Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili chama kionekane kina nguvu ya ushawishi, no muhimu kinana na Makamba kwenda kuhojiwa. Ila ikiwa hawatokwenda, ina maana wamekaidi agizo la chama na wamejifukuza chamani au kujitoa.Kwanza mpaka sasa bado hakuna uthibitisho kuwa hili ni kweli, lakini ikitokea likawa kweli, Kinana na Makamba wakajitoa CCM kwasababu ya kile kinyangarika, then huu utakuwa ni uthibitisho kuwa wamegundua kile kinyangarika kinatumwa tuu, hivyo ili kulinda heshima zao, wakaamua kujiepusha na CCM.
Kitendo cha watu waliokipigania chama kwa machozi, jasho na damu katika maisha yao yote, halafu, wakaja kuchafuliwa na kudhalilishwa na kinyangarika fulani ambacho kinatumwa, karma ya Kinana na Makamba ni kubwa, hivyo kama hii ni kweli, then just sit and watch jinsi karma itakavyo kishughulikia hicho kinyangarika na anayekituma!.
P
Naanza kuuona moshi mwekundu ukifuka kutoka kwenye himaya ya wana ccm pale lumumba
Sent using Jamii Forums mobile app
Pascal Mayalla ulibisha janaKwanza mpaka sasa bado hakuna uthibitisho kuwa hili ni kweli, lakini ikitokea likawa kweli, Kinana na Makamba wakajitoa CCM kwasababu ya kile kinyangarika, then huu utakuwa ni uthibitisho kuwa wamegundua kile kinyangarika kinatumwa tuu, hivyo ili kulinda heshima zao, wakaamua kujiepusha na CCM.
Kitendo cha watu waliokipigania chama kwa machozi, jasho na damu katika maisha yao yote, halafu, wakaja kuchafuliwa na kudhalilishwa na kinyangarika fulani ambacho kinatumwa, karma ya Kinana na Makamba ni kubwa, hivyo kama hii ni kweli, then just sit and watch jinsi karma itakavyo kishughulikia hicho kinyangarika na anayekituma!.
P
Una ushahidi wowote unaoonyesha kuwa Musiba ana kadi ya Chama na anailipia ada inavyostahili!?Ili chama kionekane kina nguvu ya ushawishi, no muhimu kinana na Makamba kwenda kuhojiwa. Ila ikiwa hawatokwenda, ina maana wamekaidi agizo la chama na wamejifukuza chamani au kujitoa.
Mahojiano yana pendeza kama aliyekuchafua naye akiwepo.
Iweje waitwe wao lakini Musiba asiitwe kuhojiwa?!
Ilibidi Musiba awepo na wote aliowatuhumu wawepo, ili shauri liwe zuri kusikilizwa na kutolewa maamuzi.
Kama Musiba ahojiwi, sioni kwanini Kinana,Makamba, na Membe wahojiwe.
Unajua maana ya kukataa?
Alisema mwenyewe tafuta, video yake humu, akijisifu yeye na Makonda walivyokuwa uvcc. Maneno yake ni ushahidi kwamba ni mwana chama wa ccm.Una ushahidi wowote unaoonyesha kuwa Musiba ana kadi ya Chama na anailipia ada inavyostahili!?
Kwenu akina nani?!Sisiemu wakigombana ni furaha kwetu.
5/5
Muulize Mbowe walibadilishaje gia angani?Kumuita Lowasa Captain ni u Maaluni
Sent from my SM-A207F using Tapatalk
Na wewe Mkuu kada wa Lumumba barafuyamoto hujambo?Ulisisikia zile audio clip wewe bavicha au uko obsessed na musiba?
We jamaa ni Kilaza Sana nimegunduaMuulize Mbowe walibadilishaje gia angani?
Unless unamjua aliyekituma kinyangarika!.mnafiki at work baadae utakuja kukisifia kinachomtuma kinyagarika.
Sent using Jamii Forums mobile app