Tetesi: Kinana agoma kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya CCM

Tetesi: Kinana agoma kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya CCM

Status
Not open for further replies.
Haya maisha bhana nikikumbuka jinsi Kinana alivyotembea nchi nzima kuisafisha CCM kipindi kile eti leo anaonekana hafai daaah!
 
Kama nimeelewa sawasawa, ni kwamba:

Mwenyekiti amewafokea Polepole, Bashiru na wajumbe wa kamati, lakini zaidi amefokewa Polepole kwa kuhidlsiwa kuwa ndiye aliyevujisha siri.

Kinana na Makamba wameandika barua za kujiondoa kwenye chama kwa maana ya kustaafu siasa. Kamati baada ya kupilokea barua zao ikawaomba kuwa wasiliseme jambo hilo kwa umma, nao wakawaambia kuwa, na wao (wajumbe wa kamati) wasiseme juu ya jambo hilo.

Cha kushangaza baada ya muda mfupi, jambo tayari limetoka na watu wanajua. Mwenyekiti amechukia, na kuwafokea sana Polepole na Bashiru, kiasi cha bwana Bashiru kuondoka ofisini na kwenda kupumzika.

Hivi ndivyo nilivyoelewa.
hapa mkuu umedadavua vizuri
 
Wakati Membe akitamba kuwa alienda mbele ya kamati ya maadili ya CCM kuwafunda na kuwaelimisha kuhusu mambo mbalimbali, Kinana amegoma kufika mbele ya kamati hiyo.

Kwa mujibu wa chanzo cha kuaminika, Kinana ameona ni kama kudharauliwa kwa kuitwa kuhojiwa mambo ambayo kimsingi ni malalamiko aliyotoa kuhusu namna alivyokuwa akipakwa matope na mtu anayejiita Cyprian Musiba. Inaelezwa kuwa aliyetakiwa kuitwa ni Musiba na siyo Kinana.

Kwa mujibu wa taarifa rasmi ndani ya chama, Kinana jana ijumaa alitakiwa kuwepo mbele ya kamati hiyo ya maadili lakini alisubiriwa hadi jioni na hakuna taarifa yoyote rasmi iliyopatikana juu ya kutokuhudhuria kwake mbele ya kamati hiyo.

Aidha hakutuma ujumbe wowote wa udhuru kuelezea kuhusu yeye kushindwa kufika mbele ya kamati hiyo kama ilivyopangwa.

Tusubiri tuone.
Hapana chezea Msomali.
 
Unless unamjua aliyekituma kinyangarika!.

Ukiwa na njaa ya siku tatu bila kula, bila kunywa, halafu akatokea mtu kukupa chakula, cha kwanza utakachofanya ni kushukuru, na picha zitapigwa na taarifa za aliyekutendea wema, zitaenezwa na atasifiwa kwa wema. Na baada ya kula kesho yake hukuamka. Taarifa ikatolewa umekufa kwa ugonjwa wa moyo. Yule aliyekupa kile chakula ataendelea kusifiwa kumbe kwenye kile chakula alikutilia sumu, it's only karma ndio itamhukumu.

Hivyo kwenye mazuri yanayoonekana machoni, tutaendelea kupongeza kusifu na kuimba nyimbo za mapambio. Kama kuna mabaya na maovu ya chini ya kapeti ikiwemo kuwatuma vinyangarika, we can't tell.
P
Ila wewe Pascal, kudadeki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati Membe akitamba kuwa alienda mbele ya kamati ya maadili ya CCM kuwafunda na kuwaelimisha kuhusu mambo mbalimbali, Kinana amegoma kufika mbele ya kamati hiyo.

Kwa mujibu wa chanzo cha kuaminika, Kinana ameona ni kama kudharauliwa kwa kuitwa kuhojiwa mambo ambayo kimsingi ni malalamiko aliyotoa kuhusu namna alivyokuwa akipakwa matope na mtu anayejiita Cyprian Musiba. Inaelezwa kuwa aliyetakiwa kuitwa ni Musiba na siyo Kinana.

Kwa mujibu wa taarifa rasmi ndani ya chama, Kinana jana ijumaa alitakiwa kuwepo mbele ya kamati hiyo ya maadili lakini alisubiriwa hadi jioni na hakuna taarifa yoyote rasmi iliyopatikana juu ya kutokuhudhuria kwake mbele ya kamati hiyo.

Aidha hakutuma ujumbe wowote wa udhuru kuelezea kuhusu yeye kushindwa kufika mbele ya kamati hiyo kama ilivyopangwa.

Tusubiri tuone.
Hana madhara.
 
Kiongozi tuliyenaye Jiwe ambaye anapenda kuabudiwa kwa kuombwa msamaha hata na watu ambao hawajamkosea hana tofauti na akina Adolf Hitler na Benito Mussolini.

Hawa akina Abrahman Kinana na Yusuf Makamba walipaswa wawe washauri wake na siyo kushauriwa na Pole Pole na Bashiru Ally au Makonda. Hata waliyoyaongea kwenye simu alizowarekodi kijinai bado ni ushauri mzuri wa kukijenga chama, Mwenyekiti wa CCM kama angekuwa na akili nzuri angechukulia mawazo ya wale wazee positively kuliko kuwadhalilisha kwa kuyaanika na kutaka wamuombe msamaha.

Hili likiendelea usijeshangaa siku nyingine ikatokea akamdhalilisha JK na Mkapa.

Huyu Jiwe ni Dikteta tu sawa na Hitler na Mussolini:
Hamufikii Mbowe( sumu haionjwi kwa ulimi)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya maisha bhana nikikumbuka jinsi Kinana alivyotembea nchi nzima kuisafisha CCM kipindi kile eti leo anaonekana hafai daaah!
By Zitto's voice "Tumewapa madaraka watu washamba na malimbukeni"
 
bado kikwete na mkapa nao walishatajwa na mcba,wanamhujum mfalme wangojee zamu yao
 
Sijawahi kuona mwanajeshi anaekubali kuburuzwa na asiye mwanajeshi aliyemzidi cheo.

Nionavyo, namna pekee ya kuwahoji hao wazee ni kuwaomba miadi (appointment) na kuwafata majumbani kwao, kwa heshima zote wanazostahiki kwa umri wao na nyadhifa zao walizostaafu, na kufanya nao mahojiano ya kistaarabu.

Huwezi kuwaweka kitimoto hao wakakubali. Hawana cha kupoteza.
umenifurahisha sana, kitendo cha kutambua hao ni wanajeshi hata mimi umenifumbua zaidi,
 
"siku zote faida ya ujinga ni kuumizwa"
kuna vijana tunapaswa tuwacheke na kuwadhihaki, ili wapate uchungu zaidi kwa makosa yao ya kutumia nafasi za uongozi vibaya.


mfano Nape Moses Mnauye alifikia kuleta zengwe bunge lizimwe ili kuzuia wabunge wa chama wa upinzani, hakujua kitendo hicho kinapelekea kumpa nguvu zaidi mwenyekiti wa ccm na rais. Sasa huyo rais baba yako? Na atadumu milele?

Sasa ashamaliza kusambaratisha wapinzani nje ya chama, sasa wanaofuata siwezi sema wapinzani ndani ya chama. hatuwapendi tu yaani.

Sababu tukisema tufukue makaburi hakuna mtu safi ndani ya ccm au upinzani. Makosa yalikuwepo hata kabla ya kutungwa sheria, tuelewane hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom