Anonymeous
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 275
- 484
Kwa maoni yangu wamefanya uamuzi wa busara kuachana na chama chao. Ningeshangaa watu waliokalia nyazifa za juu kabisa kama Katibu Mkuu kuuojia na makada wa chini yao kisa ni maagizo. Pili wale ni Mwanajeshi professionally sio rahisi kujisalimisha kirahisi. Mentality ya kijeshi bado wanayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app