Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lema alitoa point muhimu san lkn alishia kushambuliwa na uvccm. Vijana wa bodaboda kaz kwenu... CCM mbele kwa mbeleee 🎶🎶🎶Nimeshangaa kuona na kusikia Kinana akiwaambia bodaboda kuwa ataiambia mamlaka ya usimamizi usalama barabarani waondie zuio la mishkaki yaani kubeba hadi abiria 3.
Una mtazamo gani juu ya kauli hii?.
Watu hawataki kukubali kuwa muda umewatupa mkono.
Cjaona shida ya kinana mm Kama ombi Hilo limeletwa na waendesha boda boda sioni tatizo kbsaNimeshangaa kuona na kusikia Kinana akiwaambia bodaboda kuwa ataiambia mamlaka ya usimamizi usalama barabarani waondie zuio la mishkaki yaani kubeba hadi abiria 3.
Sababu kuu anasema hii itaongeza kipato kwa waendesha boda boda.
Kibaya zaidi akasema kuwa...kuna shida gani kama abiria wenyewe wametaka kubebwa hadi watatu.
Huu sio uongozi kwani wote tunafahamu jinsi boda boda zinapoteza maisha ya watu wengi.
Kiongozi asiyejali maisha ya raia huyo ni muuaji
========
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Abdulrahman Kinana amesema CCM inakwenda kuzungumza na Serikali kuangalia sheria ya kuzuia usafiri wa pikipiki maarufu kama bodaboda kuruhusia kubeba abiria zaidi ya mmoja (mshikaki)
Kinana amesema hayo wakati akipokelewa na Viongozi, Wanachama wa CCM na Wananchi wa Bariadi mkoa wa Simiyu, ikiwa ni mendelezo wa ziara yake ya kuangalia uhai wa chama, utekelezaji wa llani ya CCM na kuongea na Wananchi katika maeneo mbalimbali.
Una mtazamo gani juu ya kauli hii?.
Huyu Kinana allegeance yake iko Somalia na sio Tanzania!!Nimeshangaa kuona na kusikia Kinana akiwaambia bodaboda kuwa ataiambia mamlaka ya usimamizi usalama barabarani waondie zuio la mishkaki yaani kubeba hadi abiria 3.
Sababu kuu anasema hii itaongeza kipato kwa waendesha boda boda.
Kibaya zaidi akasema kuwa...kuna shida gani kama abiria wenyewe wametaka kubebwa hadi watatu.
Huu sio uongozi kwani wote tunafahamu jinsi boda boda zinapoteza maisha ya watu wengi.
Kiongozi asiyejali maisha ya raia huyo ni muuaji
========
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Abdulrahman Kinana amesema CCM inakwenda kuzungumza na Serikali kuangalia sheria ya kuzuia usafiri wa pikipiki maarufu kama bodaboda kuruhusia kubeba abiria zaidi ya mmoja (mshikaki)
Kinana amesema hayo wakati akipokelewa na Viongozi, Wanachama wa CCM na Wananchi wa Bariadi mkoa wa Simiyu, ikiwa ni mendelezo wa ziara yake ya kuangalia uhai wa chama, utekelezaji wa llani ya CCM na kuongea na Wananchi katika maeneo mbalimbali.
Una mtazamo gani juu ya kauli hii?.
Kuna sababu za msingi zinazoangaliwa katika kutunga sheria, hasa zinazohusu usalama.Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesema kitaishauri Serikali iwasikilize Wananchi inapotaka kutengeneza sheria mbalimbali zinazogusa maisha yao ili kupunguza migogoro na kero mbalimbali.
Akizungumza leo Julai 27, 2023 baada ya kupokelewa Wilayani Bariadi Mkoani Simiyu, Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana amesema upo umuhimu wa kuangaliwa upya kwa sheria zinazowaumiza Wananchi kama Ile ya usafiri wa bodaboda ambayo kwa sasa inakataza kubeba abiria zaidi ya mmoja.
“CCM inakwenda kuzungumza na Serikali kuiangalia sheria ya usafiri wa pikipiki (bodaboda) ili iruhusu kubeba abiria zaidi ya mmoja” ——— Kinana.
My Take
Wakati wenzenu wanabeba bandari nyinyi mtabeba abiria watatu
Huyu akili zinayeyukaNimeshangaa kuona na kusikia Kinana akiwaambia bodaboda kuwa ataiambia mamlaka ya usimamizi usalama barabarani waondie zuio la mishkaki yaani kubeba hadi abiria 3.
Sababu kuu anasema hii itaongeza kipato kwa waendesha boda boda.
Kibaya zaidi akasema kuwa...kuna shida gani kama abiria wenyewe wametaka kubebwa hadi watatu.
Huu sio uongozi kwani wote tunafahamu jinsi boda boda zinapoteza maisha ya watu wengi.
Kiongozi asiyejali maisha ya raia huyo ni muuaji
========
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Abdulrahman Kinana amesema CCM inakwenda kuzungumza na Serikali kuangalia sheria ya kuzuia usafiri wa pikipiki maarufu kama bodaboda kuruhusia kubeba abiria zaidi ya mmoja (mshikaki)
Kinana amesema hayo wakati akipokelewa na Viongozi, Wanachama wa CCM na Wananchi wa Bariadi mkoa wa Simiyu, ikiwa ni mendelezo wa ziara yake ya kuangalia uhai wa chama, utekelezaji wa llani ya CCM na kuongea na Wananchi katika maeneo mbalimbali.
Una mtazamo gani juu ya kauli hii?.
Dah, hii kali, ingawa inaweza kuwa na ukweli ndani yakeNilishasema na nitasema tena kwamba kiongozi mwenye umri uliokwenda ataongoza watu wake kwenda huko huko anakokwenda yeye, yaani kaburini.
[emoji1787][emoji1787]Nilishasema na nitasema tena kwamba kiongozi mwenye umri uliokwenda ataongoza watu wake kwenda huko huko anakokwenda yeye, yaani kaburini.