Kinana asome alama za Nyakati, wana CCM hawamwelewi

Ccm hamna kitu chadema ndio kabsaaa. Kwa ufupi nchi hii haina vyana
 
Utasikia Mtu Anatemeshwa Bungo Mdomoni, Mambo Yameanza Pole Pole
 
Kinana ni mwana CCM kiongozi wa genge chafu ndani ya CCM.
Kinana ni mwizi na mbadhirifu kama wengine tuiowafahamu mfano wa Makamba Jr.
Vema Kinana akajitambua na kufunga Domo lake kabla hayajamkuta ya kumkuta.

Hii sio awamu ya ujinga!
Nani sio mwizi na msafi huko ccm? Dhalimu mwenyewe alikuwa anajifanya msaf, lakini uchafu aliofanya kwenye plea bargaining hausemeki.
 
Sasa huyo mkuu wa mkoa ni nani? Waafrica na upumbavu ni pete na kidole!
Ukuu wa mkoa ni ujinga gani? wanasaidia nini uwepo wao? Jinga kabisa!
 
mie nadhani muandishi ndio haelewi na sio wanaCCM
 
Jitu kama Sabaya au Makonda, shule hayajasoma yalikuea yanashinda makorongoni, ndio anamvaa injinia na kumpiga mkwara
 
Hivi kijana huyu sahihi amesahau alipokuwa anawaita mawaziri ni mizigo hadharani acha unafiki rudi kwenu Kismayo
 
Umeandika ujinga tupu.
 
Upuuzi na ujinga mtupu.
 
Kinana ni kiongozi wa makundi ya kihuni ndani ya CCM, watu wamemchoka ndiyo maana hawamuelewi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…