Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Katiba mpya ni lazima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba kinana ni proffesional wa siasa Tanzania, basi kama nchi bado tuna safari ndefu sana ikiwa huyu pembe za ndovu ndio mwalimu wa siasa, atlist ungesema anafundisha ufisadi na ukwapuaji kidogo ningekuelewaKinana atakuwa anawafundisha siasa...waachane na harakati za mahakamani..wajue siasa..
Wajue Ku compromise madogo ili wapate makubwa...
Siasa sio kushinda Kesi mahakamani
Kule Zanzibar kunakosemwa (na CCM) kwamba siyo nchi, tayari kikosi kazi kimeshatoa sifa zake kwa aliowateua.Vyama vingine si vimechagua upande ule wa kikosi kazi
Kwa ivo kama kuna hali ngumu ndiyo shughuli za kutafuta maelewano hazitakiwi ziwepo?Mkutano mkubwa kuongelea siasa eti maelewano wakati nchi ina hali ngumu
Hivi CHADEMA kwani wanaongoza nchi hadi wajadili kutuvusha? Bunge na serikali si ndiyo zinawajibu wa kutuvusha, sasa CHADEMA inaingiaje?Hawajadili kutuvusha bali wanawaza matumbo yao tu
Umejuaje kama wanaahidiwa hela?Hapo wanaahidiwa hela tu hakuna jipya
Kwani kikao na mkutano wa hadhara ni sawa??Unafanya siri kwani vita hii
Siasa siyo kupora uchaguzi.Kinana atakuwa anawafundisha siasa...waachane na harakati za mahakamani..wajue siasa..
Wajue Ku compromise madogo ili wapate makubwa...
Siasa sio kushinda Kesi mahakamani
Vijana wajinga wajinga hata siasa hawazijui wao mkombozi wa nchi ni mheshimiwa Hayati John Pombe Magufuri.Kuna siku CCM, CDM na ACT wataamka watajikuta wapo out of touch na wananchi.
Hawa vijana chini ya 30 watakuja kubadilisha siasa za hii nchi.
Hii ni mpaka pale baby boomers na vijana wa mzee mchonga wote wafutike kwenye uso wa nchii hii na siasa zake.Kuna siku CCM, CDM na ACT wataamka watajikuta wapo out of touch na wananchi.
Hawa vijana chini ya 30 watakuja kubadilisha siasa za hii nchi.
2026.Katiba mpya ni lazima
Mungu hawezi kusimamia utapeli hata siku moja.HONGERA KWA MAJADILIANO MUNGU AYASIMAMIE YAPATE MUAFAKA
Big No2026.
Katiba mpya ni muhimu sababu matatizo tunayoyapitia kama Nchi, maji, mafuta, mfumuko wa Bei nk nk ni ya KIMFUMO hivyo ikiandikwa na kupatikana, itatibu hayo yote.Mkutano mkubwa kuongelea siasa eti maelewano wakati nchi ina hali ngumu
Hawajadili kutuvusha bali wanawaza matumbo yao tu
Hapo wanaahidiwa hela tu hakuna jipya
Unafanya siri kwani vita hii
Kinana atakuwa anawafundisha siasa...waachane na harakati za mahakamani..wajue siasa..
Wajue Ku compromise madogo ili wapate makubwa...
Siasa sio kushinda Kesi mahakamani
Kikosi kazi Cha magumashiWatu walijua baada ya kikosi kazi haya majadiliano hayapo, la hasha! Yanaendelea kama kawaida na sasa yapo hatua nzuri.”
Hivyo vikao vyao havina manufaa kwa maisha ya mtanzania wa kawaida.
Ugumu wa maisha uko pale pale.
Hii ya wabunge 19 wameshtakiwa?
KWAO NI KUBORESHA MAZINGIRA YA SIASA.. SIO MAISHA YA MTANZANIA...
LILE SWALI MLIKUWA MNAULIZA WALE AKINA ZITO NA MBOWE MBONA KIMYA... HILI NDILO JIBU...
MAGUFULI ALIWANYIMA MAZINGIRA YA KUFANYA SIASA NA KULA PESA ZA BURE... SAMIA KAWAPA..