Kinana asome alama za Nyakati, wana CCM hawamwelewi

Kinana asome alama za Nyakati, wana CCM hawamwelewi

Kinana ni mwana CCM kiongozi wa genge chafu ndani ya CCM.
Kinana ni mwizi na mbadhirifu kama wengine tuiowafahamu mfano wa Makamba Jr.
Vema Kinana akajitambua na kufunga Domo lake kabla hayajamkuta ya kumkuta.

Hii sio awamu ya ujinga!
Muongo..
Kinana kaiba nini zaidi ya uongo wa kigogo.
Weka ushahidi hapa..
 
KINANA:VIONGOZI SERIKALINI FUATENI NYAYO ZA RAIS SAMIA KUESHIMU SHERIA, KANUNI MNAPOCHUKUA HATUA DHIDI YA WATENDAJI

Na Mwandishi Wetu

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana ametaka viongozi na watenaji serikalini kuzingatia kanuni, sheria, utaratibu na Katiba wanapowakosoa watendaji.

Amesema ni vyema wakajifunza kwa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ambaye pamoja na kuwa na uwezo na mamaka lakini hajawahi kusimama hadharani na kuvunja haki ya utu wa mtu hususan watendaji katika ngazi mbalimbali.

Kinana aliyasema hayo jana Ushirombo, Wilaya ya Bukombe mkoani Geita alipokuwa akizungumza na wanachama wa CCM, viongozi na wananchi alipofungua jengo la ofisi za CCM la wlaya hiyo.

“Nataka kufafanua hili ambalo nimezungumza katika Mkutano Mkuu hapa Bukombe, ni kwamba viongozi wasimamie watendaji serikalini, wasimamie sheria, kanuni na utaratibu lakini si vizuri kuwasema hadharani na kuwafedhehesha watendaji wa serikali.

“Mfano mzuri wa kuigwa ni wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kwani hatujawahi kuona akisimama hadharani akmfedhehesha mtendaji serikalini, kwa sababu yeye ni muumini wa utawala bora, unaozingatia katiba, sheria, kanuni na taratibu,” alisema.

Kinana alsisitiza watendaji wote wa serikali wanasimamiwa na kanuni, sheria, katiba na utendaji serikalini.

View attachment 2841961View attachment 2841962
Kinana anajua siasa, ana hekima nyingi, Rais ana mamlaka makubwa sana kwa mujibu wa katiba lakini Samia ni mfano wa kuigwa ni mnyenyekevu anatii sheria, kanuni na taratibu, hajawahi kumshambulia mtendaji yoyte hadharani anajali utu wa binadamu tofauti na yule marehemu ni km kichaa aliyepewa rungu akifikiri ukiwa na rungu ni kupiga tu. KINANA YUKO SAHIHI. yule mwenezi ajifunze uongozi, naona wamemkanya simwoni tena akiendelea na ule upuuzi alioanza nao.
 
Chama chenu kimezeeka hata aje malaika kuwaongoza bado mtafarakana tu
Chama chako ni kipi kwanza, au ndio kichanga kimezaliwa jana? We ni wale CHADOMO waliopangisha nyumba duni hata mwalimu hawezi kupangisha? Wanajiita chama cha maendeleo bila maendeleo yoyote, chama mwenyekiti wa kanda ni mvuta bangi. Mna sonona nyie.
 
Hao njaa tu wakikosa buku tano lazima wafure....yani ukiitwa kwenye mikutano yao kengele ya kwanza kichwani leo nabadilisha Mboga

Chadema ndo imebaki na wafuasi wa KWELI yaani chama imo ndani ya moyo mpaka kwenye Damu....

Na nauli zimekayibong sasa ule wimbo wa fronti kwa fronti mtamujeee ....unaenda kula Mwaka mpyaa kwenu na maumivu bado maloope inawasubiri ...
we ni zumbukuku lisilojitambua
 
Kinana akiwa katibu aliwaita mawaziri kuwa mizigo.

Mda wake huyu akalee wajukuu. tunahitaji mchaka mchaka.
bora yeye alikuwa katibu mkuu wa chama, hata hivyo hakumdhalilisha mtu yeyote hadharani. Makonda hajitambui kuwa ye ni nyau tu, antamani sana kuwa na madaraka makubwa ila ajue Mungu hawezi kumpa hayo matamanio yake maana hafai.
 
KINANA:VIONGOZI SERIKALINI FUATENI NYAYO ZA RAIS SAMIA KUESHIMU SHERIA, KANUNI MNAPOCHUKUA HATUA DHIDI YA WATENDAJI

Na Mwandishi Wetu

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana ametaka viongozi na watenaji serikalini kuzingatia kanuni, sheria, utaratibu na Katiba wanapowakosoa watendaji.

Amesema ni vyema wakajifunza kwa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ambaye pamoja na kuwa na uwezo na mamaka lakini hajawahi kusimama hadharani na kuvunja haki ya utu wa mtu hususan watendaji katika ngazi mbalimbali.

Kinana aliyasema hayo jana Ushirombo, Wilaya ya Bukombe mkoani Geita alipokuwa akizungumza na wanachama wa CCM, viongozi na wananchi alipofungua jengo la ofisi za CCM la wlaya hiyo.

“Nataka kufafanua hili ambalo nimezungumza katika Mkutano Mkuu hapa Bukombe, ni kwamba viongozi wasimamie watendaji serikalini, wasimamie sheria, kanuni na utaratibu lakini si vizuri kuwasema hadharani na kuwafedhehesha watendaji wa serikali.

“Mfano mzuri wa kuigwa ni wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kwani hatujawahi kuona akisimama hadharani akmfedhehesha mtendaji serikalini, kwa sababu yeye ni muumini wa utawala bora, unaozingatia katiba, sheria, kanuni na taratibu,” alisema.

Kinana alsisitiza watendaji wote wa serikali wanasimamiwa na kanuni, sheria, katiba na utendaji serikalini.

View attachment 2841961View attachment 2841962
Sema wewe ndiye humuelewi, wengine tunamuelewa sana comred Kinana. Hao wengine ulikuwa moto wa mabua sasa hivi limebaki jivu na soon litachanganyika na mchanga.
 
KINANA:VIONGOZI SERIKALINI FUATENI NYAYO ZA RAIS SAMIA KUESHIMU SHERIA, KANUNI MNAPOCHUKUA HATUA DHIDI YA WATENDAJI

Na Mwandishi Wetu

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana ametaka viongozi na watenaji serikalini kuzingatia kanuni, sheria, utaratibu na Katiba wanapowakosoa watendaji.

Amesema ni vyema wakajifunza kwa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ambaye pamoja na kuwa na uwezo na mamaka lakini hajawahi kusimama hadharani na kuvunja haki ya utu wa mtu hususan watendaji katika ngazi mbalimbali.

Kinana aliyasema hayo jana Ushirombo, Wilaya ya Bukombe mkoani Geita alipokuwa akizungumza na wanachama wa CCM, viongozi na wananchi alipofungua jengo la ofisi za CCM la wlaya hiyo.

“Nataka kufafanua hili ambalo nimezungumza katika Mkutano Mkuu hapa Bukombe, ni kwamba viongozi wasimamie watendaji serikalini, wasimamie sheria, kanuni na utaratibu lakini si vizuri kuwasema hadharani na kuwafedhehesha watendaji wa serikali.

“Mfano mzuri wa kuigwa ni wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kwani hatujawahi kuona akisimama hadharani akmfedhehesha mtendaji serikalini, kwa sababu yeye ni muumini wa utawala bora, unaozingatia katiba, sheria, kanuni na taratibu,” alisema.

Kinana alsisitiza watendaji wote wa serikali wanasimamiwa na kanuni, sheria, katiba na utendaji serikalini.

View attachment 2841961View attachment 2841962
Hii chama hii inakufa kifo kibaya sana na wakukiokoa hayupo, twende na CHADEMA sasa, MH Jakaya karibu Chadema
 
bora yeye alikuwa katibu mkuu wa chama, hata hivyo hakumdhalilisha mtu yeyote hadharani. Makonda hajitambui kuwa ye ni nyau tu, antamani sana kuwa na madaraka makubwa ila ajue Mungu hawezi kumpa hayo matamanio yake maana hafai.
ulikuwa na umri gani?
 
Back
Top Bottom