MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 5,736
- 18,648
Moja ya vitu vinavyofanya nisiamini kama Mungu yupo ni uwepo wa wazee kama hawa pamoja na hao wanaoshangilia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ule mfupa wa traffic police aliuacha wapi na alimwachia nani?Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Abdulrahman Kinana amesema CCM inakwenda kuzungumza na Serikali kuangalia sheria ya kuzuia usafiri wa pikipiki maarufu kama bodaboda kuruhusia kubeba abiria zaidi ya mmoja (mshikaki)
Kinana amesema hayo wakati akipokelewa na Viongozi, Wanachama wa CCM na Wananchi wa Bariadi mkoa wa Simiyu, ikiwa ni mendelezo wa ziara yake ya kuangalia uhai wa chama, utekelezaji wa llani ya CCM na kuongea na Wananchi katika maeneo mbalimbali.
Waliwajambosha sana lkn hali imerejeaUle mfupa wa traffic police aliuacha wapi na alimwachia nani?
Amekuwa oil chafu sasa anachafua tuHawa watu wamefika mwisho kifikra! Mtu kama kinana katumika katika phase nne tofauti za uongozi wa nchi kutoka ujamaa hadi ubepari uliokomaa atakua na mawazo gani mapya kwa dunia ya leo?
Boda wanakufa kila uchaoWameona waje na mbinu ya kupunguza population 🤣
Hii ni zkili kinyesiHakuna shida yeyote. Kama ajali tunaona magar yanavyo pata ajali na kuuwa watu mbona serikali haizui kubeba abilia zaid ya mmoja. Kama abilia mwenyewe wamelizika acha wapebwe
Mimi mwenyewe dereva bodaboda sikubaliani na huo ujingaNimeshangaa kuona na kusikia Kinana akiwaambia bodaboda kuwa ataiambia mamlaka ya usimamizi usalama barabarani waondie zuio la mishkaki yaani kubeba hadi abiria 3.
Sababu kuu anasema hii itaongeza kipato kwa waendesha boda boda.
Kibaya zaidi akasema kuwa...kuna shida gani kama abiria wenyewe wametaka kubebwa hadi watatu.
Huu sio uongozi kwani wote tunafahamu jinsi boda boda zinapoteza maisha ya watu wengi.
Kiongozi asiyejali maisha ya raia huyo ni muuaji
========
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Abdulrahman Kinana amesema CCM inakwenda kuzungumza na Serikali kuangalia sheria ya kuzuia usafiri wa pikipiki maarufu kama bodaboda kuruhusia kubeba abiria zaidi ya mmoja (mshikaki)
Kinana amesema hayo wakati akipokelewa na Viongozi, Wanachama wa CCM na Wananchi wa Bariadi mkoa wa Simiyu, ikiwa ni mendelezo wa ziara yake ya kuangalia uhai wa chama, utekelezaji wa llani ya CCM na kuongea na Wananchi katika maeneo mbalimbali.
Una mtazamo gani juu ya kauli hii?.
Siasa za Africa au za duniani kote ??!!Siasa ndivyo zilivyo...
Wanasiasa wanafanya kazi za wasomi na wasomi wamekubali kufanya kazi za kisiasa Kwa maslahi ya watu wachache hapo ndio tatizo letu limeanziaNimeshangaa kuona na kusikia Kinana akiwaambia bodaboda kuwa ataiambia mamlaka ya usimamizi usalama barabarani waondie zuio la mishkaki yaani kubeba hadi abiria 3.
Sababu kuu anasema hii itaongeza kipato kwa waendesha boda boda.
Kibaya zaidi akasema kuwa...kuna shida gani kama abiria wenyewe wametaka kubebwa hadi watatu.
Huu sio uongozi kwani wote tunafahamu jinsi boda boda zinapoteza maisha ya watu wengi.
Kiongozi asiyejali maisha ya raia huyo ni muuaji
========
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Abdulrahman Kinana amesema CCM inakwenda kuzungumza na Serikali kuangalia sheria ya kuzuia usafiri wa pikipiki maarufu kama bodaboda kuruhusia kubeba abiria zaidi ya mmoja (mshikaki)
Kinana amesema hayo wakati akipokelewa na Viongozi, Wanachama wa CCM na Wananchi wa Bariadi mkoa wa Simiyu, ikiwa ni mendelezo wa ziara yake ya kuangalia uhai wa chama, utekelezaji wa llani ya CCM na kuongea na Wananchi katika maeneo mbalimbali.
Una mtazamo gani juu ya kauli hii?.
Pikipiki ziwe zinavuta toroli wapakiwe watu na mizigo yao !!Hakuna shida yeyote. Kama ajali tunaona magar yanavyo pata ajali na kuuwa watu mbona serikali haizui kubeba abilia zaid ya mmoja. Kama abilia mwenyewe wamelizika acha wapebwe
Shitukeni mnatumiwa vibayaMimi mwenyewe dereva bodaboda sikubaliani na huo ujinga
Duh 🙄 !!!Moja ya vitu vinavyofanya nisiamini kama Mungu yupo ni uwepo wa wazee kama hawa pamoja na hao wanaoshangilia.
Kabisa, wanajua wananchi wamechukizwa sana na mpango wa bandari,nikama wamechanganyikiwa wanatafuta kuungwa mkono hata kwa mambo ya hovyohovyo.Bandari inawapasua kichwa
Nchi ngumu sanaHalafu kuna misukule imeshangilia na imepiga makofi ya kutosha...