Kyakashombo
Senior Member
- Oct 13, 2018
- 151
- 232
Anawatafutia Kifo! Wao Ma CCM shida Yao ni kupata kura 2025 hawajali maisha ya watu.
Akili Za kupewa unatakiwa uongeze na za kwako.
Akili Za kupewa unatakiwa uongeze na za kwako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya ndiyo madhara ya kuendelea kuwatumia wastaafu kwenye kazi zinazohitaji vijanaAsamehewe tu, alitakiwa awe katulia na wajukui huku anakunywa supu ya kuku.
Halafu anajiona yuko juu ya mamlaka kuamrisha chochote atakachoHuu ni ujuha kwenye siasa kaka yangu Kinana.
Kila siku askari wa usalama barabarani wanapambana kukomesha upakiaji wa mishikaki kwenye bodaboda.
Wewe kwa kutaka kupata wapiga kura unaamua kuwaruhusu hao bodaboda wabebe mishikaki?
Yaani unathamini kura kuliko uhai wa watanzania?
Kinana hapa umekengeuka.
Watanzania tuamke hawa ccm wamekusudia kutumaliza makusudi.
View attachment 2701108
...na wajukuu wenyewe ndo watanzania!Ukisikia siasa za maji taka ndio hizi!
Huyu mzee inaonekana 'alichobakiwa' nacho kwa sasa ni kwenda kucheza na wajukuu tu!
CCM kila kukicha mbona majanga! huku ufisadi wa DPW, huku kauli za ajabu kama hizi!
Kosa siyo la msemaji,kosa ni la hao wanaoshabikia uzuzuHuu ni ujuha kwenye siasa kaka yangu Kinana.
Kila siku askari wa usalama barabarani wanapambana kukomesha upakiaji wa mishikaki kwenye bodaboda.
Wewe kwa kutaka kupata wapiga kura unaamua kuwaruhusu hao bodaboda wabebe mishikaki?
Yaani unathamini kura kuliko uhai wa watanzania?
Kinana hapa umekengeuka.
Watanzania tuamke hawa ccm wamekusudia kutumaliza makusudi.
View attachment 2701108
Eti zitungwe sheria rafiki...kama wananchi wakiikataa ifutwe...
Uzee unampeleka pabaya sanaEti zitungwe sheria rafiki...kama wananchi wakiikataa ifutwe...
Ccm jamani haijawahi kuwa mwema kwa wananchiKosa siyo la msemaji,kosa ni la hao wanaoshabikia uzuzu
Ccm siku zote wanajiona ndiyo wenye leseni ya kuwatawala watanzania.
Kiboko ya menoMsomali tangu lini akawa na huruma na watanzania
Sijawahi hata siku moja kumwamini mtu anaitwa Kinana!Nimeshangaa kuona na kusikia Kinana akiwaambia bodaboda kuwa ataiambia mamlaka ya usimamizi usalama barabarani waondie zuio la mishkaki yaani kubeba hadi abiria 3.
Sababu kuu anasema hii itaongeza kipato kwa waendesha boda boda.
Kibaya zaidi akasema kuwa...kuna shida gani kama abiria wenyewe wametaka kubebwa hadi watatu.
Huu sio uongozi kwani wote tunafahamu jinsi boda boda zinapoteza maisha ya watu wengi.
Kiongozi asiyejali maisha ya raia huyo ni muuaji
========
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Abdulrahman Kinana amesema CCM inakwenda kuzungumza na Serikali kuangalia sheria ya kuzuia usafiri wa pikipiki maarufu kama bodaboda kuruhusia kubeba abiria zaidi ya mmoja (mshikaki)
Kinana amesema hayo wakati akipokelewa na Viongozi, Wanachama wa CCM na Wananchi wa Bariadi mkoa wa Simiyu, ikiwa ni mendelezo wa ziara yake ya kuangalia uhai wa chama, utekelezaji wa llani ya CCM na kuongea na Wananchi katika maeneo mbalimbali.
Una mtazamo gani juu ya kauli hii?.