Kinana: Tusipendeleane, tusibebane

Kinana: Tusipendeleane, tusibebane

Waraka wa TEC na akiangalia na yanayoendelea Afrika ya Magharibi akili zinamruka kabisa. Shida ipo kwao huyu mzee asijitoe akili. Nini maana ya Wabunge kuitwa kama kamati ya Wabunge wa CCM na kuwa na kauli moja ya kuisupport serikali. Aje na wazo Rais kutokuwa Mwenyekiti wa chama. Haya yote ni makelele tu.
 
Waraka wa TEC na akiangalia na yanayoendelea Afrika ya Magharibi akili zinamruka kabisa. Shida ipo kwao huyu mzee asijitoe akili. Nini maana ya Wabunge kuitwa kama kamati ya Wabunge wa CCM na kuwa na kauli moja ya kuisupport serikali. Aje na wazo Rais kutokuwa Mwenyekiti wa chama. Haya yote ni makelele tu.
Ni kama una kapooint hivi😀
 
Acha wararuane mpaka kufika 2025 mambo yawe yamekorogeka sawasawa ili wananchi tujikomboe kutoka kwenye mikono ya hawa CC M
 
Makamu Mwenyekiti wa CCM komredi Kinana amesema Chama tawala ni Lazima kiwe na Nguvu ya kuishughulikia Serikali badala ya kuwa sehemu ya walalamikaji kama Wananchi wa Kawaida

Kinana amesema watapeleka pendekezo kwenye Halmashauri Kuu ya CCM ili Chama kujitoa Tamko Waziri fulani hafai basi Kesho yake asubuhi tu awe ameshatumbuliwa, haiwezekani kulea Mawaziri Wavivu Hiki kitakuwa Chama gani kisicho na Nguvu

Aidha Kinana amesema tabia ya Wabunge kupitisha kila Kitu kinacholetwa na Serikali ifike mwisho na Serikali ielezwe Wazi kwamba Watendaji wake ni Wavivu

Mzee Kinana amesema hayo kwa hasira sana kwenye mkutano wa hadhara ambapo Wananchi walimshangilia sana

Chanzo: Clip ya Kinana kwenye ukurasa wa twitter wa Ananilea Nkya

Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Hii ni michezo ya kisiasa tu wapate pahala pa kuchomokea kama chama. Alikuwa wapi muda wote? Au bunge limeanza jana kupitisha kila kitu kinacholetwa na serikali? Uvivu wa mawaziri kauno leo?
 
Hii ni michezo ya kisiasa tu wapate pahala pa kuchomokea kama chama. Alikuwa wapi muda wote? Au bunge limeanza jana kupitisha kila kitu kinacholetwa na serikali? Uvivu wa mawaziri kauno leo?
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hii ni michezo ya kisiasa tu wapate pahala pa kuchomokea kama chama. Alikuwa wapi muda wote? Au bunge limeanza jana kupitisha kila kitu kinacholetwa na serikali? Uvivu wa mawaziri kauno leo?
Awamu ya 4 ilikuwa na " Mawaziri Mizigo"

Sasa kuna Mawaziri Wavivu
 
Hawa chaguo la Magu ili kupitisha azmio la atawale Milele halikuwa chagua la wananchi
 
Makamu Mwenyekiti wa CCM komredi Kinana amesema Chama tawala ni Lazima kiwe na Nguvu ya kuishughulikia Serikali badala ya kuwa sehemu ya walalamikaji kama Wananchi wa Kawaida

Kinana amesema watapeleka pendekezo kwenye Halmashauri Kuu ya CCM ili Chama kujitoa Tamko Waziri fulani hafai basi Kesho yake asubuhi tu awe ameshatumbuliwa, haiwezekani kulea Mawaziri Wavivu Hiki kitakuwa Chama gani kisicho na Nguvu

Aidha Kinana amesema tabia ya Wabunge kupitisha kila Kitu kinacholetwa na Serikali ifike mwisho na Serikali ielezwe Wazi kwamba Watendaji wake ni Wavivu

Mzee Kinana amesema hayo kwa hasira sana kwenye mkutano wa hadhara ambapo Wananchi walimshangilia sana

Chanzo: Clip ya Kinana kwenye ukurasa wa twitter wa Ananilea Nkya

Mungu wa mbinguni awabariki sana!


Spinning, wastage of time hata kusikiliza, mbinu za zamani hizi, Mwamba alikuwa Magufuli, kabla ajaongea anaitwa mungu "mungu ya herufi ndogo lakini.
 
Makamu Mwenyekiti wa CCM komredi Kinana amesema Chama tawala ni Lazima kiwe na Nguvu ya kuishughulikia Serikali badala ya kuwa sehemu ya walalamikaji kama Wananchi wa Kawaida

Kinana amesema watapeleka pendekezo kwenye Halmashauri Kuu ya CCM ili Chama kujitoa Tamko Waziri fulani hafai basi Kesho yake asubuhi tu awe ameshatumbuliwa, haiwezekani kulea Mawaziri Wavivu Hiki kitakuwa Chama gani kisicho na Nguvu

Aidha Kinana amesema tabia ya Wabunge kupitisha kila Kitu kinacholetwa na Serikali ifike mwisho na Serikali ielezwe Wazi kwamba Watendaji wake ni Wavivu

Mzee Kinana amesema hayo kwa hasira sana kwenye mkutano wa hadhara ambapo Wananchi walimshangilia sana

Chanzo: Clip ya Kinana kwenye ukurasa wa twitter wa Ananilea Nkya

Mungu wa mbinguni awabariki sana!
This is good,kama itakubalika kuwa ndio mwendo halisi wa chama...
 
Back
Top Bottom