Kinachowauma CHADEMA sio Katiba Mpya bali ni Mbowe na Lissu kutoalikwa Ikulu

Kinachowauma CHADEMA sio Katiba Mpya bali ni Mbowe na Lissu kutoalikwa Ikulu

Ndugu zangu,

Kwa wataalamu wa Saikolojia wanaelewa, Chadema walifurahia SSH kuwa Rais na haikupita wiki wakaandika barua kuomba kwenda Ikulu bila kusema dhumuni la kwenda Ikulu. Waliamini wao ni muhimu kuliko yeyote hapa nchini.

Muda umepita sasa, hawajaalikwa, wamekasirika, wana hasira, wamevuvurugika wanatukana kila tusi. Wameamua kujificha kwenye kichaka cha Katiba. SSH angekubali kukutana nao na kuwapa chai pale Ikulu wangejigamba sana na wangetoa kejeli zote dhidi ya tawala zilizopita.

Nilisema itakapofika Julai mosi Chadema wataanza ukorofi, matusi na kejeli. Muda unasema sasa.
Ni mentality ya ajabu sana na ya hovyo kudhani kwenda kukanyaga viunga vya ikulu ni deal Tena ni mentality ya kimaskini
pia ni mawazo ya ajabu sana kuongelea issue za chai au chakula kwa mtu mzima
Kabila letu sisi ni aibu kuongea siju chakula kimefanya nini sijui sijala.
Mara nying ukiona mtu anapenda kuongelea chakula mara kwa mara atakua aidha yeye mwenyewe ni mlafi au mchoyo wa chakula
Au katika maisha yake au familia chakula ishawahi kuwa ni issue kukipata.
 
Sababu zako ni za kipuuzi na ni za kitoto pia! Chai ndiyo nini! Watu wanataka muafaka wa Kitaifa, wewe unaleta hoja za kitoto.

Endeleeni tu kuziba masikio. Siku ikifika, mtatafuta kwa kukimbilia nyinyi na familia zenu.
Siku ipi Mkuu?
Siku ya kufanya nini?
Mnamtishia shoga kujamba?

Mtajamba nyie ye atoe mavi halafu muuone mziki wake.

Katiba mpya,katiba mpya ya maaafi!!!
 
Mbona hakuongea haya wakati wa Magufuli,angenyooka!
Mmepata mnyonge wenu mnaanza kumpelekesha.

Enzi za Magu angenyanyua mdomo ndo angejua kwanini kiwanda cha mshumaa kinatumia umeme. Wananchi walitulia tuli,nchi ilitulia tuli. Mnaanza kutuletea ujinga eh?
 
.
IMG-20210708-WA0018.jpg


Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Mbona hakuongea haya wakati wa Magufuli,angenyooka!
Mmepata mnyonge wenu mnaanza kumpelekesha.

Enzi za Magu angenyanyua mdomo ndo angejua kwanini kiwanda cha mshumaa kinatumia umeme. Wananchi walitulia tuli,nchi ilitulia tuli. Mnaanza kutuletea ujinga eh?
Humu kuna Chadema, Ccm, Samia na Magufuli.
Wananchi wamesahaulika.
 
Ndugu zangu,

Kwa wataalamu wa Saikolojia wanaelewa, Chadema walifurahia SSH kuwa Rais na haikupita wiki wakaandika barua kuomba kwenda Ikulu bila kusema dhumuni la kwenda Ikulu. Waliamini wao ni muhimu kuliko yeyote hapa nchini.

Muda umepita sasa, hawajaalikwa, wamekasirika, wana hasira, wamevuvurugika wanatukana kila tusi. Wameamua kujificha kwenye kichaka cha Katiba. SSH angekubali kukutana nao na kuwapa chai pale Ikulu wangejigamba sana na wangetoa kejeli zote dhidi ya tawala zilizopita.

Nilisema itakapofika Julai mosi Chadema wataanza ukorofi, matusi na kejeli. Muda unasema sasa.
Hv ww ungetupa mchango wako ulioutoa bungeni kutetea wananchi dhidi ya tozo kandamizi tozo za simu kijijini watu hawana account tegemeo lao ni mpesa,mafuta bei juu kuliko nchi jirani ambao wanapitishia mafuta kwny bandari yetu tupe mchango wako ili wananchi tukupime sio kila siku chadema
 
Na hakuna mwananchi mwenye shida ya katiba,watu wanataka huduma bora za afya,maji,umeme,barabara nk.
Mimi ni muumini wa maamuzi ya mjadala yaani maamuzi ya wengi.
Katiba iliyopo haitoi fursa ya maamuzi ya wengi kuheshimiwa au kufuatwa.
Wawakilishi wetu hawatokani na kukubalika na wengi bali vyama vyao.

Hivyo haja ya katiba bora ni muhimu sana kabisa. Tupate katiba inayojali maslahi ya wengi na siyo vyama vya siasa pekee.
 
Ndugu zangu,

Kwa wataalamu wa Saikolojia wanaelewa, Chadema walifurahia SSH kuwa Rais na haikupita wiki wakaandika barua kuomba kwenda Ikulu bila kusema dhumuni la kwenda Ikulu. Waliamini wao ni muhimu kuliko yeyote hapa nchini.

Muda umepita sasa, hawajaalikwa, wamekasirika, wana hasira, wamevuvurugika wanatukana kila tusi. Wameamua kujificha kwenye kichaka cha Katiba. SSH angekubali kukutana nao na kuwapa chai pale Ikulu wangejigamba sana na wangetoa kejeli zote dhidi ya tawala zilizopita.

Nilisema itakapofika Julai mosi Chadema wataanza ukorofi, matusi na kejeli. Muda unasema sasa.
Hawa walizoeshwa vibaya na rais wetu uchwara aliyepita (JK a.k.a. rais dhaifu kuwahi kutokea hapa bongo) kwenda kula maandazi na chai ya maziwa whenever they wished pale Ikulu. JK hakuwa mtu wa maana kwani alifanya Ikulu ni sehemu ya wasanii wa bongo fleva pia, mtu anashindwa kuendesha nchi anaalika wasanii Ikulu kula maandazi na kunywa kahawa huku wakipiga story za mtaani. Kina Mbowe na Lissu someni alama za nyakati please, mbona maandazi yanapatikana anywhere hapa Tanzania mpaka myalilie ya Ikulu tu?
 
Ikulu ni mahali patakatifu huwezi kuwaalika magenge ya kihuni kama chadema wanaotukana mitandaoni,wavuta bangi
 
Hata hiyo Katiba yenyewe kinachowafanya waidai ni tume huru ya uchaguzi tu hakuna jingine.

Yaani majamaa yanakaa kuwaza ulaji tu.
Tume huru ya uchaguzi itawapaje ulaji?
 
Povu
Ni mentality ya ajabu sana na ya hovyo kudhani kwenda kukanyaga viunga vya ikulu ni deal Tena ni mentality ya kimaskini
pia ni mawazo ya ajabu sana kuongelea issue za chai au chakula kwa mtu mzima
Kabila letu sisi ni aibu kuongea siju chakula kimefanya nini sijui sijala.
Mara nying ukiona mtu anapenda kuongelea chakula mara kwa mara atakua aidha yeye mwenyewe ni mlafi au mchoyo wa chakula
Au katika maisha yake au familia chakula ishawahi kuwa ni issue kukipata.
 
Ndugu zangu,

Kwa wataalamu wa Saikolojia wanaelewa, Chadema walifurahia SSH kuwa Rais na haikupita wiki wakaandika barua kuomba kwenda Ikulu bila kusema dhumuni la kwenda Ikulu. Waliamini wao ni muhimu kuliko yeyote hapa nchini.

Muda umepita sasa, hawajaalikwa, wamekasirika, wana hasira, wamevuvurugika wanatukana kila tusi. Wameamua kujificha kwenye kichaka cha Katiba. SSH angekubali kukutana nao na kuwapa chai pale Ikulu wangejigamba sana na wangetoa kejeli zote dhidi ya tawala zilizopita.

Nilisema itakapofika Julai mosi Chadema wataanza ukorofi, matusi na kejeli. Muda unasema sasa.
I'm sorry to say: You are naive and full of lapses.
 
Hivi huwa mnapata wapi muda wa kujibizana na huyu malaya?
 
Uko sahihi baada ya kuchuniwa wameanza kumshambulia kweli wanasiasa sio wakuwaamini.
Kwa hiyo kwa akili yako fupi anashambuliwa kwa kuwanyima wito? MATAGA mkiambiwa hamna akili muwe mnaelewa.
 
Hata hiyo Katiba yenyewe kinachowafanya waidai ni tume huru ya uchaguzi tu hakuna jingine.

Yaani majamaa yanakaa kuwaza ulaji tu.
Ushasema "Huru" na hapa unakubali kuwa tume haiko huru!!!
 
Back
Top Bottom