Kinachowauma CHADEMA sio Katiba Mpya bali ni Mbowe na Lissu kutoalikwa Ikulu

Kinachowauma CHADEMA sio Katiba Mpya bali ni Mbowe na Lissu kutoalikwa Ikulu

Muafaka juu ya nini? Tupo na crisis gani mpaka tuhitaji muafaka? Tumia ubongo bro. Au muafaka wa kutengeneza mazingira ili mpige pesa za michango na ruzuku?

Hawa jamaa huwa nawashangaa sana wanavosema muafaka wa kitaifa as if huku mtaani watu hawaombani chumvi Au kuzikana...
Au Kuna mauaji ya kimbari vile ...

Huku mtaani watu hawalizani vyama,dini wala makabila... wanajazana mwendokasi Na daladala bila kuulizana kadi za vyama ... wao kilio huku ni kuwezeshwa tu kiuchumi Na kuwekewa Mazingira bora ya maisha na kesho zao ...

Hiyo miafaka labda ya vyama na vyama sio waseme eti ya kitaifa
Taifa kama Taifa halina uhasama wa kuhitaji muafaka wa ndani zaidi ya tofauti za ideologically tuu
 
Hata hiyo Katiba yenyewe kinachowafanya waidai ni tume huru ya uchaguzi tu hakuna jingine.

Yaani majamaa yanakaa kuwaza ulaji tu.
Sasa mbona hakuna uhusiano kati ya kudai Tume Huru ya uchaguzi na ulaji!! Au unamaanisha iwapo kutakuwepo na Tume Huru ya Uchaguzi, mtanyang'anywa minofu ya nyama midomoni mwenu?

Kama ni hivyo basi mna haki ya kuikataa Katiba Mpya kwa nguvu zenu zote.
 
Hawa jamaa huwa nawashangaa sana wanavosema muafaka wa kitaifa as if huku mtaani watu hawaombani chumvi Au kuzikana...
Au Kuna mauaji ya kimbari vile ...

Huku mtaani watu hawalizani vyama,dini wala makabila... wanajazana mwendokasi Na daladala bila kuulizana kadi za vyama ... wao kilio huku ni kuwezeshwa tu kiuchumi Na kuwekewa Mazingira bora ya maisha na kesho zao ...

Hiyo miafaka labda ya vyama na vyama sio waseme eti ya kitaifa
Taifa kama Taifa halina uhasama wa kuhitaji muafaka wa ndani zaidi ya tofauti za ideologically tuu
Wewe unachowaza ni kula tu! Hakuna kingine nje ya hicho.
 
Ndugu zangu,

Kwa wataalamu wa Saikolojia wanaelewa, Chadema walifurahia SSH kuwa Rais na haikupita wiki wakaandika barua kuomba kwenda Ikulu bila kusema dhumuni la kwenda Ikulu.Waliamini wao ni muhimu kuliko yeyote hapa nchini.

Muda umepita sasa,hawajaalikwa,wamekasirika,wanahasira,wamevuvurugika wanatukana kila tusi.Wameamua kujificha kwenye kichaka cha Katiba.SSH angekubali kukutana nao na kuwapa chai pale Ikulu wangejigamba sana na wangetoa kejeli zote dhidi ya tawala zilizopita.

Nilisema itakapofika Julai mosi Chadema wataanza ukorofi,matusi na kejeli.Muda unasema sasa.



IMG_20210704_051559_619.jpg


IMG_20210705_090501_586.jpg
 
Sasa nitake muafaka Na mtu ambae sina tatizo nae !?
Au unadhani matatizo yako binafsi yanamuhusu kila mtu !?
Basi wewe endelea kupigania tonge, na sisi tutaendelea kuipigania Katiba Mpya na pia Tume Huru ya Uchaguzi.
 
Ndugu zangu,

Kwa wataalamu wa Saikolojia wanaelewa, Chadema walifurahia SSH kuwa Rais na haikupita wiki wakaandika barua kuomba kwenda Ikulu bila kusema dhumuni la kwenda Ikulu.Waliamini wao ni muhimu kuliko yeyote hapa nchini.

Muda umepita sasa,hawajaalikwa,wamekasirika,wanahasira,wamevuvurugika wanatukana kila tusi.Wameamua kujificha kwenye kichaka cha Katiba.SSH angekubali kukutana nao na kuwapa chai pale Ikulu wangejigamba sana na wangetoa kejeli zote dhidi ya tawala zilizopita.

Nilisema itakapofika Julai mosi Chadema wataanza ukorofi,matusi na kejeli.Muda unasema sasa.
Wewe unafaa kabisa kutumika kama mfano wa vijana wapumbavu hapa nchini
 
Clauds ijumaaa atangea na na wananchi tutamsikua au anataka nini maana si elewi....
 
Ndugu zangu,

Kwa wataalamu wa Saikolojia wanaelewa, Chadema walifurahia SSH kuwa Rais na haikupita wiki wakaandika barua kuomba kwenda Ikulu bila kusema dhumuni la kwenda Ikulu.Waliamini wao ni muhimu kuliko yeyote hapa nchini.

Muda umepita sasa,hawajaalikwa,wamekasirika,wanahasira,wamevuvurugika wanatukana kila tusi.Wameamua kujificha kwenye kichaka cha Katiba.SSH angekubali kukutana nao na kuwapa chai pale Ikulu wangejigamba sana na wangetoa kejeli zote dhidi ya tawala zilizopita.

Nilisema itakapofika Julai mosi Chadema wataanza ukorofi,matusi na kejeli.Muda unasema sasa.
Huna Tofauti na huyu kwani WANAODAI KATIBA MPYA ni Mbowe na LISU ? Akili zako ziko hivi Hoja ya Katiba MPYA haina uhusiano wowote na kuzaliwa Ikulu
JamiiForums-981320052.jpg
 
Mimi siyo Kamanda wala nini! Sema tu hii hoja yako ya kusema eti watu wazima wanataka kunywa chai ikulu, ndiyo niliyo kuambia ni ya kipuuzi na kitoto.

Chadena ni chama kikuu cha upinzani! Hivyo wana sifa ya kuonana na Rais wao kama wao, na pasipo kuongozana na mamluki kama akina Shibuda, nk.
Hii ni kwa mujibu wa nani??? Yaani sifa hiyo ya kuonana na Mheshimiwa rais wamepata wapi??

Au ndio watamlazimisha kuonana nae??
 
Hawa jamaa huwa nawashangaa sana wanavosema muafaka wa kitaifa as if huku mtaani watu hawaombani chumvi Au kuzikana...
Au Kuna mauaji ya kimbari vile ...

Huku mtaani watu hawalizani vyama,dini wala makabila... wanajazana mwendokasi Na daladala bila kuulizana kadi za vyama ... wao kilio huku ni kuwezeshwa tu kiuchumi Na kuwekewa Mazingira bora ya maisha na kesho zao ...

Hiyo miafaka labda ya vyama na vyama sio waseme eti ya kitaifa
Taifa kama Taifa halina uhasama wa kuhitaji muafaka wa ndani zaidi ya tofauti za ideologically tuu
Alichosema wakudadavuwa ndio ukweli wenyewe. Hasira zao zote ni kutoalikwa ikulu tu.

Hawa jamaa wanajifanya wajuaji sana.

Siku moja Extrovert alisema hapa, itafika muda mama atasema "WTF" and she will cut them lose. Nadhani muda si mrefu watafurahi wenyewe hawa hahahaahahh
 
Tena katika vitu vimenishangaza ni hao viongozi wa cdm kutaka kuonana na rais. Mimi sio muumini wa siasa za kujipendekeza kwa watawala. Hao viongozi wa cdm wangeendelea na shughuli zao, na sio kutaka kukutana na majizi ya kura.
Duh...!
 
Wewe unachowaza ni kula tu! Hakuna kingine nje ya hicho.
 
Hao cdm wasituchezee Watanzania tuwashtukie mapema na tuwapuuzie wasiharibu amani yetu ya Tanzania kuna watu wanatamani sana wangezaliwa kwenye ardhi ya nchi yetu kulingana na amani tuliyonayo hivyo tusiichezee hii tunu yetu,mungu bariki Tanzania.
 
Back
Top Bottom