Tetesi: Kinana agoma kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya CCM

Status
Not open for further replies.
Lile azimio lililotolewa na Halmashauri Kuu ya Taifa kuhusu kuhojiwa kwa Makatibu Wastaafu, CCM ingelitafakari kwa maakini kwa vile lilitolewa kwa mihemuko. Azimio lilitolewa ili wengine waonekane wamezungumza kwenye kika.
 
K
Lile azimio lililotolewa na Halmashauri Kuu ya Taifa kuhusu kuhojiwa kwa Makatibu Wastaafu, CCM ingelitafakari kwa maakini kwa vile lilitolewa kwa mihemuko. Azimio lilitolewa ili wengine waonekane wamezungumza kwenye kika.
Kwa namna ya chama cha CCM kinavyoendeshwa hivi sasa, lile azimio limetolewa na Mwenyekiti wao na wajumbe wa NEC "walilazimishwa" kuliunga mkono hata kama wengi wao hawakuliafiki
 
Hili nalo neno

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maneno sahihi sana haya.

Faiza mbona kuna wakati huwa unaandika vioja vya ajabu? Huwa anaamua tu kujitoa ufahamu?
 
Naona akina Kinana "wamemkata" Magufuli kwa mtindo uleule wa kustukiza kama ambavyo yeye alivyowakata Nape na Mwigulu kwenye baraza la mawaziri. Maguduli kasema "Suuuh..!" na wao wamesema "Swaaah..!" Au wakae pamoja na "kuanza upyaaaa!"
 
Mkuu ongeza idadi ya wajumbe hapo..tafadhar!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani wazee Makamba,Kinana,wakubali kuhojiwa na wahuni wachumia tumbo, Bashiru, polepole na wahuni wenzao wasiokijua hata chama , thubutu,Jiwe lichama lako hilo.
 
Hatareee


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Pascal mbona unajitoa akili , hapa karma haina nafasi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini kumbuka Mwenyekiti wa chama chao ndiye amebariki haya.

Zingatia pia mwenyekiti wa chama ndiye Amir jeshi mkuu. Sidhani kama hapo kuna anayemzidi cheo kwa namna yeyote ile.

Lakini uungwana,hekima na busara ni jambo jema kadiri ulivyopendekeza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Duh haaaa najaribu kufikiri namna Polepole alivyokuwa mdogo kama piriton na mnyonge kama mshitakiwa aliyehukumiwa kifungo cha miaka 10 jela na adhabu ya kuchapwa viboko vingi.
 
Mkuu walikuwa wanamwita ili wamsikilize au wanamhoji kwa tuhuza wanazotoa,mbona hueleweki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mangula wakina JK walivyomuweka kando alirudi kwao akawa mkulima wa Nyanya unadhani anahamu kurudi huko?

Sasa hivi upepo wa V8 24/7 huku mashati yake ya 'bahama' yakimeremeta,tumikia kafiri upate mradi wako.
dodge
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…