FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Tanzania ndiyo kwao, tuna mpaka mkoa unaitwa Mbeya.
Usishangae wala usihuzinike.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania ndiyo kwao, tuna mpaka mkoa unaitwa Mbeya.
Hivi Kachero si mjeda!!?Sijawahi kuona mwanajeshi anaekubali kuburuzwa na asiye mwanajeshi aliyemzidi cheo.
Nionavyo, namna pekee ya kuwahoji hao wazee ni kuwaomba miadi (appointment) na kuwafata majumbani kwao, kwa heshima zote wanazostahiki kwa umri wao na nyadhifa zao walizostaafu, na kufanya nao mahojiano ya kistaarabu.
Huwezi kuwaweka kitimoto hao wakakubali. Hawana cha kupoteza.
Sahihi kabisa 👏👏👏Sijawahi kuona mwanajeshi anaekubali kuburuzwa na asiye mwanajeshi aliyemzidi cheo.
Nionavyo, namna pekee ya kuwahoji hao wazee ni kuwaomba miadi (appointment) na kuwafata majumbani kwao, kwa heshima zote wanazostahiki kwa umri wao na nyadhifa zao walizostaafu, na kufanya nao mahojiano ya kistaarabu.
Huwezi kuwaweka kitimoto hao wakakubali. Hawana cha kupoteza.
Kwani kuna watu ambao huwa faragha na wakaacha kuwateta wenzao? Nani aliwaambia waanike mambo ya faraghani? Ukinikuta ninakunya chooni utaenda kuitisha press na kutangaza wakati nilikuwa nimejisitiri? Kurusha zile audio lilikuwa kosa kubwa mnooooo!Wewe ulitakaje? Lakini si ni kweli walimkashifu Rais?
Wewe chama hakina mtu mhimu, hayo yspo ndani ya chadema tu! Mbowee tuvushe! Huku ni chama tuvushee!aisee.. hiki chama kinaenda kumfia mtu kabala hata ya kumaliza muda wake, haiwezekani wazee wenye hadhi ya akina kinana ambao wameshiriki kwa kiasi kikubwa kuwaweka watu madarakani eti wakadhalilishwe na vikamati uchwara, ni bora wajivue tu kwani hamna namna!
Yani Wewe ni CCM MpumbavuWewe ulitakaje? Lakini si ni kweli walimkashifu Rais?
Mbona makande [emoji23][emoji23]Kinana ni muislam ila Makamba dini yake ni changanyikeni kama makande
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani weledi wa mwenyekiti wao unaleta utata mkubwa.!
!
Sisiem Mpya Ya Akina Msando Makonda Musiba #MATAGA
Mtu ambaye si mwanachama wako hawezi kuja labda kama Ana wito wa polisi kuelewa mahakamaniJana tarehe 8/2/2020 ndiyo ilikuwa siku tuliyotangaziwa kuwa makatibu wakuu wastaafu wa CCM, Abdrahman Kinana na Yusuph Makamba, watafika mbele ya Kamati ya maadili ya CCM, kuwahoji kwa vitendo vyao vinavyodaiwa kuwa ni kukiuka maadili ya Chama chao cha CCM
Umma wa watanzania walikuwa wametega masikio yao kwa hamu kubwa huko Dodoma kwenye jengo linalofahamika kama "white house" kilikotarajiwa kufanyika kikao hicho ili kujua mbivu na mbichi
Hata hivyo habari zilizotufikia ni kuwa makatibu hao wakuu wastaafu wa CCM "wamegoma" kufika katika kikao hicho ili kuhojiwa.
Tetesi zipo nyingi zinazosemwa kuhusu sababu za makatibu hao wakuu wastaafu kutohudhuria kikao hicho, lakini sababu kuu inayotolewa ni hii ya makatibu hao wakuu kudaiwa kukitosa chama hicho na kuamua kujivua uanachama wa CCM
Ndipo hapo tunapomtaka Katibu Mwenezi wa CCM, Humphrey Polepole ajitokeze hadharani na kutujulisha ni nini kimejitokeza hadi kusababisha makatibu hao wakuu wastaafu "kugoma" kuitikia mwito wa Chama chao ili wahojiwe?
Nadhani Katibu mwenszi wa CCM, Humphrey Polepole, atajitokeza hadharani na kulitolea ufafanuzi suala hili nyeti na lenye maslahi mapana kwa Taifa ili kupoza kiu ya mamilioni ya watanzania
Hivi hao wote si Wajeda?Makamba,kinana,kikwete na Membe!!!Mbona kaz kweli kweli !!