UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Maskini tembo wetu 😢😪majangiri kwenye ubora wamerudi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maskini tembo wetu 😢😪majangiri kwenye ubora wamerudi
mambo yote YA MUUNGANO katika Jamhuri ya Muungano na pia juu ya mambo mengine yote YAHUSUYO TANZANIA BARA.Ibara ya 34 (1) (2) (3) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iko wazi:
34 (1) Kutakuwa na serikali ya Jamhuri ya Muungano ambayo itakuwa na mamlaka juu ya mambo yote ya Muungano katika Jamhuri ya Muungano na pia juu ya mambo mengine yote yahusuyo Tanzania Bara.
"mambo yote"
...
Nchi inaongozwa na katiba wala sio chama. Na katiba imeweka wazi kuwa Serikali ndio yenye mamlaka katika mambo yote, Kinana anazingua.
Yesu ni Mwokozi
Serikali ndio inayoshika hatamu, sio chama jamenimambo yote YA MUUNGANO katika Jamhuri ya Muungano na pia juu ya mambo mengine yote YAHUSUYO TANZANIA BARA.
Alikuwa anapokea wanachama wapya katika mikutano ya serikali,Serikali ndio inayoshika hatamu, sio chama jameni
achana na yule mzee alikuwa wa hovyooAlikuwa anapokea wanachama wapya katika mikutano ya serikali,
Anafanyia vikao vya chama ofisi namba moja,
Walinzi wake wanavaa sare za chama,
Alimteua kanali wa jeshi kuwa kada wa chama,
Alimteua kada wa chama kuwa mkuu wa watumishi!,
Alitumia vyombo vya dola kuwa trepu wanachama wenzake waliokuwa wanamsema!
Mambo ni mengi, hayo ni baadhi tu tuliyoyaona kwa nje.
Unaona haya ni sawa
Of course huo ndio ukweli ambao kuna wachache hawaupendi"Kasema CCM sio chombo cha serikali, CCM haitokani na Serikali, ila Serikali zote mbili (Tanzania na Zanzibar) zinatokana na CCM, CCM haipokei maagizo kutoka Serikalini, ila Serikali inapokea maagizo kutoka CCM, hii ni kupitia ilani na sera zilizotungwa na viongozi mbali mbali wa Serikali!"
Huu ni ujumbe mzito samaa kwa team sukuma Gang
Hapa naona kuna watu wanaenda kunyooshwa
Chama ndicho kinaunda serikali.. kwa hiyo ni sahihi: kwa sasa CCM ndiyo maboss na wana haki ya kuisimamia serikali kuhakikisha wanatekeleza ilani yake.
Sijajua anamaanisha nini. Aliyeelewa anisaidie!
YESU ndiye BWANA!!!
Mwenyekiti wa chama ndio Boss katika chama !! Na upande wa serikali mkuu wa serikali na mkuu wa nchi ni Rais !! !!?Inawezekana Kinana pia anamaanisha mwenyekiti amewekwa mfukoni na "wajanja wa mjini" ila yeye kwa nje anamaanisha chama ndio kina nguvu kuizidi serikali.
On the other side, alichokisema kinaweza kuwa sawa, au kinyume chake pia ikawa sawa, kwasababu pande zote mbili zinaongozwa na mtu mmoja, na hakuna wa kumpinga toka upande wowote, wote humshangilia hata akiwagombeza.
Sasa hv Kuna watu watakimbia nchi,wananchi lazima wasage meno kwa gharama kubwa za maisha."Kasema CCM sio chombo cha serikali, CCM haitokani na Serikali, ila Serikali zote mbili (Tanzania na Zanzibar) zinatokana na CCM, CCM haipokei maagizo kutoka Serikalini, ila Serikali inapokea maagizo kutoka CCM, hii ni kupitia ilani na sera zilizotungwa na viongozi mbali mbali wa Serikali!"
Huu ni ujumbe mzito samaa kwa team sukuma Gang
Hapa naona kuna watu wanaenda kunyooshwa
You can say that again !!!Ulipwe mshahara na mwenyekiti wa ccm alafu umtangaze mpinzani awe mshindi!?
TUNAPOSEMA CCM ni POLISI, TUME TISS tupo sahihi kumbe vyote hivyo vinapokea Maagizo ya CCM"Kasema CCM sio chombo cha serikali, CCM haitokani na Serikali, ila Serikali zote mbili (Tanzania na Zanzibar) zinatokana na CCM, CCM haipokei maagizo kutoka Serikalini, ila Serikali inapokea maagizo kutoka CCM, hii ni kupitia ilani na sera zilizotungwa na viongozi mbali mbali wa Serikali!"
Huu ni ujumbe mzito samaa kwa team sukuma Gang
Hapa naona kuna watu wanaenda kunyooshwa
Ni. Kweli kwamba kwa mfumo wetu ili ushike dola inakupasa kuwa na chama.Ili chama kishike dola, kishinde chaguzi zake
Lazima kiwe kwenye mfumo huu wa ccm
Yaani chama alafu $
Ova