Mystery
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 15,843
- 31,057
L
Lakini kwa wakati huu ambapo Jiwe anakiendesha hiko chama kama vile anavyoiendesha familia yake ya mama Jesca, hakika safari hii ni lazima chama kitamfia mikononi mwakeWalitabiri chama kitamfia JK kabla ya uchaguzi 2015 kikavuka. Ccm ni taasisi sio watu Ccm ni zimwi
Sent using Jamii Forums mobile app