gigabyte
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,717
- 6,465
Kikao nicha siri wewe hayo yakugawana buyu la asali umeyatoa wapi au nyie ndo wale msiopenda mambo mema nchi hii.Wanajadiliana jinsi ya kugawana buyu la asali...
Wanasiasa ni wabinafsi sana... Kinachojadiliwa sio kwa niaba ya wananchi bali jinsi gani watashea kutafuna mali za Taifa..
Ukiniambia au Ukinionyesha Mbowe au Kinana kama wana uchungu wananchi, na wanajadiliana kwa manufaa ya wananchi...Nitambea kwa miguu Dar to kigoma
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app