KINANA: Rais Samia anaongea polepole ila matendo yake ni mazito

KINANA: Rais Samia anaongea polepole ila matendo yake ni mazito

View attachment 2309356
Chama Cha Mapinduzi kimesema licha ya Rais samia suluhu Hassan huzungumza polepole lakini vitendo vyake katika utekelezaji wa sera za maendeleo zimekuwa motomoto.


Pia, serikali yake kwa muda mfupi imeaminika na kuheshimika kikanda na kimataifa.


Matamshi hayo yametamkwa jana na Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana alipokuwa katika Manispaa ya jiji la Mbeya.


Kinana alisema Rais Samia amekuwa kiongozi wa mfano ambaye kwa kipindi kifupi cha mwaka mmoja amekubalika katika medani za kidiplomasia huku akiaminiwa na taasisi za kimataifa.


Akizungumzia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya mwaka 2020-2025, alisema serikali yake imekuwa ikitekeleza wajibu hatua kwa hatua na kuimarika kwa huduma za jamii.


"Rais Samia kiongozi mchapakazi asiye na majivuno. Kila uendapo utakutana na maendeleo ambayo hayakutegemewa yatokee haraka. Anazungumza polepole lakini vitendo ni vizito" Alisema Kinana.


Aidha, Makamu huyo Mwenyekiti alisema uongozi bora hupimaa kwa kutoa matokeo chanya ambayo kwa bahati nzuei kila sekta imepatiwa fedha za kufanikisha miradi ya maendeleo.


"Kila eneo limegushwa katika maendeleo. Sekta za Maji,Afya ,elimu zimspatiwa fedha kusukuma mbele kwa muktadha wa kupunguza kero na kumaliza changamoto sugu "Alisema Kinana


Hata hivyo kiongozi huyo aliwataka wanawake wengi zaidi kujitokeza katika kuwania nafasi za uongozi ili kukamilisha ndoto zao na kusema wanawake ni waaminifu na wasimamizi makini.


=== ===
View attachment 2309356
Chama Cha Mapinduzi kimesema licha ya Rais samia suluhu Hassan huzungumza polepole lakini vitendo vyake katika utekelezaji wa sera za maendeleo zimekuwa motomoto.


Pia, serikali yake kwa muda mfupi imeaminika na kuheshimika kikanda na kimataifa.


Matamshi hayo yametamkwa jana na Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana alipokuwa katika Manispaa ya jiji la Mbeya.


Kinana alisema Rais Samia amekuwa kiongozi wa mfano ambaye kwa kipindi kifupi cha mwaka mmoja amekubalika katika medani za kidiplomasia huku akiaminiwa na taasisi za kimataifa.


Akizungumzia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya mwaka 2020-2025, alisema serikali yake imekuwa ikitekeleza wajibu hatua kwa hatua na kuimarika kwa huduma za jamii.


"Rais Samia kiongozi mchapakazi asiye na majivuno. Kila uendapo utakutana na maendeleo ambayo hayakutegemewa yatokee haraka. Anazungumza polepole lakini vitendo ni vizito" Alisema Kinana.


Aidha, Makamu huyo Mwenyekiti alisema uongozi bora hupimaa kwa kutoa matokeo chanya ambayo kwa bahati nzuei kila sekta imepatiwa fedha za kufanikisha miradi ya maendeleo.


"Kila eneo limegushwa katika maendeleo. Sekta za Maji,Afya ,elimu zimspatiwa fedha kusukuma mbele kwa muktadha wa kupunguza kero na kumaliza changamoto sugu "Alisema Kinana


Hata hivyo kiongozi huyo aliwataka wanawake wengi zaidi kujitokeza katika kuwania nafasi za uongozi ili kukamilisha ndoto zao na kusema wanawake ni waaminifu na wasimamizi makini.


=== ===

KINANA,Rais Samia anaongea polepole haisaidii Hali ya maisha imekuwa ngumu Ndio sababu kila unakokwenda unapokelewa na mabango. Samia hauziki Mkuu.​

 
Unaona ulivyo juha sasa unaweka miradi ya maendeleo iliyo kamilika na ambayo ipo mbioni kuanza halafu unawabeza watumishi kwakusema ni kakikundi kadogo? Unadhani samia huwa anakaguliwa afya yake na unao sema ni watanzania wengi wenye umuhimu kuliko wafanyakazi? Bila shaka hukaguliwa kaguliwa na hilo kundi dogo unalolibeza.

KANUSHO. SIJAWAHI KUWA SUKUMA GANG NA SITA WAHI KUJA KUWA. SIWEZI KUSHABIKIA UTAWALA ULIOKUWA KANDAMIZI HATA KIDOGO LICHA YA MAZURI UTAWALA HUO ULIYO YAFANYA.
Ulitaka niweke nini kubwa jinga? Au huelewi hata neno kuwa paralysed?

Unadhani Afya ya Rais inakaguliwa na wajinga wajinga kama wewe? Kamfufueni Mwendazake aje awaongezee..

Ila Samia Ameongeza 23%,amepunguza Paye kwa 1%,amelipa malimbikizo,amelipa wastaafu,amelipa walikofukuzwa Kazi Kwa visingizio vya vyeti feki,amewarudisha std seven kazini walifukuzwa na Mwendazake,amefuta Value Retention Fee na mwisho amepandisha madaraja watumishi..

Yote hayo kafanya kwa mwaka mmja,nani unadhani kawasaidia watumishi?
 
Ulitaka niweke nini kubwa jinga? Au huelewi hata neno kuwa paralysed?

Unadhani Afya ya Rais inakaguliwa na wajinga wajinga kama wewe? Kamfufueni Mwendazake aje awaongezee..

Ila Samia Ameongeza 23%,amepunguza Paye kwa 1%,amelipa malimbikizo,amelipa wastaafu,amelipa walikofukuzwa Kazi Kwa visingizio vya vyeti feki,amewarudisha std seven kazini walifukuzwa na Mwendazake,amefuta Value Retention Fee na mwisho amepandisha madaraja watumishi..

Yote hayo kafanya kwa mwaka mmja,nani unadhani kawasaidia watumishi?
23% Samia aliyoongeza bora Angelica SGR kipande cha Tabora kwenda kigoma value for money ingeonekana.
Kwa kifupi Maza ni kama karani ofisini anayeelekezwa cha kufanya Ili ikifika Jioni anaambiwa funga Ofisi.
 
Ulitaka niweke nini kubwa jinga? Au huelewi hata neno kuwa paralysed?

Unadhani Afya ya Rais inakaguliwa na wajinga wajinga kama wewe? Kamfufueni Mwendazake aje awaongezee..

Ila Samia Ameongeza 23%,amepunguza Paye kwa 1%,amelipa malimbikizo,amelipa wastaafu,amelipa walikofukuzwa Kazi Kwa visingizio vya vyeti feki,amewarudisha std seven kazini walifukuzwa na Mwendazake,amefuta Value Retention Fee na mwisho amepandisha madaraja watumishi..

Yote hayo kafanya kwa mwaka mmja,nani unadhani kawasaidia watumishi?
Magufuli has nothing to do na kubeza kundi la watumishi. Wape heshima yao na sio kusema hawana umuhimu. Ishu yangu mi na wewe ni kuona watumishi ni kikundi kischo na umuhimu futa huo ujinga kichwani. Na ninaona magufuli kakukaa kichwani kama ulimpenda sana mpitie mama jane ukapige deki kwenye kaburi lake.
 
Magufuli has nothing to do na kubeza kundi la watumishi. Wape heshima yao na sio kusema hawana umuhimu. Ishu yangu mi na wewe ni kuona watumishi ni kikundi kischo na umuhimu futa huo ujinga kichwani. Na ninaona magufuli kakukaa kichwani kama ulimpenda sana mpitie mama jane ukapige deki kwenye kaburi lake.
Nani anabeza? Mwendazake ndio aliwabeza kwa sababu aliwaambia live kama hawataki waache Kazi.Serikali hiwezi acha kujenga sgr Ili kuwaongezea salary..

Wewe ndio unaebeza jitihadi za Serikali ya awamu ya 6 licha ya kufanya yote hayo nilivyokueleza hapo juu.
 
Hakuna kitu chochote cha maana alichokifanya zaidi ya tozo, nyongeza fake ya mishahara na kusafiri.

Utawala huu ndio tunashuhudia ugumu wa maisha ambao haujawahi kushuhudiwa. Gharama ya maisha kupanda kwenye kila kitu.


Hii nchi haijapata rais bado.
Unapiga haya makelele ya maumivu ukiwa Dar tena mbele ya computer yako!, tembea huko mikoani uone mabadiliko ya maana yanayofanyika nchi nzima.
 
23% Samia aliyoongeza bora Angelica SGR kipande cha Tabora kwenda kigoma value for money ingeonekana.
Kwa kifupi Maza ni kama karani ofisini anayeelekezwa cha kufanya Ili ikifika Jioni anaambiwa funga Ofisi.
Kuongeza mshahara sio swala la kusaidia watumishi tuu bali pia kuchepua uchumi..

Wewe as individual utaona haina maana ila hiyo pesa kwa ujumla wake ni zaidi ya Til.2.5 zitaingia kwenye uchumi hivyo ku stimulate consumption na investments..

Uchumi sio sgr tuu.
 
Nani anabeza? Mwendazake ndio aliwabeza kwa sababu aliwaambia live kama hawataki waache Kazi.Serikali hiwezi acha kujenga sgr Ili kuwaongezea salary..

Wewe ndio unaebeza jitihadi za Serikali ya awamu ya 6 licha ya kufanya yote hayo nilivyokueleza hapo juu.
Bila shaka unasumbuliwa na tatizo la loss of memory
Screenshot_20220731-081725.png
 
Unapiga haya makelele ya maumivu ukiwa Dar tena mbele ya computer yako!, tembea huko mikoani uone mabadiliko ya maana yanayofanyika nchi nzima.
Wewe punguani hayo mabadiliko gani ambayo unashindwa kuyataja hadi nitembee niyaone?

Acha kujifanya mke wangu kujua napatikana wapi, wewe mke wangu tu ndio anajua ratiba zangu na location yangu, kama unataka nikuoe wewe sema
 
Yataje hayo mabadiliko? Hata changu doa wamepanda bei. Hata dagaa hawanunuliki.
Unawaza maendeleo ya kweli kwa kuongelea bei za changu doa!, utakuwa kijana mdogo fulani hivi.

Nenda zilipo bandari zetu utazame yanayofanyika huko, pitia viwanja vya ndege vyote utazame yaliyofanyika huko.

Nenda Dodoma kuna mapinduzi ya usimamiaji wa kilimo yanayofanyika mahali pale.
 
Kuongeza mshahara sio swala la kusaidia watumishi tuu bali pia kuchepua uchumi..

Wewe as individual utaona haina maana ila hiyo pesa kwa ujumla wake ni zaidi ya Til.2.5 zitaingia kwenye uchumi hivyo ku stimulate consumption na investments..

Uchumi sio sgr tuu.
Ukimuona mtu mwenye akili timamu anaitetea serikali ya awamu ya sita ujue anakula na kulala bure .
 
Unawaza maendeleo ya kweli kwa kuongelea bei za changu doa!, utakuwa kijana mdogo fulani hivi.

Nenda zilipo bandari zetu utazame yanayofanyika huko, pitia viwanja vya ndege vyote utazame yaliyofanyika huko.

Nenda Dodoma kuna mapinduzi ya usimamiaji wa kilimo yanayofanyika mahali pale.
Mnamtetea sana Hata mume wake anawashangaa kwa sababu anamfahamu uwezo wake .
 
Ila wanasiasa Huwa hawaoni ugumu wa maisha ya watu hatu tuandamane?

Walamba Asali wakubwa ninyi.
Yakiwagonga wao ndio utasikia hadi clip wakifoka. Magu aliwakanyagia wakaanza hadi kumsema kwenye simu. Ukiona watu wenye skendo nzito kwenye nchi kama kina Kinana wanakusifia ujue nchi imegeuka shamba la bibi. Na rais aliyepo hatoshi.
 
Wewe punguani hayo mabadiliko gani ambayo unashindwa kuyataja hadi nitembee niyaone?

Acha kujifanya mke wangu kujua napatikana wapi, wewe mke wangu tu ndio anajua ratiba zangu na location yangu, kama unataka nikuoe wewe sema
Povu jiiingi unachokiongea hakieleweki. Tembea TZ nzima uone yanayofanyika usiishie kuandika ukiwa mbele ya computer yako.

Katazame ujenzi wa bandari zote mwambao, katazame ujenzi wa viwanja vya ndege kila sehemu, tazama kilimo kinavyofanyiwa mapinduzi nchi nzima.
 
Mnamtetea sana Hata mume wake anawashangaa kwa sababu anamfahamu uwezo wake .
Tatizo lenu ni hili hili kila siku, mfumo dume umeota mizizi ndani kabisa ya damu hivyo hata akifanya maajabu kiasi gani mnamtazama kama mwanamke kwanza na sio kama mtanzania mwenye uwezo.

Hili ni tatizo la akili zaidi, na litapatiwa ufumbuzi kadri dawa inavyopatikana.
 
Hatukani bali anaonyesha utofauti.Kinana sio mnafiki na yeye ni shahidi kote alikopita amezindua miradi na kuweka Mawe ya msingi na amejionea kiuhalisia kwamba SSH anafanya Kazi..

Tofauti ya Utawala wa Samia na Mwendazake ni kwamba Mwendazake alikuwa na majigambo meeengi wakati hela hana ,Samia hana hayo majigambo ila pesa ipo..

Maneno na vitendo [emoji116]
Utopolo. Miradi ya kuunga unga. Haina viwango. Yale yale ya kisima cha million 2 kinajengwa kwa mil 20.
 
Tatizo lenu ni hili hili kila siku, mfumo dume umeota mizizi ndani kabisa ya damu hivyo hata akifanya maajabu kiasi gani mnamtazama kama mwanamke kwanza na sio kama mtanzania mwenye uwezo.

Hili ni tatizo la akili zaidi, na litapatiwa ufumbuzi kadri dawa inavyopatikana.
Akitoka madarakani mtaanza kumtukana sana bora tuanze sasa. Ila anakotupeleka bora mwaka 2025 ufike mapema tufanye yetu.
 
Back
Top Bottom