Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
- Thread starter
- #61
Pole kwa maumivu dogo
Sio kwa kutambia kama hiyo mshamba anayeona ni mahali pa kusujudiwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kwa kutambia kama hiyo mshamba anayeona ni mahali pa kusujudiwa.
Hao cdm wasituchezee Watanzania tuwashtukie mapema na tuwapuuzie wasiharibu amani yetu ya Tanzania kuna watu wanatamani sana wangezaliwa kwenye ardhi ya nchi yetu kulingana na amani tuliyonayo hivyo tusiichezee hii tunu yetu,mungu bariki Tanzania.
Kumwalika faru John & Co ikulu kufanya nini?.Ndugu zangu,
Kwa wataalamu wa Saikolojia wanaelewa, Chadema walifurahia SSH kuwa Rais na haikupita wiki wakaandika barua kuomba kwenda Ikulu bila kusema dhumuni la kwenda Ikulu.Waliamini wao ni muhimu kuliko yeyote hapa nchini...
Hao unaowataja wamekwisha ingia ikulu huyu mama akiwa ofisa wa kawaida tu , acha uongoNdugu zangu,
Kwa wataalamu wa Saikolojia wanaelewa, Chadema walifurahia SSH kuwa Rais na haikupita wiki wakaandika barua kuomba kwenda Ikulu bila kusema dhumuni la kwenda Ikulu.Waliamini wao ni muhimu kuliko yeyote hapa nchini...
Hao unaowataja wamekwisha ingia ikulu huyu mama akiwa ofisa wa kawaida tu , acha uongo
View attachment 1845326
Miongoni mwa masuala mazito yaliyopelekea chadema kuomba kukutana na rais Samia kwa vyovyote vile ni haya mawili:.
(a) Amri haramu ya kukataza shughuli za vyama vya siasa iliwekwa na Magufuli)...
Kumbe kweli! Kinachowauma CHADEMA sio Katiba Mpya bali ni Mbowe na Lissu kitoalikwa IkuluMiongoni mwa masuala mazito yaliyopelekea chadema kuomba kukutana na rais Samia kwa vyovyote vile ni haya mawili:.
(a) Amri haramu ya kukataza shughuli za vyama vya siasa iliwekwa na Magufuli).
( b) Kupata katiba mpya
Maneno mabaya kabisa hayo daah 🤣Sasa nyie mnamwambia mtamnyoa 😀😀
Uchaguzi 2025 weka kwenye Ilani ya NCCR Mageuzi (kwa sasa jumla wana wabunge zero) au ya CUF (Mbunge 1) na Chadema (nao Mbunge 1). Hoja inaweza kuanzia Bungeni sasa hivi, lakini utakuta haitapita ujue kuwa hili ni bunge la vyama vingi. Ingekuwa ni Bunge la chama kimoja ingetoka hoja ya Polepoke mojactu ikapita bilavkupingwa.Hatuwezi kuogopa wala kurudi nyuma kudai katiba mpya eti tukitimiza wajibu wetu wa kikatiba ni chokochoko. No, no, we are not satisfied and will not be satisfied until justice rolls down like water and righteousness like a mighty stream. Hii Nchi ni yetu sote..Katiba Kwanza.
Ndugu zangu,
Kwa wataalamu wa Saikolojia wanaelewa, Chadema walifurahia SSH kuwa Rais na haikupita wiki wakaandika barua kuomba kwenda Ikulu bila kusema dhumuni la kwenda Ikulu. Waliamini wao ni muhimu kuliko yeyote hapa nchini.
Muda umepita sasa, hawajaalikwa, wamekasirika, wana hasira, wamevuvurugika wanatukana kila tusi. Wameamua kujificha kwenye kichaka cha Katiba. SSH angekubali kukutana nao na kuwapa chai pale Ikulu wangejigamba sana na wangetoa kejeli zote dhidi ya tawala zilizopita.
Nilisema itakapofika Julai mosi Chadema wataanza ukorofi, matusi na kejeli. Muda unasema sasa.
Ukiona mtu mzima anakuwa si mkweli hadharani kwa kutoa kauli ambayo ameshindwa kuonyesha ushahidi husika na mtu huyo ana madaraka makubwa sana basi ujue anatafuta justification ya KUTENDA MAOVU.
View attachment 1845346
Kwa post kama hii mtu aki ku-rate kuwa wewe thinking yako ni sawa na darasa ka chekechea au to put it right ni mavi, atakuwa amekutukana?
Watapokelewa....
Watatema "nyongo zao"....
Watasikilizwa na mzalendo no.1 mh.SSH.....
WATAKUNYWA CHAI....
WATAPIGA NAYE PICHA....
Haooooooo makwao......
View attachment 1845347