myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Muongo..Kinana ni mwana CCM kiongozi wa genge chafu ndani ya CCM.
Kinana ni mwizi na mbadhirifu kama wengine tuiowafahamu mfano wa Makamba Jr.
Vema Kinana akajitambua na kufunga Domo lake kabla hayajamkuta ya kumkuta.
Hii sio awamu ya ujinga!
Kinana anajua siasa, ana hekima nyingi, Rais ana mamlaka makubwa sana kwa mujibu wa katiba lakini Samia ni mfano wa kuigwa ni mnyenyekevu anatii sheria, kanuni na taratibu, hajawahi kumshambulia mtendaji yoyte hadharani anajali utu wa binadamu tofauti na yule marehemu ni km kichaa aliyepewa rungu akifikiri ukiwa na rungu ni kupiga tu. KINANA YUKO SAHIHI. yule mwenezi ajifunze uongozi, naona wamemkanya simwoni tena akiendelea na ule upuuzi alioanza nao.KINANA:VIONGOZI SERIKALINI FUATENI NYAYO ZA RAIS SAMIA KUESHIMU SHERIA, KANUNI MNAPOCHUKUA HATUA DHIDI YA WATENDAJI
Na Mwandishi Wetu
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana ametaka viongozi na watenaji serikalini kuzingatia kanuni, sheria, utaratibu na Katiba wanapowakosoa watendaji.
Amesema ni vyema wakajifunza kwa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ambaye pamoja na kuwa na uwezo na mamaka lakini hajawahi kusimama hadharani na kuvunja haki ya utu wa mtu hususan watendaji katika ngazi mbalimbali.
Kinana aliyasema hayo jana Ushirombo, Wilaya ya Bukombe mkoani Geita alipokuwa akizungumza na wanachama wa CCM, viongozi na wananchi alipofungua jengo la ofisi za CCM la wlaya hiyo.
“Nataka kufafanua hili ambalo nimezungumza katika Mkutano Mkuu hapa Bukombe, ni kwamba viongozi wasimamie watendaji serikalini, wasimamie sheria, kanuni na utaratibu lakini si vizuri kuwasema hadharani na kuwafedhehesha watendaji wa serikali.
“Mfano mzuri wa kuigwa ni wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kwani hatujawahi kuona akisimama hadharani akmfedhehesha mtendaji serikalini, kwa sababu yeye ni muumini wa utawala bora, unaozingatia katiba, sheria, kanuni na taratibu,” alisema.
Kinana alsisitiza watendaji wote wa serikali wanasimamiwa na kanuni, sheria, katiba na utendaji serikalini.
View attachment 2841961View attachment 2841962
Anafikiri umaskini wake na wa ukoo wake umesababishwa na Kinana, kumbe uzembe wake na wa wazazi wake.Muongo..
Kinana kaiba nini zaidi ya uongo wa kigogo.
Weka ushahidi hapa..
Chama chako ni kipi kwanza, au ndio kichanga kimezaliwa jana? We ni wale CHADOMO waliopangisha nyumba duni hata mwalimu hawezi kupangisha? Wanajiita chama cha maendeleo bila maendeleo yoyote, chama mwenyekiti wa kanda ni mvuta bangi. Mna sonona nyie.Chama chenu kimezeeka hata aje malaika kuwaongoza bado mtafarakana tu
we ni zumbukuku lisilojitambuaHao njaa tu wakikosa buku tano lazima wafure....yani ukiitwa kwenye mikutano yao kengele ya kwanza kichwani leo nabadilisha Mboga
Chadema ndo imebaki na wafuasi wa KWELI yaani chama imo ndani ya moyo mpaka kwenye Damu....
Na nauli zimekayibong sasa ule wimbo wa fronti kwa fronti mtamujeee ....unaenda kula Mwaka mpyaa kwenu na maumivu bado maloope inawasubiri ...
yule zuzu hana mamlaka ya kuwaagiza watendaji, lile ni jinga lisilojitambua.Kimepasuka Makonda Anataka Anachoagiza Watendaji Wafanye
Kinana Naye Anaponda Ngoja Tuone
bora yeye alikuwa katibu mkuu wa chama, hata hivyo hakumdhalilisha mtu yeyote hadharani. Makonda hajitambui kuwa ye ni nyau tu, antamani sana kuwa na madaraka makubwa ila ajue Mungu hawezi kumpa hayo matamanio yake maana hafai.Kinana akiwa katibu aliwaita mawaziri kuwa mizigo.
Mda wake huyu akalee wajukuu. tunahitaji mchaka mchaka.
Sema wewe ndiye humuelewi, wengine tunamuelewa sana comred Kinana. Hao wengine ulikuwa moto wa mabua sasa hivi limebaki jivu na soon litachanganyika na mchanga.KINANA:VIONGOZI SERIKALINI FUATENI NYAYO ZA RAIS SAMIA KUESHIMU SHERIA, KANUNI MNAPOCHUKUA HATUA DHIDI YA WATENDAJI
Na Mwandishi Wetu
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana ametaka viongozi na watenaji serikalini kuzingatia kanuni, sheria, utaratibu na Katiba wanapowakosoa watendaji.
Amesema ni vyema wakajifunza kwa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ambaye pamoja na kuwa na uwezo na mamaka lakini hajawahi kusimama hadharani na kuvunja haki ya utu wa mtu hususan watendaji katika ngazi mbalimbali.
Kinana aliyasema hayo jana Ushirombo, Wilaya ya Bukombe mkoani Geita alipokuwa akizungumza na wanachama wa CCM, viongozi na wananchi alipofungua jengo la ofisi za CCM la wlaya hiyo.
“Nataka kufafanua hili ambalo nimezungumza katika Mkutano Mkuu hapa Bukombe, ni kwamba viongozi wasimamie watendaji serikalini, wasimamie sheria, kanuni na utaratibu lakini si vizuri kuwasema hadharani na kuwafedhehesha watendaji wa serikali.
“Mfano mzuri wa kuigwa ni wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kwani hatujawahi kuona akisimama hadharani akmfedhehesha mtendaji serikalini, kwa sababu yeye ni muumini wa utawala bora, unaozingatia katiba, sheria, kanuni na taratibu,” alisema.
Kinana alsisitiza watendaji wote wa serikali wanasimamiwa na kanuni, sheria, katiba na utendaji serikalini.
View attachment 2841961View attachment 2841962
Hii chama hii inakufa kifo kibaya sana na wakukiokoa hayupo, twende na CHADEMA sasa, MH Jakaya karibu ChademaKINANA:VIONGOZI SERIKALINI FUATENI NYAYO ZA RAIS SAMIA KUESHIMU SHERIA, KANUNI MNAPOCHUKUA HATUA DHIDI YA WATENDAJI
Na Mwandishi Wetu
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana ametaka viongozi na watenaji serikalini kuzingatia kanuni, sheria, utaratibu na Katiba wanapowakosoa watendaji.
Amesema ni vyema wakajifunza kwa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ambaye pamoja na kuwa na uwezo na mamaka lakini hajawahi kusimama hadharani na kuvunja haki ya utu wa mtu hususan watendaji katika ngazi mbalimbali.
Kinana aliyasema hayo jana Ushirombo, Wilaya ya Bukombe mkoani Geita alipokuwa akizungumza na wanachama wa CCM, viongozi na wananchi alipofungua jengo la ofisi za CCM la wlaya hiyo.
“Nataka kufafanua hili ambalo nimezungumza katika Mkutano Mkuu hapa Bukombe, ni kwamba viongozi wasimamie watendaji serikalini, wasimamie sheria, kanuni na utaratibu lakini si vizuri kuwasema hadharani na kuwafedhehesha watendaji wa serikali.
“Mfano mzuri wa kuigwa ni wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kwani hatujawahi kuona akisimama hadharani akmfedhehesha mtendaji serikalini, kwa sababu yeye ni muumini wa utawala bora, unaozingatia katiba, sheria, kanuni na taratibu,” alisema.
Kinana alsisitiza watendaji wote wa serikali wanasimamiwa na kanuni, sheria, katiba na utendaji serikalini.
View attachment 2841961View attachment 2841962
ulikuwa na umri gani?bora yeye alikuwa katibu mkuu wa chama, hata hivyo hakumdhalilisha mtu yeyote hadharani. Makonda hajitambui kuwa ye ni nyau tu, antamani sana kuwa na madaraka makubwa ila ajue Mungu hawezi kumpa hayo matamanio yake maana hafai.
kama Zuwena mwenyewe au Nepi au yule mwizi wa mtihahni karagosiJitu kama Sabaya au Makonda, shule hayajasoma yalikuea yanashinda makorongoni, ndio anamvaa injinia na kumpiga mkwara