Kinana: CCM imevunja rekodi ukusanyaji wa maoni juu ya Rasimu ya Katiba Mpya

Kinana: CCM imevunja rekodi ukusanyaji wa maoni juu ya Rasimu ya Katiba Mpya

Kinana, A fool at 60's.
Huyu si Mtz hata na hvyo.
Yaani watu tunahangaika kupata katiba itunusuru yy anahangaika na kuvunja rekodi? Kwa hyo akili yake haiko ktk content ya maoni ila idadi, tunahitaji quality na sio quantity pekee.
 
Walikusanyia wapi hayo maoni hata mabaraza yao hatujayaona, waache uhuni wanawaogopa hadi wanachama wao wenyewe..

sasa wewe ni chadema ulitaka ujue ccm wamekusanya lini maoni ili ikusaidie nn we endelea kushangaa chopa za wanaounga mkono ushoga cc:m haooooo
ccm oyeeeeeee
 
Umefikia wakati wa kuikomboa nchi kwenye fikra za kikaburu za CCM,kwa maana makaburu wa Tanzania ni hawa wanaojifanya ni wazawa,wanaojifanya wana uchungu sana na nchi hii. Bendera ya Chama Chao imewekwa jembe la mkono la sh. 3500 wakihamasisha kilimo wakati ilani ya chama inaruhusu kutembelea magari ya Mil. 200+
 
haya majitu ni matapeli aisee,hayo maoni yamekusanywa wapi? mbona sikuwahi kuona mkutano wa ccm wa kukusanya maoni hayo?
kwani kura za chaguzi mbalimbali wanazipata wapi?hao ndio magamba bwana,wanachakachua kila kinachopita mbele yao.
 
CCM ilikuwa ya Mwalimu,sio ya hawa wasaniii...Matukio ya Akina Mwigulu,Nape,Rage and likely yanatofauti gani na haya ya kina Minaki kujipiga picha za utupu na kutupia mtandaoni? CCM ingolewe tu kama jino bovu,bora kubakie pengo tu!

And for this whoever still asking who i am, jibu langu ni jepesi...Horseshoe Arch is a patriotic young Tanzanian who believe in the,then better future of my country baada ya kuwang'oa hawa mchwa!
 
Inasikitisha kuona demokrasia inatugawa badala ya kutuunganisha.ona kama hv watu wanavikumbatia vyama vya siasa na kuvipenda zaid ya nchi yao.mimacho imewatoka kuvitetea vyama vyao hata kama vipo wrong.hebu weken ushabik wa kisiasa pemben kweny maslahi ya taifa
 
Hao ni maharamia mwaka huu na katiba tutaona mengi ya aibu chini kinana na ccm yake, labda kazi imefanyawa na majini ya ccm na jk wake.
 
Nimemsikia Nape anaongea DW-kiswahili eti wamekusanya maoni ya wanachama milion mbili wa CCM,wanachama gani ambao anawasema kwa mda gani,hao tu Tume ya Mabadiliko ya Katiba pamoja na matangazo mbalimbali kwa mda wote haijapata watu wengi,Viongozi wetu kwa vibweka eti"kama Tume itazingitia maoni mengi basi ya ccm ni mengi"-Nape,mabaraza ya ccm yalikua wapi na yalikua ya Kata au wilaya,maana hii miezi miwili nimetembea mikoa minne na baadhi ya vijiji,nilikua Tanga,Dar,Mtwara,na sasa nipo Dodoma,nategemea kwenda kanda ya Ziwa,nilipopita sijaona mabaraza,Zaidi ya kikao kile cha dar sijaona vingine vinavyoshilikisha#naumia kuona kodi yangu inatumika vibaya#
#Ex Tanzania Simper aliquid voni#
 
Hao ndo CCM Bana, Chezea ccm YA Nape weyeeeeeeeeeeeeeeeeee
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
 
nahisi kinana atakuwa amekusanya maoni ya wanaccm akiwa ndotoni
uthibitisho mwingine kuwa ukiuzoea uongo mwishowe unajidanganya na ndilo tunaloliona sasa kwa ccm ya jk!
 
wewe ndio hauko tz, umemaliza la saba kweli, kila taasisi iliunda mabaraza yake tofauti kabisa na yale ya tume, mfano kuna baraza la waandishi wa habari km taasisi, wanamziki na wacheza filamu etc
Ukoo wa panya....wote wezi tu mpaka kinana na magufuli.........
 
Wamevunja rekodi iliyowekwa na nani?!

Mambo mengine ni aibu tu. Hata hawajui wanachotaka kusema.
 
Siasa za maji taka! Hizo takwimu zinasaidiaje taifa la Tanzania????
 
Back
Top Bottom