Bhisumbinyama
JF-Expert Member
- Dec 26, 2019
- 797
- 581
Sawa. Acha wabebe mshikaki watafute riziki yao. Siyo mbaya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshangaa kuona na kusikia Kinana akiwaambia bodaboda kuwa ataiambia mamlaka ya usimamizi usalama barabarani waondie zuio la mishkaki yaani kubeba hadi abiria 3.
Sababu kuu anasema hii itaongeza kipato kwa waendesha boda boda.
Kib
Una mtazamo gani juu ya kauli hii?.
mzee vipi huyu, ina maana yeye kwenye gari yake anabeba watu mpaka juu ya bodi. Hasitumie bodaboda vibaya. Yaani kinana amefikia hapo!!!!Nimeshangaa kuona na kusikia Kinana akiwaambia bodaboda kuwa ataiambia mamlaka ya usimamizi usalama barabarani waondie zuio la mishkaki yaani kubeba hadi abiria 3.
Sababu kuu anasema hii itaongeza kipato kwa waendesha boda boda.
Kibaya zaidi akasema kuwa...kuna shida gani kama abiria wenyewe wametaka kubebwa hadi watatu.
Huu sio uongozi kwani wote tunafahamu jinsi boda boda zinapoteza maisha ya watu wengi.
Kiongozi asiyejali maisha ya raia huyo ni muuaji
========
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Abdulrahman Kinana amesema CCM inakwenda kuzungumza na Serikali kuangalia sheria ya kuzuia usafiri wa pikipiki maarufu kama bodaboda kuruhusia kubeba abiria zaidi ya mmoja (mshikaki)
Kinana amesema hayo wakati akipokelewa na Viongozi, Wanachama wa CCM na Wananchi wa Bariadi mkoa wa Simiyu, ikiwa ni mendelezo wa ziara yake ya kuangalia uhai wa chama, utekelezaji wa llani ya CCM na kuongea na Wananchi katika maeneo mbalimbali.
Una mtazamo gani juu ya kauli hii?.
SIasa chafumzee vipi huyu, ina maana yeye kwenye gari yake anabeba watu mpaka juu ya bodi. Hasitumie bodaboda vibaya. Yaani kinana amefikia hapo!!!!
Hatari sanaHizi siasa za kufurahisha genge ndizo zinazoligharimu hili taifa. Kiongozi unawezaje kuahidi kushawishi mamlaka husika ziruhusu uvunjaji wa sheria? Piki piki uwezo wake ni kubeba abiria mmoja, na ndio unaoruhusiwa kisheria. Kwa nini Kinana aahidi kuhamasisha uvunjaji wa sheria?
Huyu mzee mchafuzi tuHuwa nasema kila siku tunatawaliwa na psychopathic people who hate us …
Hatari mnooUsingeweka video nisingeamini huu ujinga
Wanapotezea ishu ya dpwAnatafuta mass support
Hafai kabisaClasimeti wakati mwingine ana hoja za Hovyoo Mnoo!!!
Uchaguzi unakaribia sasa tunatafuta wapiga kura kwa hali na maliNimeshangaa kuona na kusikia Kinana akiwaambia bodaboda kuwa ataiambia mamlaka ya usimamizi usalama barabarani waondie zuio la mishkaki yaani kubeba hadi abiria 3.
Sababu kuu anasema hii itaongeza kipato kwa waendesha boda boda.
Kibaya zaidi akasema kuwa...kuna shida gani kama abiria wenyewe wametaka kubebwa hadi watatu.
Huu sio uongozi kwani wote tunafahamu jinsi boda boda zinapoteza maisha ya watu wengi.
Kiongozi asiyejali maisha ya raia huyo ni muuaji
========
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Abdulrahman Kinana amesema CCM inakwenda kuzungumza na Serikali kuangalia sheria ya kuzuia usafiri wa pikipiki maarufu kama bodaboda kuruhusia kubeba abiria zaidi ya mmoja (mshikaki)
Kinana amesema hayo wakati akipokelewa na Viongozi, Wanachama wa CCM na Wananchi wa Bariadi mkoa wa Simiyu, ikiwa ni mendelezo wa ziara yake ya kuangalia uhai wa chama, utekelezaji wa llani ya CCM na kuongea na Wananchi katika maeneo mbalimbali.
Una mtazamo gani juu ya kauli hii?.
Boda wako wengi, ukibeba watatu unawanyima wenzake wawili kukosa abiria?Sawa. Acha wabebe mshikaki watafute riziki yao. Siyo mbaya.
Kila mtu ana riziki yake kijana worry not.Boda wako wengi, ukibeba watatu unawanyima wenzake wawili kukosa abiria?
Hasitumie _asitumiemzee vipi huyu, ina maana yeye kwenye gari yake anabeba watu mpaka juu ya bodi. Hasitumie bodaboda vibaya. Yaani kinana amefikia hapo!!!!
Hawa watu wamefika mwisho kifikra! Mtu kama kinana katumika katika phase nne tofauti za uongozi wa nchi kutoka ujamaa hadi ubepari uliokomaa atakua na mawazo gani mapya kwa dunia ya leo?Nimeshangaa kuona na kusikia Kinana akiwaambia bodaboda kuwa ataiambia mamlaka ya usimamizi usalama barabarani waondie zuio la mishkaki yaani kubeba hadi abiria 3.
Sababu kuu anasema hii itaongeza kipato kwa waendesha boda boda.
Kibaya zaidi akasema kuwa...kuna shida gani kama abiria wenyewe wametaka kubebwa hadi watatu.
Huu sio uongozi kwani wote tunafahamu jinsi boda boda zinapoteza maisha ya watu wengi.
Kiongozi asiyejali maisha ya raia huyo ni muuaji
========
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Abdulrahman Kinana amesema CCM inakwenda kuzungumza na Serikali kuangalia sheria ya kuzuia usafiri wa pikipiki maarufu kama bodaboda kuruhusia kubeba abiria zaidi ya mmoja (mshikaki)
Kinana amesema hayo wakati akipokelewa na Viongozi, Wanachama wa CCM na Wananchi wa Bariadi mkoa wa Simiyu, ikiwa ni mendelezo wa ziara yake ya kuangalia uhai wa chama, utekelezaji wa llani ya CCM na kuongea na Wananchi katika maeneo mbalimbali.
Una mtazamo gani juu ya kauli hii?.
sijali grammar za lugha ya kimbea mbea(kiswahili) hiyo.Hasitumie _asitumie
Hasitumie ._asitumiemzee vipi huyu, ina maana yeye kwenye gari yake anabeba watu mpaka juu ya bodi. Hasitumie bodaboda vibaya. Yaani kinana amefikia hapo!!!!