Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu angalia usemi wako kwa sababu katika usemi huu wewe ndiyo unaonekana 'mshamba'.CCM iache Siasa za Kishamba.Maoni yanatakiwa yawe wazi kwa Kila Mtu.Sijaona tangazo lolote linalowaalika watu kwenda kutoa Maoni kwenye Mabaraza au Vikao vya CCM,Sasa hiyo Rekodi imevunjiwa wapi?Ni vigezo gani viliwekwa ili tuamini kwamba kweli Rekodi imevunjwa?.
mkuu bado hoja inabaki ileile, ni lini na wapi ccm walikusanya maoni kama taasisi? Unazungukazunguka lakini ni bra bra tu...Mkuu angalia usemi wako kwa sababu katika usemi huu wewe ndiyo unaonekana 'mshamba'.
Maoni ya wananchi wote yalikusanywa na Tume ya Jaji Warioba kupitia Mabaraza ya Katiba ambayo yaliundwa, kusimamiwa na kuendeshwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba mojawapo ya mabaraza hayo ni mabaraza ya kata, wilaya n.k. ambayo yalilalamikiwa na CHADEMA kuwa yamejaa wanaCCM pekee badala ya wananchi wote.
Mabaraza ya CCM ni mabaraza ya taasisi ambayo yanaundwa na taasisi yenyewe. Haya ni sehemu ya pili ya aina ya mabaraza kama yalivyoainishwa katika Sheria ya Mabadiliko ya Katiba Sura ya 83. Haya ni pamoja na Asasi na makundi ya watu wenye mwelekeo na malengo yanayofanana hii ina maana kwamba hata walevi au wafungwa wanaweza wakaanzisha baraza lao la katiba kama tume ya Jaji Warioba itaona umuhimu wa kuwepo.
CCM kama Taasisi iliyoundwa na wanachama na pia kuwepo kwake kisheria kunategemea wanachama ndiyo maana imekusanya maoni ya wanachama wake kama Taasisi.
Hii ndiyo inapelekea kuwepo kwa hoja ya Jaji Warioba aliposema kuwa hawatachukua maoni ya "jukwaani wala ya kwenye helikopta" kwa cover la Taasisi pamoja na kwamba kauli yake hiyo ni debatable.
Mkuu angalia usemi wako kwa sababu katika usemi huu wewe ndiyo unaonekana 'mshamba'.
Maoni ya wananchi wote yalikusanywa na Tume ya Jaji Warioba kupitia Mabaraza ya Katiba ambayo yaliundwa, kusimamiwa na kuendeshwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba mojawapo ya mabaraza hayo ni mabaraza ya kata, wilaya n.k. ambayo yalilalamikiwa na CHADEMA kuwa yamejaa wanaCCM pekee badala ya wananchi wote.
Mabaraza ya CCM ni mabaraza ya taasisi ambayo yanaundwa na taasisi yenyewe. Haya ni sehemu ya pili ya aina ya mabaraza kama yalivyoainishwa katika Sheria ya Mabadiliko ya Katiba Sura ya 83. Haya ni pamoja na Asasi na makundi ya watu wenye mwelekeo na malengo yanayofanana hii ina maana kwamba hata walevi au wafungwa wanaweza wakaanzisha baraza lao la katiba kama tume ya Jaji Warioba itaona umuhimu wa kuwepo.
CCM kama Taasisi iliyoundwa na wanachama na pia kuwepo kwake kisheria kunategemea wanachama ndiyo maana imekusanya maoni ya wanachama wake kama Taasisi.
Hii ndiyo inapelekea kuwepo kwa hoja ya Jaji Warioba aliposema kuwa hawatachukua maoni ya "jukwaani wala ya kwenye helikopta" kwa cover la Taasisi pamoja na kwamba kauli yake hiyo ni debatable.
CCM iache Siasa za Kishamba.Maoni yanatakiwa yawe wazi kwa Kila Mtu.Sijaona tangazo lolote linalowaalika watu kwenda kutoa Maoni kwenye Mabaraza au Vikao vya CCM,Sasa hiyo Rekodi imevunjiwa wapi?Ni vigezo gani viliwekwa ili tuamini kwamba kweli Rekodi imevunjwa?.
Badala ya kusema mimi ninapotosha, ingekuwa vizuri ukaelewa kilichoko kwenye bandiko langu.Nawe acha kupotosha watu humu......,mabaraza yaliyoundwa hayana uhusiano na vyama vya siasa japo wajumbe walipitishwa na wajumbe ambao ni wenyeviti wa mitaa/vijiji ambao wengi wao walitokana na ccm. Hii tu haimaanishi kuwa ccm wamekusanya maoni kupitia wajumbe hawa.....
Sasa wewe unataka CCM ionyeshe jinsi ilivyokusanya maoni ya wanachama wake wapi?. Hapa JF?.ccm kama taasisi yenye mawazo na maoni yanayofanana ilitakiwa ionyeshe jinsi ilivyokusanya maoni ya watu milioni mbili nukta tatu kama inavyojinadi hivi sasa. Kusema wamekusanya maoni ya watu wengi na kuvunja rekodi bila statistic ni ubatili mtupu...
Badala ya kusema mimi ninapotosha, ingekuwa vizuri ukaelewa kilichoko kwenye bandiko langu.
Wapi nimesema maoni ya CCM yamekusanywa kutoka kwenye Mabaraza ya Katiba ambayo yaliundwa, kusimamiwa na kuendeshwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba. Legally, Mabaraza yanayosimamiwa na kuendeshwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba niya wananchi wote yanayotokana na wajumbe waliochaguliwa na wananchi wote kupitia mitaa, kata, wilaya n.k
Sasa wewe unataka CCM ionyeshe jinsi ilivyokusanya maoni ya wanachama wake wapi?. Hapa JF?.
Kwanza ukiangalia hata hiyo video haionyeshi hotuba nzima ya Katibu Mkuu wa CCM kwa maana kuwa hatufahamu baada ya kutoa hayo maelezo aliendelea kusema nini zaidi, lakini kikubwa zaidi anayetakiwa kujua njia ambazo CCM walitumia kupata mapendekezo yao ni Tume ya Jaji Warioba kupitia vidhibiti ambavyo Tume ya Jaji Warioba inazitaka taasisi mbali mbali kukamilisha.
mkuu bado unazunguka, je wapi na lini ccm ilikusanya haya maoni ya watu milioni mbili na ushei? Je maoni ya watu ni siri? Mbona tume ya warioba ilichukua maoni kwa wananchi mchana kweupe? Kuna nini huu usiri wa ccm katika mambo ya umma? . In short mkuu ukweli ccm wamepika data, wanachama wao wengi mikoani wanalalamika kwa ccm kutowapa nafasi kutoa maoni kama inavyofanya Chadema!Badala ya kusema mimi ninapotosha, ingekuwa vizuri ukaelewa kilichoko kwenye bandiko langu.
Wapi nimesema maoni ya CCM yamekusanywa kutoka kwenye Mabaraza ya Katiba ambayo yaliundwa, kusimamiwa na kuendeshwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba. Legally, Mabaraza yanayosimamiwa na kuendeshwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba niya wananchi wote yanayotokana na wajumbe waliochaguliwa na wananchi wote kupitia mitaa, kata, wilaya n.k
Sasa wewe unataka CCM ionyeshe jinsi ilivyokusanya maoni ya wanachama wake wapi?. Hapa JF?.
Kwanza ukiangalia hata hiyo video haionyeshi hotuba nzima ya Katibu Mkuu wa CCM kwa maana kuwa hatufahamu baada ya kutoa hayo maelezo aliendelea kusema nini zaidi, lakini kikubwa zaidi anayetakiwa kujua njia ambazo CCM walitumia kupata mapendekezo yao ni Tume ya Jaji Warioba kupitia vidhibiti ambavyo Tume ya Jaji Warioba inazitaka taasisi mbali mbali kukamilisha.
CCM wao walichagua njia ya kukusanya maoni siyo kwenye mikutano ya nje bali mikutano ya ndani kwa maana hiyo kwa kiasi kikubwa ni wanachama wa CCM pekee waliohudhuria hiyo mikutano ndiyo wanaofahamu vizuri process yao ya ukusanyaji wa maoni.mkuu bado hoja inabaki ileile, ni lini na wapi ccm walikusanya maoni kama taasisi? Unazungukazunguka lakini ni bra bra tu...
CCM wao walichagua njia ya kukusanya maoni siyo kwenye mikutano ya nje bali mikutano ya ndani kwa maana hiyo kwa kiasi kikubwa ni wanachama wa CCM pekee waliohudhuria hiyo mikutano ndiyo wanaofahamu vizuri process yao ya ukusanyaji wa maoni.
Kuna thread ililetwa hapa JF ya tamko la Nape kuhusu utaratibu wao katika ukusanyaji wa maoni kupitia wanachama wao kama taasisi.
Mkuu. Jaribu basi hata kutumia LOGIC kidogo.mkuu bado unazunguka, je wapi na lini ccm ilikusanya haya maoni ya watu milioni mbili na ushei? Je maoni ya watu ni siri? Mbona tume ya warioba ilichukua maoni kwa wananchi mchana kweupe? Kuna nini huu usiri wa ccm katika mambo ya umma? . In short mkuu ukweli ccm wamepika data, wanachama wao wengi mikoani wanalalamika kwa ccm kutowapa nafasi kutoa maoni kama inavyofanya Chadema!