Kinana, Mbowe, Vuai, Mnyika, Chenge na Heche wajifungia kwa vikao vya saa 4 Courtyard

KAMA NI HIVYO NI SAWA ILA VIKAO HIVYO HIVYO WAKIKAA NA ZITO MNAANZA MATUSI, MFANO ANGEKUWA NI ZITTO UNGEONA MITUSI HAPA AU UNGESIKIA CCM B HUYOO,CJUI MSALITI NK, MKOMAE MUACHE UTOTO

Chama Cha upinzani Ni kimoja vingine Ni matawi ya ccm.
 

Uwe unaongea hivi kila siku utafika mbali.
 
Kinana atakuwa anawafundisha siasa...waachane na harakati za mahakamani..wajue siasa..
Wajue Ku compromise madogo ili wapate makubwa...
Siasa sio kushinda Kesi mahakamani

Lisu kawapotosha kupenda mahamani na uana harakati.
 
KAMA NI HIVYO NI SAWA ILA VIKAO HIVYO HIVYO WAKIKAA NA ZITO MNAANZA MATUSI, MFANO ANGEKUWA NI ZITTO UNGEONA MITUSI HAPA AU UNGESIKIA CCM B HUYOO,CJUI MSALITI NK, MKOMAE MUACHE UTOTO
Zitto anakosolewa siyo kwa kukaa na CCM, bali hukaa wakifanya nini?

Mbowe alikaribishwa na Magufuli kwenye mkutano Mwanza, alichokisema kinafanana na alichokisema Zitto alipokaribishwa na Magufuli akiwa Kigoma?

Umeona mwaka huu alichokisema Zitto alipokaribishwa na Rais Samia Suluhu Pale Kigoma??
 
Wahuni waliyoshika ccm wanatafuta namna ya kuua wimbi na mwenendo wa kimapinduzi kwenye fikra za watanzania uliyorejeshwa na magufuli.
Hebu fikiri ccm wanafanya mazungumzo gani ya siri na chama cha kiliberali na cha wapinga maendeleo kama chadema. Isitoshe ccm iliigaragaza chadema kabisa kwenye uchaguzi hivyo kuonesha wananchi wanaunga mkono mwendo wa kushoto wa kimapinduzi, mwendo wa asili wa chama cha mapinduzi chama cha azimio la arudha.
Kama ni maswala ya katiba chadema ni mawakala wa kuua muungano na hawataki kipengele chenye kusema tanzania ni nchi ya kijamaa kwa maana ni nchi inayojenga usawa.
 
allen killewela>siasa zipo za aina tatu duniani, kuna siasa za mlengo wa kati,# kuna siasa za mlengo wa kushoto kupinga kila kitu,na kuna siasa za mlengo wa kulia kuunga mkono kila kitu!Zitto anafanya siasa za mlengo wa kati,hawezi kusimama jukwaani kuzungumza mnavyotaka nyinyi chadema!
 
Umeshaondoka Ulaya??!
Mkutano mkubwa kuongelea siasa eti maelewano wakati nchi ina hali ngumu

Hawajadili kutuvusha bali wanawaza matumbo yao tu
Hapo wanaahidiwa hela tu hakuna jipya
Unafanya siri kwani vita hii
 
Mataga umekoroga, wewe mwenyewe huewezi elewa hiki ulichoandika.
Mambo ya chini chini kwenye issue isiyotaka usiri kama uhuru wa siasa itakuja kuzaa kashfa! Usikute kuna maslahi ya watu yanajadiliwa kabla ya makubaliano kwenda public!
 
Kama kwenye karavati kikao yupo heche Sina wasiwasi na hicho kikao
 
Kinana atakuwa anawafundisha siasa...waachane na harakati za mahakamani..wajue siasa..
Wajue Ku compromise madogo ili wapate makubwa...
Siasa sio kushinda Kesi mahakamani
Kama ni mwalimu mzuri wa SIASA, mbona hakumfundisha JPM, badala yake akapelekwa KIZIMBANI na KUHUKUMIWA?
 
Makamu Mwenyekiti ndio humuwakilisha Rais kwenye vikao vingi maana muda mwingi yupo busy .
Utetezi dhaifu sana huu. Rais anayejitambua hawezi kuwa too busy kiasi akashindwa kutenga muda wa kukaa na wenyeviti wa vyama vya upinzani na kujadili maswala muhimu ya mustakabali wa taifa hili.
 
Hivi lile jengo mlilosema mmejenga, mlianza ujenzi lini?
 
Kinana atakuwa anawafundisha siasa...waachane na harakati za mahakamani..wajue siasa..
Wajue Ku compromise madogo ili wapate makubwa...
Siasa sio kushinda Kesi mahakamani
Kinana ana siasa gani za kufundisha watu nchi hii?

Wewe una uhakika gani kwamba wana compromise madogo na kupata makubwa na isiwe kinyume chake, wakubali ku compromise makubwa wapate madogo?

Kushinda kesi mahakamani kumeingiaje kwenye hayo majadiliano?

Watu mnajiandikia tu kama vile mmeshikwa makalio.
 
Kuhusu aina za siasa inaonesha hujui kitu kuhusu jambo hilo. Kushoto ni Ujamaa, kulia ni Ubepari na kati ni nusu kwa nusu.
 
Kinana atakuwa anawafundisha siasa...waachane na harakati za mahakamani..wajue siasa..
Wajue Ku compromise madogo ili wapate makubwa...
Siasa sio kushinda Kesi mahakamani
Mkuu kesi ilifunguliwa na waliovuliwa uanachama how Tena wao ndio wameenda mahakamani?

Kuhusu compromise mbona zaidi ya mwaka Sasa hawafanyi rallies huko sio compromising na utawala uliopo?

Chadema wanajua sana compromise walifanya hivyo tokea enzi za Jk walipata Nini? Wakamnyeyekea JPM na kuomba maridhiano Mwanza walipata Nini?

Nadhani Cha muhimu wanachotaka Samia na Mbowe ni HAKI na USAWA kwenye uwanja wa siasa that's all sio kunyenyekeana mbona Ruto hakunyenyekea na amekua Rais? Odinga aliyecompromise amepata Nini?

HAKI HAKI HAKI is the politics we want sio compromising na kutegemea huruma za mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…