Kinkunti El Perdedo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 5,200
- 12,762
Anakerwa na askari wa road badala ya maisha magumu ya watanzakiza sababu ya mfumuko wa bei,Kuna muda hawa wazee lazima uwe myopic kuwaelewa lucid
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi hiyo Barabara nimeapa sitopita mchana tena hadi naingizwa Kaburini.kuanzia pale kisongo Arusha mpaka Moshi ni balaa
Vip, Meno ya tembo mzigo hautembei hakuna pa kupitisha au na yeye na v8 lake anasimamishwa?
Wacheze na it tu..waweke camera ambazo zitakuwa zinapiga picha na kutuma taarfa kwa dereva na polisi.Wakipungua tochi atapiga nani?
Hiyo biashara ilikuwa ya kuchafuana tu..Vip, Meno ya tembo mzigo hautembei hakuna pa kupitisha au na yeye na v8 lake anasimamishwa?
Sisi tunataka mzigo wa meno ya ndovu ufike haraka kwa Mtukufu Rostam azizi wewe unaleta ujingaWakipungua tochi atapiga nani?
Ndugu yangu, Tz mambo hayo si ndo kati ya mikakati mbadala ambayo serikali, wanaoiona kwao ni rahisi ya 'ku widen tax base'....... ...............hahahaaaa , yaani kaazi kwelikweli...Tatizo kubwa hao Traffic wamewekwa kuwa chanzo cha mapato serikalini na kwao wenyewe.
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinanana amemshauri Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP)...
Hivi kawaona jana?Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinanana amemshauri Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP)...
Wapunguzwe hawaSio uko tu, hata hapa dar wamejazana barabarani wanasimamisha ovyo magari
wapunguzwe kabisaView attachment 2307387
Picha: Abdulrahman Kinana
“Hii ni nchi pekee ambayo trafiki wamejazana humo kila mahali, kilometa 1 trafiki, kituo cha basi trafiki.