Tetesi: Kinana agoma kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya CCM

Tetesi: Kinana agoma kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya CCM

Status
Not open for further replies.
Kwanza mpaka sasa bado hakuna uthibitisho kuwa hili ni kweli, lakini ikitokea likawa kweli, Kinana na Makamba wakajitoa CCM kwasababu ya kile kinyangarika, then huu utakuwa ni uthibitisho kuwa wamegundua kile kinyangarika kinatumwa tuu, hivyo ili kulinda heshima zao, wakaamua kujiepusha na CCM.

Kitendo cha watu waliokipigania chama kwa machozi, jasho na damu katika maisha yao yote, halafu, wakaja kuchafuliwa na kudhalilishwa na kinyangarika fulani ambacho kinatumwa, karma ya Kinana na Makamba ni kubwa, hivyo kama hii ni kweli, then just sit and watch jinsi karma itakavyo kishughulikia hicho kinyangarika na anayekituma!.
P
Ili chama kionekane kina nguvu ya ushawishi, no muhimu kinana na Makamba kwenda kuhojiwa. Ila ikiwa hawatokwenda, ina maana wamekaidi agizo la chama na wamejifukuza chamani au kujitoa.

Mahojiano yana pendeza kama aliyekuchafua naye akiwepo.

Iweje waitwe wao lakini Musiba asiitwe kuhojiwa?!

Ilibidi Musiba awepo na wote aliowatuhumu wawepo, ili shauri liwe zuri kusikilizwa na kutolewa maamuzi.

Kama Musiba ahojiwi, sioni kwanini Kinana,Makamba, na Membe wahojiwe.
 
Kwanza mpaka sasa bado hakuna uthibitisho kuwa hili ni kweli, lakini ikitokea likawa kweli, Kinana na Makamba wakajitoa CCM kwasababu ya kile kinyangarika, then huu utakuwa ni uthibitisho kuwa wamegundua kile kinyangarika kinatumwa tuu, hivyo ili kulinda heshima zao, wakaamua kujiepusha na CCM.

Kitendo cha watu waliokipigania chama kwa machozi, jasho na damu katika maisha yao yote, halafu, wakaja kuchafuliwa na kudhalilishwa na kinyangarika fulani ambacho kinatumwa, karma ya Kinana na Makamba ni kubwa, hivyo kama hii ni kweli, then just sit and watch jinsi karma itakavyo kishughulikia hicho kinyangarika na anayekituma!.
P
Pascal Mayalla ulibisha jana
 
Wazee wetu wamedhalilishwa,tujitafakari tunakoelekea ccm mpya
 
Ili chama kionekane kina nguvu ya ushawishi, no muhimu kinana na Makamba kwenda kuhojiwa. Ila ikiwa hawatokwenda, ina maana wamekaidi agizo la chama na wamejifukuza chamani au kujitoa.

Mahojiano yana pendeza kama aliyekuchafua naye akiwepo.

Iweje waitwe wao lakini Musiba asiitwe kuhojiwa?!

Ilibidi Musiba awepo na wote aliowatuhumu wawepo, ili shauri liwe zuri kusikilizwa na kutolewa maamuzi.

Kama Musiba ahojiwi, sioni kwanini Kinana,Makamba, na Membe wahojiwe.
Una ushahidi wowote unaoonyesha kuwa Musiba ana kadi ya Chama na anailipia ada inavyostahili!?
 
Una ushahidi wowote unaoonyesha kuwa Musiba ana kadi ya Chama na anailipia ada inavyostahili!?
Alisema mwenyewe tafuta, video yake humu, akijisifu yeye na Makonda walivyokuwa uvcc. Maneno yake ni ushahidi kwamba ni mwana chama wa ccm.
 
mnafiki at work baadae utakuja kukisifia kinachomtuma kinyagarika.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unless unamjua aliyekituma kinyangarika!.

Ukiwa na njaa ya siku tatu bila kula, bila kunywa, halafu akatokea mtu kukupa chakula, cha kwanza utakachofanya ni kushukuru, na picha zitapigwa na taarifa za aliyekutendea wema, zitaenezwa na atasifiwa kwa wema. Na baada ya kula kesho yake hukuamka. Taarifa ikatolewa umekufa kwa ugonjwa wa moyo. Yule aliyekupa kile chakula ataendelea kusifiwa kumbe kwenye kile chakula alikutilia sumu, it's only karma ndio itamhukumu.

Hivyo kwenye mazuri yanayoonekana machoni, tutaendelea kupongeza kusifu na kuimba nyimbo za mapambio. Kama kuna mabaya na maovu ya chini ya kapeti ikiwemo kuwatuma vinyangarika, we can't tell.
P
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom