Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Aliyevujisha na kusambaza hizo kashfa ndiyo aitwe ahojiwe aseme hizo ni sauti za nani na amezipata wapi.Wewe ulitakaje? Lakini si ni kweli walimkashifu Rais?
Kigezo kimojawapo cha high IQ, ni uwezo wa kuyaona mambo kabla hayajatokea. Lisu aliyaona haya, na yatazidi kudhihirika.Akitumaliza sisi atawageukia nyinyi, hakuna aliye salama,- In Tundu Lisu' voice
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamejivua sasa uanachama, na wewe unatakaje?Wewe ulitakaje? Lakini si ni kweli walimkashifu Rais?
Hahaha imebidi utoke nje ya madaNi kama vile umepanic!
CCM ni chama kikubwa!
hapa mkuu umedadavua vizuriKama nimeelewa sawasawa, ni kwamba:
Mwenyekiti amewafokea Polepole, Bashiru na wajumbe wa kamati, lakini zaidi amefokewa Polepole kwa kuhidlsiwa kuwa ndiye aliyevujisha siri.
Kinana na Makamba wameandika barua za kujiondoa kwenye chama kwa maana ya kustaafu siasa. Kamati baada ya kupilokea barua zao ikawaomba kuwa wasiliseme jambo hilo kwa umma, nao wakawaambia kuwa, na wao (wajumbe wa kamati) wasiseme juu ya jambo hilo.
Cha kushangaza baada ya muda mfupi, jambo tayari limetoka na watu wanajua. Mwenyekiti amechukia, na kuwafokea sana Polepole na Bashiru, kiasi cha bwana Bashiru kuondoka ofisini na kwenda kupumzika.
Hivi ndivyo nilivyoelewa.
Hapana chezea Msomali.Wakati Membe akitamba kuwa alienda mbele ya kamati ya maadili ya CCM kuwafunda na kuwaelimisha kuhusu mambo mbalimbali, Kinana amegoma kufika mbele ya kamati hiyo.
Kwa mujibu wa chanzo cha kuaminika, Kinana ameona ni kama kudharauliwa kwa kuitwa kuhojiwa mambo ambayo kimsingi ni malalamiko aliyotoa kuhusu namna alivyokuwa akipakwa matope na mtu anayejiita Cyprian Musiba. Inaelezwa kuwa aliyetakiwa kuitwa ni Musiba na siyo Kinana.
Kwa mujibu wa taarifa rasmi ndani ya chama, Kinana jana ijumaa alitakiwa kuwepo mbele ya kamati hiyo ya maadili lakini alisubiriwa hadi jioni na hakuna taarifa yoyote rasmi iliyopatikana juu ya kutokuhudhuria kwake mbele ya kamati hiyo.
Aidha hakutuma ujumbe wowote wa udhuru kuelezea kuhusu yeye kushindwa kufika mbele ya kamati hiyo kama ilivyopangwa.
Tusubiri tuone.
Ila wewe Pascal, kudadeki.Unless unamjua aliyekituma kinyangarika!.
Ukiwa na njaa ya siku tatu bila kula, bila kunywa, halafu akatokea mtu kukupa chakula, cha kwanza utakachofanya ni kushukuru, na picha zitapigwa na taarifa za aliyekutendea wema, zitaenezwa na atasifiwa kwa wema. Na baada ya kula kesho yake hukuamka. Taarifa ikatolewa umekufa kwa ugonjwa wa moyo. Yule aliyekupa kile chakula ataendelea kusifiwa kumbe kwenye kile chakula alikutilia sumu, it's only karma ndio itamhukumu.
Hivyo kwenye mazuri yanayoonekana machoni, tutaendelea kupongeza kusifu na kuimba nyimbo za mapambio. Kama kuna mabaya na maovu ya chini ya kapeti ikiwemo kuwatuma vinyangarika, we can't tell.
P
Hana madhara.Wakati Membe akitamba kuwa alienda mbele ya kamati ya maadili ya CCM kuwafunda na kuwaelimisha kuhusu mambo mbalimbali, Kinana amegoma kufika mbele ya kamati hiyo.
Kwa mujibu wa chanzo cha kuaminika, Kinana ameona ni kama kudharauliwa kwa kuitwa kuhojiwa mambo ambayo kimsingi ni malalamiko aliyotoa kuhusu namna alivyokuwa akipakwa matope na mtu anayejiita Cyprian Musiba. Inaelezwa kuwa aliyetakiwa kuitwa ni Musiba na siyo Kinana.
Kwa mujibu wa taarifa rasmi ndani ya chama, Kinana jana ijumaa alitakiwa kuwepo mbele ya kamati hiyo ya maadili lakini alisubiriwa hadi jioni na hakuna taarifa yoyote rasmi iliyopatikana juu ya kutokuhudhuria kwake mbele ya kamati hiyo.
Aidha hakutuma ujumbe wowote wa udhuru kuelezea kuhusu yeye kushindwa kufika mbele ya kamati hiyo kama ilivyopangwa.
Tusubiri tuone.
Nje ya mada ndio wapi meku?!
Umenena ukweli mtupu Mkuu LESIRIAMUMmmi nadhani Ccm wali chemka mahali, alie takiwa kuitwa kuhojiwa alikuwa ni Musiba na sio hao walio itwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamufikii Mbowe( sumu haionjwi kwa ulimi)Kiongozi tuliyenaye Jiwe ambaye anapenda kuabudiwa kwa kuombwa msamaha hata na watu ambao hawajamkosea hana tofauti na akina Adolf Hitler na Benito Mussolini.
Hawa akina Abrahman Kinana na Yusuf Makamba walipaswa wawe washauri wake na siyo kushauriwa na Pole Pole na Bashiru Ally au Makonda. Hata waliyoyaongea kwenye simu alizowarekodi kijinai bado ni ushauri mzuri wa kukijenga chama, Mwenyekiti wa CCM kama angekuwa na akili nzuri angechukulia mawazo ya wale wazee positively kuliko kuwadhalilisha kwa kuyaanika na kutaka wamuombe msamaha.
Hili likiendelea usijeshangaa siku nyingine ikatokea akamdhalilisha JK na Mkapa.
Huyu Jiwe ni Dikteta tu sawa na Hitler na Mussolini:
By Zitto's voice "Tumewapa madaraka watu washamba na malimbukeni"Haya maisha bhana nikikumbuka jinsi Kinana alivyotembea nchi nzima kuisafisha CCM kipindi kile eti leo anaonekana hafai daaah!
umenifurahisha sana, kitendo cha kutambua hao ni wanajeshi hata mimi umenifumbua zaidi,Sijawahi kuona mwanajeshi anaekubali kuburuzwa na asiye mwanajeshi aliyemzidi cheo.
Nionavyo, namna pekee ya kuwahoji hao wazee ni kuwaomba miadi (appointment) na kuwafata majumbani kwao, kwa heshima zote wanazostahiki kwa umri wao na nyadhifa zao walizostaafu, na kufanya nao mahojiano ya kistaarabu.
Huwezi kuwaweka kitimoto hao wakakubali. Hawana cha kupoteza.