KINANA: Rais Samia anaongea polepole ila matendo yake ni mazito

KINANA: Rais Samia anaongea polepole ila matendo yake ni mazito

Povu jiiingi unachokiongea hakieleweki. Tembea TZ nzima uone yanayofanyika usiishie kuandika ukiwa mbele ya computer yako.

Katazame ujenzi wa bandari zote mwambao, katazame ujenzi wa viwanja vya ndege kila sehemu, tazama kilimo kinavyofanyiwa mapinduzi nchi nzima.
Wewe taahira ukiwa dar unadhani kila mtu yuko Dar, sio? Halafu, hayo mabadiliko ambayo yanafanyika tu mikoani na Dar hayafanyiki ni mabadiliko ya aina gani? Ama Dar sio Tanzania?

Kwamba napinga kwa sababu niko Dar ila mikoani hawapingi kwa sababu maendeleo wanayaoana, kwa hiyo Dar haistahili maendeleo?

Mabadiliko gani hayo mbona huyasemi, maneno ya jumla jumla hayana maana. Nitajie alichokifanya zaidi ya tozo, kupanda kwa gharama ya maisha kwa kila kitu hata kisichohusiana na vita ya Ukraine, nini amefanya?

Nitajie barabara mpya aliyoanza kujenga yeye basi niijue.
 
Hakuna kitu chochote cha maana alichokifanya zaidi ya tozo, nyongeza fake ya mishahara na kusafiri.

Utawala huu ndio tunashuhudia ugumu wa maisha ambao haujawahi kushuhudiwa. Gharama ya maisha kupanda kwenye kila kitu.


Hii nchi haijapata rais bado.
Kwa hiyo in almost 1 year ulitaka alipochukua tu nchi basi ukute mkate na siagi mlangoni kwako! Magufuli ilimchukua muda gani kuhusu vyuma kukaza huku akisema amechukua nchi ikiwa 'pabaya' na mlifyata hata hiyo nyongeza haikuwepo.

Tulia.
 
Kwa hiyo in almost 1 year ulitaka alipochukua tu nchi basi ukute mkate na siagi mlangoni kwako! Magufuli ilimchukua muda gani kuhusu vyuma kukaza huku akisema amechukua nchi ikiwa 'pabaya' na mlifyata hata hiyo nyongeza haikuwepo.

Tulia.
Vyuma vilikaza immediately alipoanza kufanya crackdown ya uchumi Kwa kuwasakama wafanyabiashara.
 
Akitoka madarakani mtaanza kumtukana sana bora tuanze sasa. Ila anakotupeleka bora mwaka 2025 ufike mapema tufanye yetu.
Hakuna rais aliyekubalika katika historia ya TZ. Tuna DNA za ulalamishi ndani ya damu zetu huwa siku zote tunayaona mazuri yanayotakiwa kufanywa na marais wetu tatizo ni mazuri ya ndotoni sio katika hali halisi.
 
Wewe taahira ukiwa dar unadhani kila mtu yuko Dar, sio? Halafu, hayo mabadiliko ambayo yanafanyika tu mikoani na Dar hayafanyiki ni mabadiliko ya aina gani? Ama Dar sio Tanzania?

Kwamba napinga kwa sababu niko Dar ila mikoani hawapingi kwa sababu maendeleo wanayaoana, kwa hiyo Dar haistahili maendeleo?

Mabadiliko gani hayo mbona huyasemi, maneno ya jumla jumla hayana maana. Nitajie alichokifanya zaidi ya tozo, kupanda kwa gharama ya maisha kwa kila kitu hata kisichohusiana na vita ya Ukraine, nini amefanya?

Nitajie barabara mpya aliyoanza kujenga yeye basi niijue.
Mtanzania katika ubora wa kulalamika. Nenda bandari zote za TZ uone zinavyoongezewa ukubwa.

Tazama viwanja vya ndege kama kile cha Iringa, na vingine vingi uone namna nchi inavyofunguliwa kila kukicha.

Tazama miundo mbinu ya barabara inavyojengwa kwa kasi, tazama namna shule na zahanati zinavyozidi kuongezwa.

Kumbuka kuwa watanzania wasio na access ya umeme kwa sasa ni chini ya asilimia 20 tu, unafanya kazi nyepesi sana ya kulalamika.

Fursa zinazotuzunguka zinatumiwa ipasavyo na watu wa kazi wenye maneno machache na vitendo vingi.
 
Mtanzania katika ubora wa kulalamika. Nenda bandari zote za TZ uone zinavyoongezewa ukubwa.

Tazama viwanja vya ndege kama kile cha Iringa, na vingine vingi uone namna nchi inavyofunguliwa kila kukicha.

Tazama miundo mbinu ya barabara inavyojengwa kwa kasi, tazama namna shule na zahanati zinavyozidi kuongezwa.

Kumbuka kuwa watanzania wasio na access ya umeme kwa sasa ni chini ya asilimia 20 tu, unafanya kazi nyepesi sana ya kulalamika.

Fursa zinazotuzunguka zinatumiwa ipasavyo na watu wa kazi wenye maneno machache na vitendo vingi.
Hizi story kawape mataahira wenzako.
 
Yakiwagonga wao ndio utasikia hadi clip wakifoka. Magu aliwakanyagia wakaanza hadi kumsema kwenye simu. Ukiona watu wenye skendo nzito kwenye nchi kama kina Kinana wanakusifia ujue nchi imegeuka shamba la bibi. Na rais aliyepo hatoshi.
Hakika.
 
Sisi kama Watanzania tunataka Rais asiwe na ukomo wa kutawala, Huyu Mama apewe walau mika 20 tu
Nendeni kwa Ground mkawaulize watu!! Jiseme wewe kama Mtanzania usiseme sisi kama watanzania !! Usimpotoshe mtu please !!
 
Kuna siku ya uvunguni yatawekwa hadharani. Dalili zote za utawala dhaifu zipo wazi, UKWELI huwa unakuja kwa ngazi ila uongo hutumia "lift"
 
Kuna siku ya uvunguni yatawekwa hadharani. Dalili zote za utawala dhaifu zipo wazi, UKWELI huwa unakuja kwa ngazi ila uongo hutumia "lift"
Sawa Wala usijali ila matokeo anayosema Kinana ni kama haya 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220731-140619.png
    Screenshot_20220731-140619.png
    207 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220731-140247.png
    Screenshot_20220731-140247.png
    188.4 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220731-140057.png
    Screenshot_20220731-140057.png
    153.6 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220731-140046.png
    Screenshot_20220731-140046.png
    158.4 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220731-115727.png
    Screenshot_20220731-115727.png
    148.5 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220731-101403.png
    Screenshot_20220731-101403.png
    115.1 KB · Views: 5
Back
Top Bottom