Lakini ni kweli traffic wanaudhi sana, wanavizia Magari utadhnia tuko vitani. Usiombe ukakutana na wale tochi,kuna wale wanao vizia ukikaribia kibaha wako wengi kweli, mmoja najificha na Camera anapiga magari picha halafu anawatumia wenzake mbele pale karibu na maili moja wanadaka magari pale, jamaa wale wanapata pesa nyingi sana.
Maeneo ya kona bar napo wamejazana hasa siku ya jumamosi wanavia pale kwenye taa, Sinza moli baada ya mataa napo wamejazana pale wanavia na kukusanya pesa na sehemu nyingine ni mataa ya salendor pale jamaa wamejaa kikosi kazi kipo pale na taa za pale nadhani kuna ambazo haziko vizuri basi jamaa wanadaka sana pale. Sehemu yeyote ambayo imekaa kimtego mtego jamaa utawakuta wapo wanavizia.
Maeneo ya kona bar napo wamejazana hasa siku ya jumamosi wanavia pale kwenye taa, Sinza moli baada ya mataa napo wamejazana pale wanavia na kukusanya pesa na sehemu nyingine ni mataa ya salendor pale jamaa wamejaa kikosi kazi kipo pale na taa za pale nadhani kuna ambazo haziko vizuri basi jamaa wanadaka sana pale. Sehemu yeyote ambayo imekaa kimtego mtego jamaa utawakuta wapo wanavizia.