Kinamchomsumbua Hananja ni wivu wa kuzidiwa 'trending' na Mfalme Zumaridi

Usimfananishe mchungaji Hananja na mambo ya kijinga kama zumaridi. Idiot!
 
Akili za kisukuma bwana ,hananja bilionea umfananishe na zumaradi ,punguza upunguani wako
We kima kweli , Billionare kwa lipi , tulete mali za mfalme zumaridi alaf ulete na za huyo hananja , yeye hananja atafte na yeye trending site yale ili aende mjini , sio kudandia hoja za mwenzake , mana tukifukunyua ya kwake na yeye ni wale wale P.O.BoX ..... Motoni ,
 
Haya tusaidie pia kinacho msumbua zumaridi ni kipi ....ili mzani ikae sawa
Zumaridi katake airtime , na ameenda viral inashangaza wachungaji wanojua siri ya urembo wamekaa kimya , kihere here cha hananja kudandia mwenzake , ikobhzi kama anjijua ana hoja ya msingi atafte hekima kama akili kubwa za mwakasege although lao ni moja
 
Kwahiyo tumekubaliana kua Zumaridi alienda mbinguni au hakwenda?
Kwahiyo Paulo ni kweli alitaka kumuoa Zumaridi ila Zumaridi akakataa?
Na vipi kuhusu Jua kumtokea chumbani kwake usiku?

Nitarudi kusoma majibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…