Tetesi: Kinana agoma kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya CCM

Tetesi: Kinana agoma kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya CCM

Status
Not open for further replies.
Kwanza mpaka sasa bado hakuna uthibitisho kuwa hili ni kweli, lakini ikitokea likawa kweli, Kinana na Makamba wakajitoa CCM kwasababu ya kile kinyangarika, then huu utakuwa ni uthibitisho kuwa wamegundua kile kinyangarika kinatumwa tuu, hivyo ili kulinda heshima zao, wakaamua kujiepusha na CCM.

Kitendo cha watu waliokipigania chama kwa machozi, jasho na damu katika maisha yao yote, halafu, wakaja kuchafuliwa na kudhalilishwa na kinyangarika fulani ambacho kinatumwa, karma ya Kinana na Makamba ni kubwa, hivyo kama hii ni kweli, then just sit and watch jinsi karma itakavyo kishughulikia hicho kinyangarika na anayekituma!.
P
Umeandika maneno mujarrab leo Pascal.
 
Kwanza mpaka sasa bado hakuna uthibitisho kuwa hili ni kweli, lakini ikitokea likawa kweli, Kinana na Makamba wakajitoa CCM kwasababu ya kile kinyangarika, then huu utakuwa ni uthibitisho kuwa wamegundua kile kinyangarika kinatumwa tuu, hivyo ili kulinda heshima zao, wakaamua kujiepusha na CCM.

Kitendo cha watu waliokipigania chama kwa machozi, jasho na damu katika maisha yao yote, halafu, wakaja kuchafuliwa na kudhalilishwa na kinyangarika fulani ambacho kinatumwa, karma ya Kinana na Makamba ni kubwa, hivyo kama hii ni kweli, then just sit and watch jinsi karma itakavyo kishughulikia hicho kinyangarika na anayekituma!.
P
What if KARMA inawashughulikia hao wanaodaiwa kujitoa?.
 
Kwanza mpaka sasa bado hakuna uthibitisho kuwa hili ni kweli, lakini ikitokea likawa kweli, Kinana na Makamba wakajitoa CCM kwasababu ya kile kinyangarika, then huu utakuwa ni uthibitisho kuwa wamegundua kile kinyangarika kinatumwa tuu, hivyo ili kulinda heshima zao, wakaamua kujiepusha na CCM.

Kitendo cha watu waliokipigania chama kwa machozi, jasho na damu katika maisha yao yote, halafu, wakaja kuchafuliwa na kudhalilishwa na kinyangarika fulani ambacho kinatumwa, karma ya Kinana na Makamba ni kubwa, hivyo kama hii ni kweli, then just sit and watch jinsi karma itakavyo kishughulikia hicho kinyangarika na anayekituma!.
P
What if KARMA ndio inawashughulikia hao wanaodaiwa kujitoa?.
 
Pole Pascal, kwa watu design yako kufikia kuandika maneno kama haya najua umeumia sana. Watetezi wa Chama hiki wanaendelea kupungua. Uvumilivu wa binadamu una mwishi.Pole!
Kwanza mpaka sasa bado hakuna uthibitisho kuwa hili ni kweli, lakini ikitokea likawa kweli, Kinana na Makamba wakajitoa CCM kwasababu ya kile kinyangarika, then huu utakuwa ni uthibitisho kuwa wamegundua kile kinyangarika kinatumwa tuu, hivyo ili kulinda heshima zao, wakaamua kujiepusha na CCM.

Kitendo cha watu waliokipigania chama kwa machozi, jasho na damu katika maisha yao yote, halafu, wakaja kuchafuliwa na kudhalilishwa na kinyangarika fulani ambacho kinatumwa, karma ya Kinana na Makamba ni kubwa, hivyo kama hii ni kweli, then just sit and watch jinsi karma itakavyo kishughulikia hicho kinyangarika na anayekituma!.
P

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hekima na busara haikutumika na kudeal na suala hawa wazee, Wazee hawa pamoja mapungufu yao lakini wamekuwa na mchango mkubwa kwenye uhai wa CCM..

Kama wazee hawa kuna mahala walikengeuka basi Mwenyekiti. Makamu na wazee akina JK, BWM, Msekwa nk ndio walipaswa kukaa kama kamati na kuzungumza nao kwa maana ya kuzungumza kiutuuzima..
 
Ni wazi kwa kitendo cha Mzee Kinana na Mzee Makamba makatibu wakuu wastaafu waliokuwa na mvuto mkubwa kuandika barua ya kujitoa CCM chama chetu kimekutana na dhoruba Kali sawa na kusambaratika.
Nini chanzo cha yote hayo? Bila kupepesa macho ni kitendo cha wao kuhoji kwa nini mtu anayejiita mwanaharakati mtetezi wa Rais Magufuli anawavunjia heshima na kuwatukana na haguswi? Jee anatumwa na Magufuli mwenyewe? Kwa sababu angekuwa hatumwi naye lazima ange shughulikiwa.
Baada ya hapo ndio misukosuko ya ajabu ikaanza.
Sasa jee kweli chama chetu kikongwe kama CCM ambacho kinaheshimika Afrika nzima na hasa kusini mwa Afrika kinaweza kweli kukubali kusambaratishwa na mjinga mmoja kama Musiba na maandiko na kauli zake kwa vile anabebwa?
Na kwa nini mwenyekiti wetu amezungukwa na watu waletao mtafaruku na jamii na hata kusababishia heshima ya chama kupotea naye haambiwi kitu kuhusu watu hao mfano RC Makonda?
Ukiangalia kwa makini tatizo hapa ni mwenyekiti, chama kinageuka kundi LA wahuni na misingi inapotea kabisa.
Kukubali wanachama waandamizi kukikimbia chama ni ujinga mkubwa bora kumtimua madarakani mwenyekiti anayekipoteza chama na kukivuruga. Naamini hata watangulizi wake wote katika hili la kina Kinana hawamuungi mkono na kacheza karata vibaya kabisa.
Kinana nakumbuka ndiye alikuwa Kampeni meneja wa Mkapa kipindi cha pili na JK vipindi vyote viwili jee huyo ndio wa kutumiwa Musiba awatukane?
JPM must go, na inaanzia julai katika kupeperusha Bendera uchaguzi mkuu 2020 then tutamtoa uenyekiti.
Sasa CCM inatakiwa itoke mikononi mwa wasio kijua chama na kurudi mikononi mwa wenyechama yaani wanachama

Sent using Jamii Forums mobile app
Nataka mniambie wanajitoa kwa Nini je ni kwa sababu ya uongoz wa magufuli ni mbaya katika nch kama mnavyo Sema au wamebanwa hawaangaliw uson au kasi imewakimbiza kwaio Sasa ivi chadema mko Upande wao mnawatetea wakat nyie ndio mlio kua mnaongoza kwa kulia kwamba nimafisad na wapigaji Leo mnawasafisha Tena Yan upinzani ndiomana mtabaki kua zaifu nyie na wafuas wenu naiman Ata magu akija kwenu mtamsifia Sana mnalaum ccm kuweka watu ambao sio wa muda mrefu kwenye nafas mbali mbali nyie mmesahau mlivyo muweka lowasa embu amkeni msiwe Kama ligi ya China mnasajili wazee tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ni kweli nawapongeza sana hawa wazee,Utu kwanza vyeo baadaye,kwa umri wao sio kukalishwa chini na kuhojiwa na watoto wao kwa kosa la kutetea utu wao,kosa lao kubwa ni kulinda utu wao unaoshushwa hadhi na mwanaharakati

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni wazi kwa kitendo cha Mzee Kinana na Mzee Makamba makatibu wakuu wastaafu waliokuwa na mvuto mkubwa kuandika barua ya kujitoa CCM chama chetu kimekutana na dhoruba Kali sawa na kusambaratika.
Nini chanzo cha yote hayo? Bila kupepesa macho ni kitendo cha wao kuhoji kwa nini mtu anayejiita mwanaharakati mtetezi wa Rais Magufuli anawavunjia heshima na kuwatukana na haguswi? Jee anatumwa na Magufuli mwenyewe? Kwa sababu angekuwa hatumwi naye lazima ange shughulikiwa.
Baada ya hapo ndio misukosuko ya ajabu ikaanza.
Sasa jee kweli chama chetu kikongwe kama CCM ambacho kinaheshimika Afrika nzima na hasa kusini mwa Afrika kinaweza kweli kukubali kusambaratishwa na mjinga mmoja kama Musiba na maandiko na kauli zake kwa vile anabebwa?
Na kwa nini mwenyekiti wetu amezungukwa na watu waletao mtafaruku na jamii na hata kusababishia heshima ya chama kupotea naye haambiwi kitu kuhusu watu hao mfano RC Makonda?
Ukiangalia kwa makini tatizo hapa ni mwenyekiti, chama kinageuka kundi LA wahuni na misingi inapotea kabisa.
Kukubali wanachama waandamizi kukikimbia chama ni ujinga mkubwa bora kumtimua madarakani mwenyekiti anayekipoteza chama na kukivuruga. Naamini hata watangulizi wake wote katika hili la kina Kinana hawamuungi mkono na kacheza karata vibaya kabisa.
Kinana nakumbuka ndiye alikuwa Kampeni meneja wa Mkapa kipindi cha pili na JK vipindi vyote viwili jee huyo ndio wa kutumiwa Musiba awatukane?
JPM must go, na inaanzia julai katika kupeperusha Bendera uchaguzi mkuu 2020 then tutamtoa uenyekiti.
Sasa CCM inatakiwa itoke mikononi mwa wasio kijua chama na kurudi mikononi mwa wenyechama yaani wanachama

Sent using Jamii Forums mobile app
Utaratibu wa rais kuwa mwenyekiti wa chama ni wakisengerema.
 
Kwanza mpaka sasa bado hakuna uthibitisho kuwa hili ni kweli, lakini ikitokea likawa kweli, Kinana na Makamba wakajitoa CCM kwasababu ya kile kinyangarika, then huu utakuwa ni uthibitisho kuwa wamegundua kile kinyangarika kinatumwa tuu, hivyo ili kulinda heshima zao, wakaamua kujiepusha na CCM.

Kitendo cha watu waliokipigania chama kwa machozi, jasho na damu katika maisha yao yote, halafu, wakaja kuchafuliwa na kudhalilishwa na kinyangarika fulani ambacho kinatumwa, karma ya Kinana na Makamba ni kubwa, hivyo kama hii ni kweli, then just sit and watch jinsi karma itakavyo kishughulikia hicho kinyangarika na anayekituma!.
P
mnafiki at work baadae utakuja kukisifia kinachomtuma kinyagarika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni wazi kwa kitendo cha Mzee Kinana na Mzee Makamba makatibu wakuu wastaafu waliokuwa na mvuto mkubwa kuandika barua ya kujitoa CCM chama chetu kimekutana na dhoruba Kali sawa na kusambaratika.
Nini chanzo cha yote hayo? Bila kupepesa macho ni kitendo cha wao kuhoji kwa nini mtu anayejiita mwanaharakati mtetezi wa Rais Magufuli anawavunjia heshima na kuwatukana na haguswi? Jee anatumwa na Magufuli mwenyewe? Kwa sababu angekuwa hatumwi naye lazima ange shughulikiwa.
Baada ya hapo ndio misukosuko ya ajabu ikaanza.
Sasa jee kweli chama chetu kikongwe kama CCM ambacho kinaheshimika Afrika nzima na hasa kusini mwa Afrika kinaweza kweli kukubali kusambaratishwa na mjinga mmoja kama Musiba na maandiko na kauli zake kwa vile anabebwa?
Na kwa nini mwenyekiti wetu amezungukwa na watu waletao mtafaruku na jamii na hata kusababishia heshima ya chama kupotea naye haambiwi kitu kuhusu watu hao mfano RC Makonda?
Ukiangalia kwa makini tatizo hapa ni mwenyekiti, chama kinageuka kundi LA wahuni na misingi inapotea kabisa.
Kukubali wanachama waandamizi kukikimbia chama ni ujinga mkubwa bora kumtimua madarakani mwenyekiti anayekipoteza chama na kukivuruga. Naamini hata watangulizi wake wote katika hili la kina Kinana hawamuungi mkono na kacheza karata vibaya kabisa.
Kinana nakumbuka ndiye alikuwa Kampeni meneja wa Mkapa kipindi cha pili na JK vipindi vyote viwili jee huyo ndio wa kutumiwa Musiba awatukane?
JPM must go, na inaanzia julai katika kupeperusha Bendera uchaguzi mkuu 2020 then tutamtoa uenyekiti.
Sasa CCM inatakiwa itoke mikononi mwa wasio kijua chama na kurudi mikononi mwa wenyechama yaani wanachama

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilichogundua vijana wengi wa chadema hawana kazi ndiomana wanalia Lia Hali ngumu mana wao wanaongoza kushinda jamiforums na kwenye mitandao mingine kuakikisha waiongelea vibaya serekali mana najamaa yangu mmoja anakata mikochen b yeye pakikucha utamkuta barazan kwao na laptop anaandika makala ya kuichafua serekali na jamiforums wale wale mana Kuna muda nilikua nawapinga watu hoja zao umu Waka ni block ni kagundua kwamba ndiomana watu wengi umu ni against serekal wanao ukubali wanafungiwa ndiomana matango yamejaa umu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kukataa kuhojiwa wameonesha kuwa hawana hoja za kujibu
Ccm hatujawahi kuyumbishwa na viongozi hata siku moja
Jumbe alivuliwa nyadhifa zake zote,zaidi ya nne,Maalim sefu na genge lake walitimuliwa itakua hao wastaafu
Enzi hizo watu wanatumia Busara na Si ubabe wa Kishamba
 
Kinachouma zaidi wote walikwenda vita ya kagera, kuitumikia nchi vitani. Uzalendo wao kw a taifa ni wamilele.Nawaheshimu sana. Kwanza nani aliwadukua?
 
Kumbe imewauma Wazee Kupuu wito

Hizo mamlaka Zianze na Uuzwaji na uongaji wa nyumba za Serikali
Ni vema wameamua kuondoka mapema kwani CCM inahitaji mabadiliko Makubwa Sana.
Uzee na Uzoefu usioenda na Uadilifu Ni hewa tu na hauna maslahi kwa Taifa letu.

Kama Wana Tuhuma zozote za Kijinai Basi nashauri Mamlaka Husika ziingie kazini.
 
Kwa kuwa demokrasia ilikuwa juu zaidi ya sasa, walizomewa, walitusiwa hata kupigwa, sio leo, ole wake umguse mwenye nguo zile, inamaana wewe ujapata ujumbe?
Kumbe wewe hujui maana ya demokrasia; wewe ni sehemu ya wale wanoalalamika kuwa nchi haina demokrasia bila kujua kuwa demokrasia haina maana ya kumfurahisha kila mtu; na wala haiondoi nguvu ya sheria. Aliyechaguliwa na wengi ndiye anayeunda serikali ya kidemokrasia, wale ambao hawakuchaguliwa wanatakiwa kumfuata aliyeachaguliwa. Chini ya serikali ya kidemokrasia raia wote bila kujali itikadi zao wanatakiwa kufuata sheria za nchi. Hakuna kuchanganya sheria na siasa.

Ni afadhali ungelemika kuwa serikali haiheshimu haki za binadamu ungeelekwa kidogo, kwani sehemu mojawapo ya haki za binadamu ni uhuru wa kuandamana, uhuru wa kutoa mawazo, uhuru wa kwenda popote mradi huvunji sheria. Sasa hapo kutokuvunja sheria ndipo unapoweza kukumbana na nguvu ya dola kama uanaitisha maandamano bila kibali cha polisi kwani ndivyo hivyo sheria inavyosema. Kuwepo kwa sheria mbovu haina maana zivunje, bali suluhu yake ni kuzifuta vitabuni.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom