Kumbe tatizo lako ni unidirectional thinking.
Kila tawi linafanya vikao ambavyo vimeandikwa kinagaubaga kwenye katiba. Vikao hivyo vinajadili masuala mbalimbali.
Katika kipindi hiki cha kuandika katiba, vikao hivyo vinejadili pia maoni juu ya katiba.
Kama mjumbe wako hajui kuwa kuna vikao vya tawi, basi mmechagua mjumbe BOMU. Vikao vipo na minutes zipo, kama uko curious enough nenda kwa Katibu wa tawi wa CCM atakupa ratiba ya vikao vilivyokaliwa na vijavyo.
By ZeMarcopolo![]()
Kuna watu kazi yao ni kupinga tu.
Hata hawajui vikao vya CCM ni vipi lakini wanapinga. Wanadhani CCM inafanya show off politics za kuruka angani na kuvaa migwanda.
Kama hamjui, CCM ina watu kila kijiji, mtaa kila sehemu nchini. CCM haihitaji kumpa posho Katibu Mkuu wake azunguke nchi nzima ili kujua wanachama wake wana maoni gani. Vikao vya CCM vya matawi vinatosha. CCM has that infrastructure, vyama vya magumashi havina infrastructure ndio maana watu kumi wanahangaika kuzunguka nchi nzima.
Mkuu ZeMarcopolo
Hapo kwenye red inamaana mjumbe wa mtaani kwangu hajuwi, na yule wa mtaa wapili hajui, Ni mtandaogani unaojivunia hapa jukwaani uliompana wa ccm usiwague hao wajumbe?
Mimi sio mwanachama wa ccm, lakini marakwamara hupitia kwa majirani zangu wajumbe wa ccm kufaham
kinachoendelea hususani masuala ya katiba, maana nikwamanufaa yetu sote sio ccm tu. Lakini wanashangaa kinana
kapata wapi takwimu hizo maana katika mitaa yao hawajawahi fanya mabalaza/vikao hivyo.

