Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,772
- 8,939
Ndivyo ambavyo CCM hupiga bao kirahisi bila wapinzani kujua, Kwani kabla hata chopa kuanza kuruka CCM Ilikuwa na vikao vyake vya mabaraza ya kata na nililishuhudia kule visiwani, Mabaraza ya Kata ya CCM yameanza kabla ya mabaraza ya Tume ndiyo maana wengi walioyasikia walidhani ni yaliyoundwa na Tume
Unashindwa hata kuongopa?
Yani mabaraza ya CCM ya Kujadili Rasimu ya Katiba yamechukuliwa kabla hata Tume haijachukua Maoni ya Kuandika Rasimu yenyewe?
Au MACCM walikuwa nayo hii Rasimu kabla hata ya Mchakato wa Tume kuanza.
Au nikuulize swali unajua Tofauti ya Maoni ya Kutunga Rasimu ya Katiba Na Maoni ya Kujadili Rasimu ya Katiba ?