Kinana, Mbowe, Vuai, Mnyika, Chenge na Heche wajifungia kwa vikao vya saa 4 Courtyard

Kinana, Mbowe, Vuai, Mnyika, Chenge na Heche wajifungia kwa vikao vya saa 4 Courtyard

Ndio màana mazoezi kila kona!!
Kumbe wanajua!!
Sifa kuu ya HORSE ni uwezo wake wa kunusa harufu ya ......inayotokea mbali.

Pana unabii wa kidunia juu ya mwaka mpya wa kiyahudi unaoquote Oct Hadi march 2023.

Mwaka ujao patakuwa na ......halisi ktk mataifa mbalimbali na Si TETESI tu kama ilivo sasa.

Mmoja wa waonaji ameona kundi la watu wakikimbia naye akiwemo amebeba mtoto mgongoni na wanashambuliwa Kutoka JUU na maadui Kutoka nje.

Tuendelee kuomba Kila mmoja Kwa nafasi yake Ili Mungu atuepushe nafsi zetu tusiangamie, maana kuzuia ni ngumu sababu hayo yameruhusiwa yaje duniani baada ya muhuri wa nne kufunguliwa sawasawa na kitabu Cha UFUNUO.

Mwizi azidi kuiba, Mwovu aongeze UOVU, bt Mtakatifu azidi kujitakasa.

Ameeeen.
 
KWAO NI KUBORESHA MAZINGIRA YA SIASA.. SIO MAISHA YA MTANZANIA...

LILE SWALI MLIKUWA MNAULIZA WALE AKINA ZITO NA MBOWE MBONA KIMYA... HILI NDILO JIBU...

MAGUFULI ALIWANYIMA MAZINGIRA YA KUFANYA SIASA NA KULA PESA ZA BURE... SAMIA KAWAPA..
 
Sifa kuu ya HORSE ni uwezo wake wa kunusa harufu ya ......inayotokea mbali.

Pana unabii wa kidunia juu ya mwaka mpya wa kiyahudi unaoquote Oct Hadi march 2023.

Mwaka ujao patakuwa na ......halisi ktk mataifa mbalimbali na Si TETESI tu kama ilivo sasa.

Mmoja wa waonaji ameona kundi la watu wakikimbia naye akiwemo amebeba mtoto mgongoni na wanashambuliwa Kutoka JUU na maadui Kutoka nje.

Tuendelee kuomba Kila mmoja Kwa nafasi yake Ili Mungu atuepushe nafsi zetu tusiangamie, maana kuzuia ni ngumu sababu hayo yameruhusiwa yaje duniani baada ya muhuri wa nne kufunguliwa sawasawa na kitabu Cha UFUNUO.

Mwizi azidi kuiba, Mwovu aongeze UOVU, bt Mtakatifu azidi kujitakasa.

Ameeeen.
Screenshot_20221105-123406_Chrome.jpg

Bibi comes back to power, coincidence? I don't think so..
 
Sifa kuu ya HORSE ni uwezo wake wa kunusa harufu ya ......inayotokea mbali.

Pana unabii wa kidunia juu ya mwaka mpya wa kiyahudi unaoquote Oct Hadi march 2023.

Mwaka ujao patakuwa na ......halisi ktk mataifa mbalimbali na Si TETESI tu kama ilivo sasa.

Mmoja wa waonaji ameona kundi la watu wakikimbia naye akiwemo amebeba mtoto mgongoni na wanashambuliwa Kutoka JUU na maadui Kutoka nje.

Tuendelee kuomba Kila mmoja Kwa nafasi yake Ili Mungu atuepushe nafsi zetu tusiangamie, maana kuzuia ni ngumu sababu hayo yameruhusiwa yaje duniani baada ya muhuri wa nne kufunguliwa sawasawa na kitabu Cha UFUNUO.

Mwizi azidi kuiba, Mwovu aongeze UOVU, bt Mtakatifu azidi kujitakasa.

Ameeeen.
Je ni kwasababu hatukuchagua upande!!?

Kule wanakopigana!?
 
Wanajadiliana jinsi ya kugawana buyu la asali...

Wanasiasa ni wabinafsi sana... Kinachojadiliwa sio kwa niaba ya wananchi bali jinsi gani watashea kutafuna mali za Taifa..

Ukiniambia au Ukinionyesha Mbowe au Kinana kama wana uchungu wananchi, na wanajadiliana kwa manufaa ya wananchi...Nitambea kwa miguu Dar to kigoma
 
KWAO NI KUBORESHA MAZINGIRA YA SIASA.. SIO MAISHA YA MTANZANIA...

LILE SWALI MLIKUWA MNAULIZA WALE AKINA ZITO NA MBOWE MBONA KIMYA... HILI NDILO JIBU...

MAGUFULI ALIWANYIMA MAZINGIRA YA KUFANYA SIASA NA KULA PESA ZA BURE... SAMIA KAWAPA..
Zito ndo anapewa na s100 baada ya Magu kumpotezea.

Ogopa sana CDM chama kilichokataa ruzuku ya dhuluma wakati ambao chama kina uhitaji mkubwa wa pesa.
 
Back
Top Bottom