Kinachowauma CHADEMA sio Katiba Mpya bali ni Mbowe na Lissu kutoalikwa Ikulu

Kinachowauma CHADEMA sio Katiba Mpya bali ni Mbowe na Lissu kutoalikwa Ikulu

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2016
Posts
17,506
Reaction score
16,003
Ndugu zangu,

Kwa wataalamu wa Saikolojia wanaelewa, Chadema walifurahia SSH kuwa Rais na haikupita wiki wakaandika barua kuomba kwenda Ikulu bila kusema dhumuni la kwenda Ikulu. Waliamini wao ni muhimu kuliko yeyote hapa nchini.

Muda umepita sasa, hawajaalikwa, wamekasirika, wana hasira, wamevuvurugika wanatukana kila tusi. Wameamua kujificha kwenye kichaka cha Katiba. SSH angekubali kukutana nao na kuwapa chai pale Ikulu wangejigamba sana na wangetoa kejeli zote dhidi ya tawala zilizopita.

Nilisema itakapofika Julai mosi Chadema wataanza ukorofi, matusi na kejeli. Muda unasema sasa.
 
Sababu zako ni za kipuuzi na ni za kitoto pia! Chai ndiyo nini! Watu wanataka muafaka wa Kitaifa, wewe unaleta hoja za kitoto.

Endeleeni tu kuziba masikio. Siku ikifika, mtatafuta kwa kukimbilia nyinyi na familia zenu.
 
Nukuu "Ikulu ni mahali takatifu." Julius Nyerere.
 
Ndugu zangu,

Kwa wataalamu wa Saikolojia wanaelewa, Chadema walifurahia SSH kuwa Rais na haikupita wiki wakaandika barua kuomba kwenda Ikulu bila kusema dhumuni la kwenda Ikulu.Waliamini wao ni muhimu kuliko yeyote hapa nchini.

Muda umepita sasa,hawajaalikwa,wamekasirika,wanahasira,wamevuvurugika wanatukana kila tusi.Wameamua kujificha kwenye kichaka cha Katiba.SSH angekubali kukutana nao na kuwapa chai pale Ikulu wangejigamba sana na wangetoa kejeli zote dhidi ya tawala zilizopita.

Nilisema itakapofika Julai mosi Chadema wataanza ukorofi,matusi na kejeli.Muda unasema sasa.
 

Attachments

  • twitter_20210706_174014.mp4
    791.3 KB
Ndugu zangu,

Kwa wataalamu wa Saikolojia wanaelewa, Chadema walifurahia SSH kuwa Rais na haikupita wiki wakaandika barua kuomba kwenda Ikulu bila kusema dhumuni la kwenda Ikulu.Waliamini wao ni muhimu kuliko yeyote hapa nchini.

Muda umepita sasa,hawajaalikwa,wamekasirika,wanahasira,wamevuvurugika wanatukana kila tusi.Wameamua kujificha kwenye kichaka cha Katiba.SSH angekubali kukutana nao na kuwapa chai pale Ikulu wangejigamba sana na wangetoa kejeli zote dhidi ya tawala zilizopita.

Nilisema itakapofika Julai mosi Chadema wataanza ukorofi,matusi na kejeli.Muda unasema sasa.
 

Attachments

  • twitter_20210705_084928.mp4
    1.2 MB
Ndugu zangu,

Kwa wataalamu wa Saikolojia wanaelewa, Chadema walifurahia SSH kuwa Rais na haikupita wiki wakaandika barua kuomba kwenda Ikulu bila kusema dhumuni la kwenda Ikulu.Waliamini wao ni muhimu kuliko yeyote hapa nchini.

Muda umepita sasa,hawajaalikwa,wamekasirika,wanahasira,wamevuvurugika wanatukana kila tusi.Wameamua kujificha kwenye kichaka cha Katiba.SSH angekubali kukutana nao na kuwapa chai pale Ikulu wangejigamba sana na wangetoa kejeli zote dhidi ya tawala zilizopita.

Nilisema itakapofika Julai mosi Chadema wataanza ukorofi,matusi na kejeli.Muda unasema sasa.

Ikulu ipi, hiyo yenye harufu ya shombo ya samaki? Labda kama ingekuwa ya US.
 
Ndugu zangu,

Kwa wataalamu wa Saikolojia wanaelewa, Chadema walifurahia SSH kuwa Rais na haikupita wiki wakaandika barua kuomba kwenda Ikulu bila kusema dhumuni la kwenda Ikulu.Waliamini wao ni muhimu kuliko yeyote hapa nchini.

Muda umepita sasa,hawajaalikwa,wamekasirika,wanahasira,wamevuvurugika wanatukana kila tusi.Wameamua kujificha kwenye kichaka cha Katiba.SSH angekubali kukutana nao na kuwapa chai pale Ikulu wangejigamba sana na wangetoa kejeli zote dhidi ya tawala zilizopita.

Nilisema itakapofika Julai mosi Chadema wataanza ukorofi,matusi na kejeli.Muda unasema sasa.
 

Attachments

  • twitter_20210702_214920.mp4
    867.3 KB
Katiba siyo ya Chadema bali ya Wananchi ukiwemo wewe mwenyewe. Jiongeze.
 
Ndugu zangu,

Kwa wataalamu wa Saikolojia wanaelewa, Chadema walifurahia SSH kuwa Rais na haikupita wiki wakaandika barua kuomba kwenda Ikulu bila kusema dhumuni la kwenda Ikulu.Waliamini wao ni muhimu kuliko yeyote hapa nchini.

Muda umepita sasa,hawajaalikwa,wamekasirika,wanahasira,wamevuvurugika wanatukana kila tusi.Wameamua kujificha kwenye kichaka cha Katiba.SSH angekubali kukutana nao na kuwapa chai pale Ikulu wangejigamba sana na wangetoa kejeli zote dhidi ya tawala zilizopita.

Nilisema itakapofika Julai mosi Chadema wataanza ukorofi,matusi na kejeli.Muda unasema sasa.
Kwa akili yako unafikili kina Mbowe Wana njaa Kama wewe?

Wanaweza wakawafuga ukoo wenu wote
 
Sababu zako ni za kipuuzi na ni za kitoto pia! Chai ndiyo nini!! Watu wanataka muafaka wa Kitaifa, wewe unaleta hoja za kitoto.

Endeleeni tu kuziba masikio. Siku ikifika, mtatafuta kwa kukimbilia nyinyi na familia zenu.
Muafaka juu ya nini? Tupo na crisis gani mpaka tuhitaji muafaka? Tumia ubongo bro. Au muafaka wa kutengeneza mazingira ili mpige pesa za michango na ruzuku?
 
Muafaka juu ya nini? Tupo na crisis gani mpaka tuhitaji muafaka? Tumia ubongo bro. Au muafaka wa kutengeneza mazingira ili mpige pesa za michango na ruzuku?
Kubishana na wewe ni kujichosha tu. Maana huna unacho kifahamu.
 
Hatuwezi kuogopa wala kurudi nyuma kudai katiba mpya eti tukitimiza wajibu wetu wa kikatiba ni chokochoko. No, no, we are not satisfied and will not be satisfied until justice rolls down like water and righteousness like a mighty stream. Hii Nchi ni yetu sote..Katiba Kwanza.
 
Dogo tindo unajichanganya sana,siku hizi umekuwa mtu wa jazba si hoja.Na sasa jiwe la kizani limekupata jichoni,pole
Ikulu ipi, hiyo yenye harufu ya shombo ya samaki? Labda kama ingekuwa ya US.
 
Back
Top Bottom