Chenge ndo mwandishi wa KATIBA ya sasa na Sheria zake,Hilo la Chenge na rasimu ya Warioba kuna uhusiano gani?
Hivyo umuhimu na ueledi wake ktk mambo hayo Si wa kutiliwa shaka.
Magu alinywea alipoambiwa wazi kuwa hayupo na hajazaliwa wa kumfunga Kwa Katiba na Sheria alizoandika mwenyewe.