Kinana kuongea na mamlaka bodaboda wabebe abiria zaidi ya 1 (mshikaki)

Kinana kuongea na mamlaka bodaboda wabebe abiria zaidi ya 1 (mshikaki)

Anawatafutia Kifo! Wao Ma CCM shida Yao ni kupata kura 2025 hawajali maisha ya watu.
Akili Za kupewa unatakiwa uongeze na za kwako.
 
Huyu pimbi atasababisha ajali ziongezeke pia vipato vya bodaboda vipungue kwa sababu itamlazimu mwendesha bodaboda akae kipindi kirefu kupata abiria hata kama itakuwa ni option ya abiria kupanda single au mshikaki
 
Huu ni ujuha kwenye siasa kaka yangu Kinana.

Kila siku askari wa usalama barabarani wanapambana kukomesha upakiaji wa mishikaki kwenye bodaboda.

Wewe kwa kutaka kupata wapiga kura unaamua kuwaruhusu hao bodaboda wabebe mishikaki?

Yaani unathamini kura kuliko uhai wa watanzania?
Kinana hapa umekengeuka.

Watanzania tuamke hawa ccm wamekusudia kutumaliza makusudi.
 
Mzeee wa🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘
 
Huu ni ujuha kwenye siasa kaka yangu Kinana.

Kila siku askari wa usalama barabarani wanapambana kukomesha upakiaji wa mishikaki kwenye bodaboda.

Wewe kwa kutaka kupata wapiga kura unaamua kuwaruhusu hao bodaboda wabebe mishikaki?

Yaani unathamini kura kuliko uhai wa watanzania?
Kinana hapa umekengeuka.

Watanzania tuamke hawa ccm wamekusudia kutumaliza makusudi.
View attachment 2701108
Halafu anajiona yuko juu ya mamlaka kuamrisha chochote atakacho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ni ujuha kwenye siasa kaka yangu Kinana.

Kila siku askari wa usalama barabarani wanapambana kukomesha upakiaji wa mishikaki kwenye bodaboda.

Wewe kwa kutaka kupata wapiga kura unaamua kuwaruhusu hao bodaboda wabebe mishikaki?

Yaani unathamini kura kuliko uhai wa watanzania?
Kinana hapa umekengeuka.

Watanzania tuamke hawa ccm wamekusudia kutumaliza makusudi.
View attachment 2701108
Kosa siyo la msemaji,kosa ni la hao wanaoshabikia uzuzu
 
Huyu mzee akapumzike kwani 'upstairs' kumeanza kuyumba mno mno hadi kuongea hizi pumba!
CCM ni janga la Taifa wajameni!
 
Nimeshangaa kuona na kusikia Kinana akiwaambia bodaboda kuwa ataiambia mamlaka ya usimamizi usalama barabarani waondie zuio la mishkaki yaani kubeba hadi abiria 3.

Sababu kuu anasema hii itaongeza kipato kwa waendesha boda boda.

Kibaya zaidi akasema kuwa...kuna shida gani kama abiria wenyewe wametaka kubebwa hadi watatu.

Huu sio uongozi kwani wote tunafahamu jinsi boda boda zinapoteza maisha ya watu wengi.

Kiongozi asiyejali maisha ya raia huyo ni muuaji

========

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Abdulrahman Kinana amesema CCM inakwenda kuzungumza na Serikali kuangalia sheria ya kuzuia usafiri wa pikipiki maarufu kama bodaboda kuruhusia kubeba abiria zaidi ya mmoja (mshikaki)

Kinana amesema hayo wakati akipokelewa na Viongozi, Wanachama wa CCM na Wananchi wa Bariadi mkoa wa Simiyu, ikiwa ni mendelezo wa ziara yake ya kuangalia uhai wa chama, utekelezaji wa llani ya CCM na kuongea na Wananchi katika maeneo mbalimbali.

Una mtazamo gani juu ya kauli hii?.
Sijawahi hata siku moja kumwamini mtu anaitwa Kinana!
 
Back
Top Bottom