Tetesi: Kinana agoma kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya CCM

Tetesi: Kinana agoma kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya CCM

Status
Not open for further replies.
Ameitwa kusikilizwa au kuhojiwa...?
Mtu akichukuliwa hatua bila kusikilizwa atasema sikupewa nafasi ya kusikilizwa.
Kaitwa asikilizwe anaona anaonewa kuitwa kusikilizwa Kama mtu anamalalamiko Lazima aitwe asikilizwe. Ili aeleze malalamiko yake.
Anataka aitwe Musiba kwenye chama ndio nayeye aitwe? Naona kama hoja hainamashiko kabisa ya kuitwa Musiba huenda Musiba anakesi mahakamani na chama hakiingilii hilo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijawahi kuona mwanajeshi anaekubali kuburuzwa na asiye mwanajeshi aliyemzidi cheo.

Nionavyo, namna pekee ya kuwahoji hao wazee ni kuwaomba miadi (appointment) na kuwafata majumbani kwao, kwa heshima zote wanazostahiki kwa umri wao na nyadhifa zao walizostaafu, na kufanya nao mahojiano ya kistaarabu.

Huwezi kuwaweka kitimoto hao wakakubali. Hawana cha kupoteza.
Lakini kumbuka Mwenyekiti wa chama chao ndiye amebariki haya.

Zingatia pia mwenyekiti wa chama ndiye Amir jeshi mkuu. Sidhani kama hapo kuna anayemzidi cheo kwa namna yeyote ile.

Lakini uungwana,hekima na busara ni jambo jema kadiri ulivyopendekeza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari Mpya, Mambo yame zidi kuwaka moto CCM, Bashiru , Polepole na wanahusika na hili sakata la barua za kina makamba na Kinana, limechukua sura mpya

Mk, awafokea Bashiru na Pole Pole , ataka kujua aliyevujisha habari, huku akijua kina Kinana waliombwa wasiseme kitu na wakajibu, isitokee kwenu.

Inavyosemekana anayeshukiwa sana ni PolePole kwani yeye alibanwa vizuri sana na Kinana, na hapendi kabisa.

Bashiru amefokewa vibaya sana hadi ameamua kuondoka officine na kwenda nyumbani, pressure imempanda.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kama ni kweli ngoja wafu wazikane

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushauri wangh ni kwa wachangiaji wa thread hii tu.
.
.
.
Niaminisheni si wakereketwa wa chama chochote.
Maana yangu ni kuepusha kujibu majambo ukiwa na mlengo fulani.

Baada ya angalizo hilo, jivisheni viatu vya kama ingalikuwa ni ndani ya chama lako, je? yangaliishia hivyohivyo?

Asanteni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini kumbuka Mwenyekiti wa chama chao ndiye amebariki haya.

Zingatia pia mwenyekiti wa chama ndiye Amir jeshi mkuu. Sidhani kama hapo kuna anayemzidi cheo kwa namna yeyote ile.

Lakini uungwana,hekima na busara ni jambo jema kadiri ulivyopendekeza.

Sent using Jamii Forums mobile app
Angeitwa kuhojiwa / kuongea na Amiri Jeshi Mkuu angeheshimu na angefata nidhamu na asingechelewa hata nusu dakika.

Kumbuka huyo ni mwanajeshi mstaafu mwenye cheo na ameshawahi kuwa Waziri wa Ulinzi na sasa ni mstaafu. Anafahamu maana ya nidhamu ni nini.

Si wewe au mwengine yeyote wa kumfundisha hayo. Amekitumikia chama zaidi ya trobo tatu ya maisha yake.

Kwa kukujuza tu, Kinana ni super bright, super intelligent.

Mwanajeshi hastaafu anapumzika tu.
 
Angeitwa kuhojiwa / kuongea na Amiri Jeshi Mkuu angeheshimu na angefata nidhamu na asingechelewa hata nusu dakika.

Kumbuka huyo ni mwanajeshi mstaafu mwenye cheo na ameshawahi kuwa Waziri wa Ulinzi na sasa ni mstaafu. Anafahamu maana ya nidhamu ni nini.

Si wewe au mwengine yeyote wa kumfundisha hayo. Amekitumikia chama zaidi ya trobo tatu ya maisha yake.

Kwa kukujuza tu, Kinana ni super bright, super intelligent.

Mwanajeshi hastaafu anapumzika tu.
Amejenga heshima kubwa sana bunge la EA.
 
Kinana ana akili kukataa kwenda kuhojiwa na akina Polepole ambao hata ujio wao ndani ya CCM ni utata mtupu,halafu ndo wanajifanya kuwa na haki ya kuwahoji wenye CCM yao.
 
Kugoma kwa Kinana na Makamba, na Kingunge Ngombale, ..... Ni ujumbe mzito kwa Ccm ya sasa ...wote hawa wamemkataa Mwenyekiti wa sasa au kwa Kiburi chao kwake au dharau zao kwake.
Wanaipenda Ccm yao lakini hawakubaliani na waliopo madarakani.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpaka sasa Paskal Mayala ndiye mtanzania pekee ama binadamu pekee aliyeweza kumuuliza rais magufuli maswali magumu huku akimwangalia uson, wengine akina msigwa waliishia kumsalimia na kumsifia huku wakijichekesha[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijawahi kuona mwanajeshi anaekubali kuburuzwa na asiye mwanajeshi aliyemzidi cheo.

Nionavyo, namna pekee ya kuwahoji hao wazee ni kuwaomba miadi (appointment) na kuwafata majumbani kwao, kwa heshima zote wanazostahiki kwa umri wao na nyadhifa zao walizostaafu, na kufanya nao mahojiano ya kistaarabu.

Huwezi kuwaweka kitimoto hao wakakubali. Hawana cha kupoteza.
Umenena vema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Komredi Kinana kaona utoto kwenda, hata wakimpa adhabu ya kumfuta uanachama bado ni alama tosha ya CCM hata asipokuwa na kadi! Sio watu Kama Bashite,Kitila, Waitara, Bashiru, Pole pole ambao hata hadhi ya ushabiki wa chama hawana hata wakiwa na kadi!

Kwa Membe it's ok kwenda bado ana future ndani ya Chama. Nahisi soon Komredi Mangula ataomba kujiuzulu kupisha siasa za 'kihuni' ndani ya Chama.

Watz kama wewe. Hivi zamani na Sasa wapi CCM iko afadhali. Upinzani wa aina yako ndo unafanya watu makini tuwaone watu kama nyinyi. Tabulalasa. Kinana unamjua vizuri kweli wewe.
 
Kila zana na kitabu chake baba.

CCM ya Nyerere haikuwa sawa na CCM ya Mwinyi, na haikuwa sawa na CCM ya Mkapa, na vile vile haikuwa sawa na CCM ya Kikwete na haitakuwa sawa na CCM ya Magufuli, na haitakuwa sawa na CCM ya atakayemfuata Magufuli.

It is a simple fact! Tuliambiwa kuwa ya Kaizari mpe Kaizari; usitafute mwingine wa kumpa.

Wazee hawa sijawasikia wakilalamika kuwa serikali haitekelezi Ilani ya CCM, wanacholalamikia kuwa wamesahahuliwa na serikali !!. Hata wakiondoka CCM sidhani kama wana political impact yoyote tena. Ni afadhali wangenyamaza tu; kuna methali inasema ukila na kipofu usimguse mkono, wao walianza kuvuta kabisa mkono wa kipofu huyo wakaiona
Samahani, lakini naamini hii ID inatumiwa na watu wengi.

Niseme tu kwamba,haya majibu yaliyowekwa hapa 'nahisi' sio mawazo ya huyo anayejulikana kwa jina hili. Lakini hizi ni 'hisia'; huenda kabadili mtindo na fikra.

Kwa mfano: Mwenye ID hawezi kamwe akaandika "Kila zana na kitabu chake baba."

Kujibu hoja: CCM zote ulizotaja hapo, ni CCM moja tu ndio imebadilishwa na kuwa "mali ya mtu mmoja"; kiasi kwamba hakuna tena mawazo mbadala ndani ya chama.
Kwa hiyo hii CCM ya Magufuli imejipambanua kabisa na hizo CCM nyingine zote ulizoziorodhesha hapo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom