Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenye mamlaka na yeye anaomba badala ya kutoa maagizoAkijibu malalamiko hayo Kinana amesema “Nampongeza Rais kwa kumtea IGP mpya, nina hakika ni IGP mwadilifu, mchapakazi na hodari lakini namuomba na kumshauri atazame wingi wa Trafiki mijini, kila baada ya muda mfupi unasimamishwa na Trafiku, wenye magari hawaendeshi kwa raha, hivyo nimsihi IGP afanye tathimini kuhusu uwepo wa Trafiki wengi kwenye miji yetu, wamekuwa wengi sana kila ukitembea kidogo unasimamishwa, kilomita moja unakuta Trafiki”
Magari yanaweza kuwa mengi pia,jiulize ni magari mangapi yenye makosa ya barabarani yanayofika vituoni?Je,wingi wa Traffic Police kumesaidia kwisha kwa ajali za barabarani zinazotokana na ubovu wa vyombo,miundo mbinu ya usafirishaji?Je,vyombo vingapi visivyofaa kuwa barabarani na bado vinatembea?Madereva wangapi wenye sifa stahiki wapo barabarani?Kama daktari mmoja wagonjwa 80, mwalimu mmoja wanafunzi 40, trafiki mmoja magari mangapi? tuanzie hapo kwanza.....
Suluhu zilishatolewa, na wanazijua. Waliambiwa wa'digitize' mifumo yote inayohusu usalama barabarani na matukio yote yawe recorded na kuwa reported in real time! Badala yake wamedigitize tozo peke yake. Digitization inatakiwa iende kwenye maeneo yote.Tatizo la dot.com tunalaamu tu bila ya Kuja na mbadala, sasa wewe una comment hapa hii sio suluhu!,sasa tell us how to remedy this
Hawa wamewekwa kuwa chanzo cha mapato kwa wanaowapangia vitengo.Tatizo kubwa hao Traffic wamewekwa kuwa chanzo cha mapato serikalini na kwao wenyewe.
Anakereka mzigo wake unapekuliwa sana unapopita
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinanana amemshauri Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP), Camilius Wambura kufanya tathimini ili kuona uwezekano wa kupunguza idadi ya Askari wa usalama barabarani ambao wanalalamikiwa na Wananchi kusababisha kero.
Kinana ametoa ushauri huo jana akiwa katika mwendelezo wa ziara yake katika mikoa ya Nyanda za Juu Kusini ambapo Wananchi wa maeneo mbalimbali ya Mikoa ya Songwe na Mbeya wamelalamikia idadi kubwa ya Askari wa barabarani ambao wamekuwa wakiwasimamisha mara kwa mara, kutaka fedha ambazo hata hivyo hawatoi stakabadhi yoyote.
Malalamiko hayo ya Wananchi yaliendelea kuibuka hata katika kikao cha ndani cha Wanachama wa CCM Mkoa wa Songwe ambapo mmoja ya wanachama hao, dereva wa magari ya kubeba abiria, ametoa malalamiko mbele ya Kinana akidai wamechoka kusimamishwa mara kwa mara na Trafiki na kila wanaposimama wanatoa sh. 2,000 kwa kila kituo.
Akijibu malalamiko hayo Kinana amesema “Nampongeza Rais kwa kumtea IGP mpya, nina hakika ni IGP mwadilifu, mchapakazi na hodari lakini namuomba na kumshauri atazame wingi wa Trafiki mijini, kila baada ya muda mfupi unasimamishwa na Trafiku, wenye magari hawaendeshi kwa raha, hivyo nimsihi IGP afanye tathimini kuhusu uwepo wa Trafiki wengi kwenye miji yetu, wamekuwa wengi sana kila ukitembea kidogo unasimamishwa, kilomita moja unakuta Trafiki”
Biashara zake za meno ya tembo zinacheleweshwa na Trafiki kufika sokoni
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinanana amemshauri Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP), Camilius Wambura kufanya tathimini ili kuona uwezekano wa kupunguza idadi ya Askari wa usalama barabarani ambao wanalalamikiwa na Wananchi kusababisha kero.
Kinana ametoa ushauri huo jana akiwa katika mwendelezo wa ziara yake katika mikoa ya Nyanda za Juu Kusini ambapo Wananchi wa maeneo mbalimbali ya Mikoa ya Songwe na Mbeya wamelalamikia idadi kubwa ya Askari wa barabarani ambao wamekuwa wakiwasimamisha mara kwa mara, kutaka fedha ambazo hata hivyo hawatoi stakabadhi yoyote.
Malalamiko hayo ya Wananchi yaliendelea kuibuka hata katika kikao cha ndani cha Wanachama wa CCM Mkoa wa Songwe ambapo mmoja ya wanachama hao, dereva wa magari ya kubeba abiria, ametoa malalamiko mbele ya Kinana akidai wamechoka kusimamishwa mara kwa mara na Trafiki na kila wanaposimama wanatoa sh. 2,000 kwa kila kituo.
Akijibu malalamiko hayo Kinana amesema “Nampongeza Rais kwa kumtea IGP mpya, nina hakika ni IGP mwadilifu, mchapakazi na hodari lakini namuomba na kumshauri atazame wingi wa Trafiki mijini, kila baada ya muda mfupi unasimamishwa na Trafiku, wenye magari hawaendeshi kwa raha, hivyo nimsihi IGP afanye tathimini kuhusu uwepo wa Trafiki wengi kwenye miji yetu, wamekuwa wengi sana kila ukitembea kidogo unasimamishwa, kilomita moja unakuta Trafiki”
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinanana amemshauri Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP), Camilius Wambura kufanya tathimini ili kuona uwezekano wa kupunguza idadi ya Askari wa usalama barabarani ambao wanalalamikiwa na Wananchi kusababisha kero.
Kinana ametoa ushauri huo jana akiwa katika mwendelezo wa ziara yake katika mikoa ya Nyanda za Juu Kusini ambapo Wananchi wa maeneo mbalimbali ya Mikoa ya Songwe na Mbeya wamelalamikia idadi kubwa ya Askari wa barabarani ambao wamekuwa wakiwasimamisha mara kwa mara, kutaka fedha ambazo hata hivyo hawatoi stakabadhi yoyote.
Malalamiko hayo ya Wananchi yaliendelea kuibuka hata katika kikao cha ndani cha Wanachama wa CCM Mkoa wa Songwe ambapo mmoja ya wanachama hao, dereva wa magari ya kubeba abiria, ametoa malalamiko mbele ya Kinana akidai wamechoka kusimamishwa mara kwa mara na Trafiki na kila wanaposimama wanatoa sh. 2,000 kwa kila kituo.
Akijibu malalamiko hayo Kinana amesema “Nampongeza Rais kwa kumtea IGP mpya, nina hakika ni IGP mwadilifu, mchapakazi na hodari lakini namuomba na kumshauri atazame wingi wa Trafiki mijini, kila baada ya muda mfupi unasimamishwa na Trafiku, wenye magari hawaendeshi kwa raha, hivyo nimsihi IGP afanye tathimini kuhusu uwepo wa Trafiki wengi kwenye miji yetu, wamekuwa wengi sana kila ukitembea kidogo unasimamishwa, kilomita moja unakuta Trafiki”
Wamemisi zile ajali za enzi za kikweteHapana. Barabara zetu bila matrafiki zitateketeza watu. Kama unaona unacheleweshwa safari na matrafiki, anza safari mapema. Usalama vs kero kipi bora? Bora usalama.