa Mifumo hiyo tusihamishe magoliZaidi ya Ndege 232 zilizotarajiwa kuondoka kwenye viwanja vya ndege (Departure) nchini Uingereza na ndege zaidi 271 zilizotaka kutua (landing) kwenye viwanja hivyo zimezuiwa kufanya hivyo kutokana na matatizo ya mifumo ya kuongozea ndege nchini humo.
Tatizo hilo la kuzuiwa kwa ndege hizo kutua au kuruka, linasemwa limeathiri usafiri wa anga dunia nzima.
Hivi tatizo hili kama lingekuwa limetokea Urusi, jee usafiri wa anga dunia nzima ungeathirika?
Nimekuuliza takwimu Gani?Kwa hiyo hii taarifa yako ni udaku ? I'm sorry nilipotea njia
Wewe jamaa upo??Tujadili kwanza udhaifu wa Mifumo hiyo tusihamishe magoli
Kukatika umeme mikoa 15 tangu juzi imesababishwa na changamoto hii ya kuongezea ndege uingerezaTanzania imeathirika ki vipi ?
Nipo MkuuWewe jamaa upo??
Nilidhani umehamishwa kitengo...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani hapa tunajadiliana nini ?Nimekuuliza takwimu Gani?
Umeishia darasa la ngapi ?Kukatika umeme mikoa 15 tangu juzi imesababishwa na changamoto hii ya kuongezea ndege uingereza
La Tatu siUmeishia darasa la ngapi ?
Local or international??Kwani hapa tunajadiliana nini ?
Umevunja ungo lini ?Local or international??
Dunia si lazima Tanzania tupate athari ndiyo dunia iwe imepata athari.Ata mim cjaelewa bongo tumepata athali gan
Zaidi ya Ndege 232 zilizotarajiwa kuondoka kwenye viwanja vya ndege (Departure) nchini Uingereza na ndege zaidi 271 zilizotaka kutua (landing) kwenye viwanja hivyo zimezuiwa kufanya hivyo kutokana na matatizo ya mifumo ya kuongozea ndege nchini humo.
Tatizo hilo la kuzuiwa kwa ndege hizo kutua au kuruka, linasemwa limeathiri usafiri wa anga dunia nzima.
Hivi tatizo hili kama lingekuwa limetokea Urusi, jee usafiri wa anga dunia nzima ungeathirika?